Huyu Ndacha sio wakawaida amechaguliwa na Mungu ana HUBIR injili ya kweli lakin bado watu tuna kimbilia Gizani heri yake Ndacha haubirie injili ya Bwana apate uzima wa milele amen❤🙏
Mchungaji dacha amesema vizuri sana AKILI NA UAMUZI AU IRADA..NA ALLAH SIYO MWENYE KULAZIMISHA..KAMA ALIVYOSEMA MCHUNGAJI ,NJIA YENYE HUDAYA NA DHWALALA...UWAMUZI UKO MIKONONI MWETU...❤
Uyu jama ata na yeye aja mujuwa Yesu ni Nani. Ukiwa na roho mutakatifu njo Uta mujuwa Yesu ni Nani. Yesu ni Mungu ame vaaa mwili . Sasa mafundisho ya Yesu mwenyewe Ana sema wako na macho awaone na wako na masikio awa sikiye .
@@michaelamiani6755Aende na uko hata Quran watafsri wengi wa Hadithi wanakubali yesu aliuawa n vile hasomi, tena dini ya kishetani kama Islam hata si ya kuzungumzia mbele ya watu labda maiti
Yesu kwani ni siku???mmepotea nyie Yesu sio siku,,sabato bado ipo Mungu aliibariki na kuitakasa,,Sunday law ikipitishwa ndo mtaja kuja kuelewa nawaombea mpate nuru mapema maana itakua kati ya Amri ya mwanadamu dhidi ya Amri ya Mungu
Yeye ndacha mwenyewe ni ajibu tupu. Anawapa watu habari ya Mungu halafu anawageukia na kuwaoapa za Yesu kristo. Munazani anafundicha nini kama sio upagani? Musiwe na ujinga!
Wawatangaze wako wapi?! maana kila siku wanazidi kusilimu kutokana na ubabaifu unaotokea makanisani, chunguza mwezi wa Ramadhani ukiingia wanasilimu wengi ajabu... na haya yote yanatokea kutokana na kuwepo kwa utitiri wa matapeli wanaoutumia ukristo vibaya kufanya mambo ya hovyo ili kutapeli waumini wao.
Uislamu unamtumia Ndacha kama ubao wa kufundishia, sio lazima yeye asilimu lakini wenye akili zao wengi wakishajuwa ukweli wanasilimu na wataendelea kusilimu kwa uwezo wake Allah Ndacha analijuwa hilo
Badala ya kufanya namna ya kuondoa upuuzi na utapeli ktk ukristo, ndacha anaulink uislamu ktk utabiri wa Yesu. Nenda kajarihu kuhubiri chochote msikitini ambacho hakina dalili kutokai ktk quran au hadithi uone utakavyotimuliwa msikitini
Sasa jina la baba, mwana na roho mtakatifu ni utatu shida elimu. Utatu ni mungu baba mungu mwana na mungu roho bali kuna mungu baba, mwana wa mungu na roho wa mungu. Umeona ni mwana wa mungu bali si mungu mwana
Mlmungu aliposema hakuna mtume wala nanbii bàada ya mtume Muhammad S.A.W mlibisha,nakushangaeni mnamkataa mtume wa ukweli mnawakubali mitume ya uongo,binaadamu abadan huwezi kupingana na aliekuumba na ukabaki salama
Eti mtume wa kweli😂😂😂🤣🤣 na machafu yote yale.... kuchinja wayahudi, kuoa mtoto, kupigana mavita, kuchukua mateka wa kingono na mengine mengi..alafu umuite eti mtume. 😂😂 Oya! kweli ujinga mzigo.
Wailam hawankatai yesu wanakataa ya kumuita mwana wa mungu au mungu ss tunankubali kwasababu hadi kwenye kuran yupo anaelezwa matendo yake sasa nyinyi mnanyanganya cheo cha mungu munampa yesu hamuoni kua ni batili mungu mwenyewe amekasirika kama hamjui
Lazima ichezewe kwa sabb sio dini ya kweli ni mpango wa wanaadam na kama ingekuwa ya Mungu basi tangia walipoanza kuuchezea hadi sasa ingekuwa tayar washaadhubiwa na mwenye dini ila hakuna kitu kama hicho ukristo ni upagani tu wala sio dini ya Mungu.
@@AmmarSadik-x5u Dini ya kweli ni hapa 3:19 QURAN. nenda katafute dini inayoabudu mawe na jua na kumfanya kiumbe Yesu kuwa Mungu kama sio dini zenu mulizotengenezewa na WAZUNGU
@@Juniorjacob-le1rr Hivi nikuulize swali kwa mujib wa Bibilia yenu kuna pahala panasema binti huolewa akifikia umri fulani??? kama hakuna jiulize kwa nini kitabu chenu hakijataja na kwa nini useme alibaka hali wewe sio mzazi?? acha chuki soma maandiko na uyaelewe.