Lakini pia ajira ndani ya jeshi la police ingefaa sana wabadiri vigezo vya elimu. kidato cha 4 na 6 waachane navyo.kwa maana hiyo elimu inakuwa haina elimu ya uongozi au utawala.
Watz ? Pongenezi polisi na jeeshi pamoja na ulinzi watz hivo wanavofanya kazi vizuri kwa kulinda amani na usalama watz vijana wa chadema na viongozi wawo lengo lao nikuiharibu nakuleta vita na vurugu tz kama ilivio sasa hivi kenya ulinzi woote watz ! endeleeni kwa Kazi nzuri kwa sababu ya amani na usalama
ujinga,ujinga tu jinga haliwezi kuchoma picha ya mh raisi halafu mnamsifu eti kafanya jambo jema!!mnachochea uvunjivu wa amani,na hakuna uhuru usiokuwa na mipaka!! Nyie mnachochea uvunjivu wa amani!kwa kisingizio cha uhuru demokrasia!!
Huyu Hana utambuzi. Mwanadamu ni nini? Hata Yeye mwenyewe hajijui tofauti aliyopo Kati yake na mnyama kama mbuzi. Tuheshimu utu jamani tusipuuze utu wa mwanadamu. Tatizo hilo halituachi salama. Damu za watu ni mkosi mkubwa taifa. Tusicheke na hilo atulindi amani bali kido kidogo tunaiweka mashakani.
Tukiwapotezaaa... police msiwatafute manaake Kuna watu wanawapotezaga police inawatafutaga..ila tukiwapoteza Hawa police msiwatafute lumber wao ndio wanapotezaga watu. Police ilibidi wa anzie hapo