natoa mchango wangu Kama kweli wana taka kusaidia vijana ,swali tunauhakika mungukaa ndo dawa pekeaka inao haribu vijana ? kama kweli tuna taka kusaidia vijana wetu baada marufuku wamungukaa tuta pata jibu ? Dunia tuna madawa mengi tuki funga mungukaa hakuna dawa lengine vijana wanaweza wakatumia? madawa ulevi tunao na ni hatari Kwa afyia yetu kama bangi ,pombe,cocain,hiyo mungukaa,cigara,na kazalika amboa hatujui linauza kifichoni bila sisi kujua haya yote ni madawa na inamazara tunakuja kwenye majibu yakutosha baada marufuku wamungukaa tuki waona vijana wetu wanaendelea na kua machizi tutasema ni Nini ,kabla mungukaa kuingia hakukua machizi? ni jambo lakila mtu afikrie kiupana zaidi sio tuliona watu wakipita bara bara wakilalamika haki yetu haki yetu na wewe unaigia Kwa hiyo mandamano wewe pia haki yetu haki yetu ukiuliza haki yako ni upi oooooh niliona watu wakisema haki yetu na Mimi pia nimeingia so tuwe na watu wengine wakufikiria zaidi sio walivo SEMA mungukaa ni mbaya basi Kila mtu ndio ndio ndio ..... Kwa mwisho nimesapoti marufuku wamungukaa lakini baada marufuku tutapata jibu zuri ?
Siwao wanasema wanakula huko kwao na haidhuru mtu,,, sasa waendelee kukula hio salads yao huku kwetu haitakiwi. Free Muguka Coast yote. Kudos Bwana D governor.
Mbinu nzuri kabisa.Hii itafaulu Kwa sababu hata kabla county 001 kuchukua hii hatua kuelimisha mashinani Kuna idadi Fulani ya waraibu wameacha ulaji moguka.Huyo zakayo kwa kuwa anathamini hela kuliko afya ya wapwani 2026 lazima nae apigwe marufuku katika kura zetu.Kataa moguka kataa zakayo.
Hamjui kazi yenu nyinyi cc ndo mabos zenu alafu mnatupangia starehe kama mungu .shule za msingi hamlipi ata stima Wala zengine azina maji acheni ubwakni
MAJOR declaration ita kuwa ni: 1) Lorry ambazo BADO zinazo jaribu kuleta Migoka na MIRAA, should be SIEZED by POLICE. Then the DRIVER must be fined 150K, and Lorry owner fined 300k. 2) Lorry isipo lipa Fine ya 300k in one month, then sell Lorry by Auction. 2) Announce Miraa pia ime BaN! Banning MIRAA also will be a MAJOR announcement. At the end of The Day, YOU are The MSA001 Government! So BAN MIRAA too!
Why do you want to meet with ruto surely? Has anyone seen his children enjoying muguka? It's our responsibility to take care of our children and we don't need to negotiate with anyone on matters concerning the future of our children. Ruto is properly taking care of his children, even taking them to America in private jets.lets wake up and deal with these moguka dealers
EXACTLY. There is a County Government in MSA001. Therefore, as A Government, you do NOT need to negotiate ANY Decisions made by the GOVERNMENT of MOMBASA County!
Inshaa Allah Allah ajalie ushindi this drugs is so bad not only mugoka hata heroine pia ipigwe vita sio siayasa ya mugoka na miraa any drugs should be abandoned
Watu wa mombasa hamna mjadala mwingine ila mogoka leteni issue nyingine hizi no wonder i hate coast wanaume wadaku si mukomeshe ushoga hapo cassblanca nijuwe ubingwa wenu nkt
" Kufanya kesi na nyani shahidi ni yonda!! Block all highways from Voi/ Taita taveta hata hapo Mariakani na choma hiyo takataka/ mavi yao!! Wababa aa manahenza Kijego, sio kubembeleza vinyo zhao zha mamizao!! Ara nyuchi maremwangira uhuru mahiko?
Mbona mnapiga mugukaa vita peke yake na Kuna madawa ya kulevia mengi sana yanaadhiri vijana wa puwani. Nyinyi wenyewe ndio mnaharibu vijana wenu. Si story na mugukaa Wala mira.
Because this MwanaHaramu JOHO is the One who wanted Mogoka and MIRAA to be distributed in Mombasa! Then he also Disteibuted the HARDS DRUGS imported by RAILA and UDA, into JOHO'S BERTH at the Port! JOHO is the ONE Responsible for POISONING the Children of MONBASA, because RAILA told him that if JOHO Drugged and STEAMED the SWAHILIS, it would be EASY for ODM and Joho, to get the SWAHILI VOTES! AND that's EXACTLY what happened, when all the STEAMED UP Mombasans, VOTED for ODM, and WON RAILA the Mombasa Town!
Mimi ni mpwani na napinga sana mti huu kufika pwani....ila kumlaumu raisi hapo napinga kwasababu hii. Raisi lazima tumvumilie na tusipende kumuongolea wacha tusikie sauti yake hata japo alienda meru. Mwisho tusikate tamaa ALLAH ako nasi.
Umeona kibanda cha kuuzwa bhangi na unga utuoneshe plz tukakichome sahiii pia muulize ruto na gachagwa hyo mambo pamoja na kindiki coz is not halal in Kenya
Wewe naibu gavana,mjinga wewe!kwani haujui miraa yenye mnasema ndo mzuri ikienda north eastern inapitia embu?? Pia mabasi yanaokuja mombasa kutoka meru pia haipitii embu??