We ni shabiki mzuri ambaye unaweza kuisaidia timu yako,viongozi wakasikia na kubadilika siyo wale mashabiki wanayoipaka timu mafuta kwa mgongo wa chupa huku inadidimia wanashadadia kwa kushipaza shingo,kama wale kina kisogo,gb24,na mzee mmoja hivi hawa hawawezi kuisaidia timu,wao wanadhani ubishi ndo kuisaidia timu
Huyo GB 64 hilo jina alilipata wapi? Maana nimesikia anasema chombo cha habari kitakachomuhoji Mchome anaruka nacho, hasiporuka na hawa basi atakuwa robo GB
Simba imefanya makosa kuvunja team Wangeongezea tu wachezaji Tumu mfumo wake hata ukipata foward mkali atachezaje Team isiojipanga ...ni shida kabisa Walifanya makosa watajuta sana
Boka hajafeli wewe unae hoji boka amenunuliwa alikuwa na mkataba na alikuwa acheza had team ya taifa na ndo maan waliweka sana ugum kumwachia mpka I T C Yake ilicheleweshwa
Huyu jamaa anaongea ila hana point ya maana, tuseme kama simba imesajil wachezaj walioshindwa kuisaidia timu zao kuchukua ubingwa. Je ni mchezaj gan aliyeisaidia timu yake kuchukua ubingwa na amesajiliwa yanga ni yupi?????
Uzuri wa Yanga haijavunja kikosi, kwa hiyo ni rahisi mchezaji mpya kuingia ktk mfumo hata kama alitoka ktk timu mbovu, kikubwa awe na uwezo tu. Lakini timu yote ikiwa mpya halafu baadhi ya wachezaji wanaocheza sehemu muhimu wakawa magumashi hapo ndipo kwenye balaa.