Mm ni simba lakini mchome ana akili kuliko viongozi wote wa simba kama huna kitu kichwani hautakuja umuelewe mchome tukana ustukane mchome unastaili phd ya mpila
Simba ingepata mashabiki wenye uelewa km wewe nina Imani mngejenga team ya ushindani km mtaendelea hivi basi sio ajabu kuona yanga anachukua ubingwa ht mara 5 mfululizo