Siku ya saba Mkutano wa Uponyaji na Miujiza Mafinga-Iringa chini ya Mch Moses Magembe. Ujumbe: MPINGA KRISTO NA UTAWALA WAKE Andiko: UFUNUO 17:9-11, 13:1-18 Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE Tarehe: 13.08.2023
Baba angu Mimi naitwa ngosha Japhet siku Moja nitakuja kumshukuru Mungu,maaana tangu nianze kukufatilia aaah!!!! Sio Mimi yule maana nami ni mzaliwa wa shinyanga bariadi ruguru jineli kwa kweli kama unavyojua maisha na Mira zetu ni Neema tu Baba,Sasa Kuna mtu nilikuwa nafundisha habari za unyakuo kwamba Kanisa litaondoka kwa kusitukiza lakin wanasema eti YESU anakuja wazi kwa ushindi lakin Mimi najua atakuja kama mwivi na badae atakuja kama mfalme Mimi nakupa mzee wangu hivyo huwa nachukua sim ya mama ili nione umefundisha nini Leo najua tuko mafinga
2Wathethalonike 2:1-3 Basi ndugu tunakusihini kwa habari ya kuja kwake bwana yesu kristo na kukusanyika kwetu mbele zake kwamba msifadhaishwe upesi hata kuiacha Nia yenu Wala msisitushwe kwa roho Wala kwa neno Wala kwa waraka uliodhaniwa kuwa ni wetu kana kwamba siku ya bwana imekwisha kuwepo mtu yeyote asiwadanganye kwa njia yoyote maana haiji isipokuwa Kwanza ule ukengeufu akafunuliwa yule mtu wa kuasi,mwana wa uharibifu.