Haki vile napenda daawah, siwezi lala sija sikiza nikikosa new post narudia ya kitambo, Allah awafanyie wepesi wakufundisha kila wakati inshaAllah, tunafaa kushare kwa wingi haya mafundisho pia yafikie wengi zaidi Jazzakallahu-Kheir
MashaAllah, MashaAllah, leo na juzi mwanafunzi wa Team, ame pewa na fasi yakuwa Somea Ma Ustad, Vitabu zinazo taki kana! Mazoezi Mazuri sana yakuwa DAEE in Future! Well done team. MashaAllah, watu wana endelea ku OKOWA Nafsi yao. Karibu ISLAM, Bro Ali! Ai watu wa Kiambu wana Hamu yaku pata mafundisho Top Class from hii Team! Very intelligent control from Ustad SALIM and Team. Na Kijana aki anzia na kusema "Audu billahi mina Shetani rajeem", ONCE, basi mimi nafikiri, hana haja kui repeat the next time aki endelea, au aki CONTINUE kama msaomaji mpaka mwisho! Akishai soma Once, basi tosha. My ordinary opinion. TabarakAllah Team
@@salimdaawah123 Masha'Allah, idea nzuri sana ku anza ku Train vijana wetu! Hapo ndipo wata toka Future DAIES! Hii Training Programme pelekeni mbele sasa, Insha'Allah. Well done Team.
Alhamdullilah kua muislam kua mkristo ni mtihani mkubwa kutamka kwa kinywa yesu ni muislam halaf niwe mkristo ni mtihani mkubwa Tumshuru mungu kutu epusha na mtihani wa ukristo alhamdullilah alhamdullilah
Naam Shekh wangu jambo ambalo tunahitaji tudumu nalo ni ibada ya salaa maana ndio mtihani kwa Waislamu Wengi nyakati hizi Tupo katika haaki lakini hatumuabudu aliyetuumba Mtihani kweli kweli
Hiyo ni dini ya kupenda muziki tu na kuimba vitu hata havieleweki mbele mbele nyuma nyuma na nyimbo mpya inasema Yesu ninyandue Yesu ninyandue unitie mimba ya imani
Gurale sio matusi kwanza, it means "none cushitic" na ni neno ya kiborana. Pia hakuna mtu anadhulumu gurale in Mandera or Garissa, that's a lie, tayari wako wengi huko na we live in peace and harmony