2023 mara yangu ya kwanza kusikilkza huu wimbo hapa kwa kila like ya hii comment ntakuwa nakumbushwa ujumbe pia kurudi kusikiliza, na ikiwa nimepumzishwa jina la BWANA ni jema.
Oh sasa nyimbo hizi zanipa msisimko wa ajabu. Zimetungwa na kuimbwa kwa mahadhi yaliyo bora ajabu. Natamani kufika mbinguni nikashuhudie uzuri huu wa ajabu na nikale matunda matamu ajabu huko jijini Yerusalemi. Mbiu SDA Choir mmebarikiwa. Nawaombea kupaa zaidi katika huduma hii. DAN WANYOIKE - Kutoka Kenya.
Waimbaji wote wapendeza. The ladies are giving a very nice solo voice. My fellow Gentlemen; you are superb. Missing to be part of You. Tanzanian brethrens you are blessed. This is fantastic.
MUNGU AWABARIKI CHOIR YA MBIU,YOUR SONGS ARE A BLESSING TO ALL OF US.HUU WIMBO HASWA UMEIMBWA KIAJABU SANA.SIFA NA UTUKUFU NI KWA MWENYEZI MUNGU WA MBINGUNI.
Hongera sana Mbiu SDA Choir. Mmekuwa baraka kubwa kwangu. Kwa wimbo mnaniitisha kuzidi kumwamini BWANA YESU. Ameahidi kuja kunitwaa kwenda makao ya amani. Mungu awe nanyi daima.
Que Dios les bendiga a todas las personas que se dedican con alegría a alabar a Dios Todopoderoso que en este momento les está mirando desde el cielo, muy pero muy contento recibiendo la alabanza de su pueblo.
Tuna wapenda wote Na tarehe 20/9/2019 -21/9/2019 kwaya ya mbiu itakua morogoro ikimtukuza MUNGU kwa njia ya uimbaji kwenye tukio kubwa la Extravagaza malihali ni uwanja wa mpira jamhuri morogoro
OOH! God i pray for these brothers and sisters to have slot in Heaven. They are true definition of Heaven, Beauty and Gospel. Yes, they might not know but they are a blessing to the community. So AMAZING to listen them over and over again.
hakika nimepokea kitu katika hii nyimbo. Mungu awabariki na kuwalinda maana apa shetani katandikwa kwa abari njema ya mbinguni na mazuri yaliyopo. nice and best