Mwaka 2013 baada ya kumaliza High School, nilichaguliwa kwa mujibu wa sheria kwenda jeshini kwa ajili ya mafunzo ya awali ya kijeshi na ukakamavu.
Nilijifunza vitu vingi sana katika miezi mitatu niliyokuwa JKT Kanembwa, leo nimekuvunjia mbinu 10 zitakazokusaidia ktk biashara na maisha ili kurahisisha safari ya kufanikiwa
6 сен 2024