We mzee umesema upo chama cha CUF tangu 1993, nadhani CUF ilikuwa in mwaka mmoja tu. Mbona hukukikunja kikiwa bado hakijakomaa? Inakuwaje leo utaikunja ACT ikiwa na miaka 5? Acha siasa za uongo mzee Mbege.
Nimekuwa nafikiria kuingia kwenye Siasa lakini siwezi kuongea, sasa nikisimamishwa na mtu kama huyu nitaambulia 0 kabisa nianze kusingizia wajumbe ni watu wabaya 🤣🤣🤣🤣🤣
wimbo wa kenya unaoleta taaruki na zogo kumhusu mbunge bwege ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-wYcBohzsX5M.html ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-wYcBohzsX5M.html
BWEGE kumbe ww ni BWEGE unayoyangea ni zero inaonesha mwisho wa ubunge ni mwisho, mbona umesubiri BUNGE limeisha kweli SIASA ni mchezo mchafu, acheni kujiapiza mzee utaja kuingia motoni bure, rudi kwa mungu hapa duniani ni mapito kuleni kodi zetu mbele ya ALLAH mtakipata