Rum. 13:1-mamlaka ni mfumo na siyo mtu. Serikali inatakiwa kuitii Katiba iliyopo kwa wakati huo hata kama kiongozi mkuu hakubaliani na baadhi ya mambo yaliyomo humo ni lazima aitii. La sivyo kufanyika mabadiliko ya Katiba na siyo kutumua amri zake.
Miaka ile kulikuwa na maandamano Julai mosi kila mwaka al-maarufu kama matembezi ya mshikamano. Tulikuwa tunahamasishwa tuandamane. Leo mambo yamebadilika tukitaka kuandamana tunakatazwa!