Ndugu karume kwa mujibu siasa CCM na azimio ya Arusha baada ya kupata ujasiri za kuziguza muungano (sharubu za Nyerere) sharti zake zilikuwa ni kukholimbwa. Mbona asife kwa shinikisho la damu kama Ndugu Kholimba aliyethubutu kuichana CCM pamoja na muungano.
Napenda sana nyimbo zako zinanikumbusha enzi baba yangu akiwa na redio 277 kijijini Tabora kijiji cha Isila kata Ilolangulu wakati huo mambo yalikua safi
THE GREAT MUBARAK MWINSHEHE. WHAT MAGUFULI WAS TO AFRIKA IS MUBARAK MWINSHHE TO MUSIC MUBARAK MWINSHE IS TO AFRIKA BARACK OBAMA IS TO USA AFRIKAN AMERIKA WHOSE VOTES ARE TO DESTROY AFRIKA.