wange uye nikweli usemayo lkn Alikiba ameingia hapo na yy kama business partner so naye anamiliki kiwanda hicho kwa sasa coz ana shares zake,tunakula karanga za diamond twateremsha na mofaya ya Alikiba hawa wote ni ndugu zetu lazma tuwasupport
Mtabishana ooh diamond anaviwanda ooh kiba hna kitu at the end of the day they're moving forward ww unabaki kununua voucher daily kuingia u tube kuangalia mond kafanya nn kiba kafanya nn they even hv houses for their families maybe ww inabishana Huna hta kibanda cha kuku instead of kubishana take a step do something altleast even u anza kuuza karanga slowly by slowly and gradually u will find yourself unamiliki kiwanda kma him
Even mond alipoanza hakutegemea kma atafika pale alipo watu walimcheka buh Allah kamjalia instead of kubishana mitandaoni try to get what u want with what u hv anything even if is kuchonga vichago kuuza mihogo
ninacho kijua mimi Kiwanda cha Diamond karanga ni cha mr Hassan mlebanoni miliki wa chipssi Snaks Zile chama na Kiwanda kinaitwa Smart Indastrt kipo mwenge Diamond Plutonium ni balozi Sio mmiliki Wa Kiwanda cha Smart Na kuusu Ally na kiwanda cha mo faya kipo South na video za kiwanda you tobe zipo na mimi ninazo ally akiwa kiwanda fala uwezi Elewa
Hicho Kiwanda ni cha huyo mzungu alievaa koti jeupe diamond hatoe wapi pesa ya kuanzisha Hicho Kiwanda? Diamond ni jina tu kwenye hiyo product Kiwanda kina wenyewe
usipokubali mafanikio ya mwenzako lazima utapata taabu xana nakukubali xana simba endelea kufanya yako ili wenye akili utupe hasira kufikia ulipo na pengine zaid. lkn wenye vijiroho mhh
Hata mie fan wa Mond ila nimekula karanga zake sio tamu, sijui Ni zangu tu packet nliouziwa au?wengine mnasemaje kwa utamu na ubora kama mmezila? Nimeisha kula better than hizo aina nyingine
Elisa Shekusa Acha ushabik wa Kijinga Kile kiwanda cha kiba Wakat kiwanda kipo South africa Na hawakusema Km cha kiba ilioneshwa Ilipotengenezwa Tena wamesema Co yake na ile Kampun Ishatengeza Vtu ving tu Kiba ni Baroz Unakataa ukweli unaokuuma Unakubal Uwongo ili ufulai 😂😂😂😂
oky lkn hatukuwahi ona kiwanda cha mond hadi baloz wa mofaya (ka unavyosema ) aanze kuonyesha kazi yake huo ni utoto mjipange ma brooo pesa minazo ila ndo basy 2 mnapenda upimzani sana
Masen Kaitaba kaka mimi sina umasikini ila na sema kweli mimi na pends ngoma zao but ubishow ume zidi kama hela niko na hela mimi sio kama wale wakutegemeya watu