Kwanza hso wana vijana gani? Kagoma 29, kapombe 29, ngoma 29 ,shabalala 27, golikipa 29 ,huko upande wa pili mbona vijana wengi tu, kibabage 23, yao 26, job 24, kibwana 23, max 24, baleke 24, boka 23, nkane 20, mzize 20. Hivyo pande zote kuna vijana na hamna wazee. Kama akina mesi, Ronaldo, mayele, Sarah, , bado wa moto sembuche wenye miaka 29 na 30?
@@kassidpandu866Wataje na miaka yao! Alafu jua mcheza mpira kuwa kwenye PRIME ANAKUA NA UMRI GANI! bongo ushabiki ndo umewajaa, mpira hamjui! Kakutajia majina wa wachezaji wenu na wa Yanga! Jibu hilo! Alafu piga AVERAGE age uone!
Tatizo lenu shule mnataka ushabiki unazi.league itakua haina fair competition. Tff iliangalie ilo.ndo mana emirate aijaweza kudhamin England league team. Mbili
Akuna mshabiki wa aina hiyo eti wewe kilakitu uikandie timu yako na kuisifia timu pinzani akuna mtu kama huyo asitumie mgongo wa simba ili kuichafua simba kunamuda yatafika mwisho