@@YonaMhumba-ry2bc Mungu ni wa upendo Waefeso 6:12 (KJV) Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. Nawasikiliza sana naona jinsi mnavyopoteana angalia unavyojibu kwa kiburi.
Muongofu mpy unajua maandko kama Yesu alivojaribwa nyikani🤣🤣🤣 jifunze kuwa na adabu mzaz wako akikosea usiende ovyo kama mwehu...kasome habari na Nuhu alipokwa amelewa kipi kilifanyika