Jaman wakiristo eleweni kuwa mungu haonekan kama ulivokuwz ulivokuwa huxioni akili zako sasa inakuwaj mungu aonekane yesu alikuwa kama uyo ndacha sasa inakuwaje awe mungu jaman elewen na mudome pia mungu ni mmoja na si mwengibe ni Allah sw ndio mungu wa mashariki xote Yesu ni mjumbe wa Allah sw
@@abeidrashid2574 Tatizo unakaza kichwa. Skiliza hii clip toka mwanzo majibu unapewa tena sio moja unapewa kwa vifungu. Saiv unataka nirudie tena. Nyie mmeulizwa maswali mnaruka ruka tu kama maharage yanachemka😀
18 Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua. Yohana 1:18 Biblia iko wazi inamtaja Mungu mwana
Ndo mnakinbiliaga et kiroho mkibanwa kwenye maandiko yesu mwenyewe anamwabudu mungu wapi yesu alisema niabuduni au niombeni Bali aliomba yeye kumuomba mungu wakristo hawana akili akili zenu zimedhikiliwa mnachoambiwa na huo uongo wa biblia munasema amee Soma yeremia 8:8
Tangu mungu halipo peleka Adam na Awa ,katika shamba pale walihasi,mungu hakujua alijua? Bona haliuliza Adam kwamba ukowapi?kwamba yeyenaye ni mungu kwanini aliuliza?naye ni mungu ajualote?
Ukitaka kujua yesu nimungu nirahisi tu mwanadam neno lipi lilitumika mpaka akatokea neno tumufanye mtu kwamufano wetu ndomaana hata raisi anamakam wake huwezi kufika kwaraisi mojakwamoja lazima uanze chini
Neno alifanyika mwili tukauona utukufu wake Yaani tamko lá Mungu Lililo umba vitu vyote limefanyika mwili tukauona utukufu wake Huyo tamko aliye fanyika mwilli akaonekana tukauona utukufu wake nini Nani jamani? Ta
Wapendwa wamungu tuombe Sana mungu tuzidi kuokoka kweli kweli! Kubishana nawa islam nikujisumbuwa Tu maana hata wenyewe wanajuwa kama wanapoeleke sisahihi wengi wawo ni wafrimason wanatumia majini ,wanafanya umalaya Yani kila zambi wanafanya wameshakubaliyana nadhetani
Muhammed Dr sure kamfata au katumia hoja za ibn taymia maajabu sure nimshirikina ibn taymia aliyepasisha kutumia majini na akaf a na iridhi shingoni si mshirikina sure nimshirikina mnatumia mizani gani nyie mayaudi kiwahabi minajisi
Waislanu mpo kishabiki 27:43 Wakristo wapo makini ndio maana sulle alipokiri Wakristo wakashangilia ninyi mkabiga takibiri mtapotea kwa ushabiki wa kijinga
Tunawakaribisha waislam muwe wakristo tumwabudu yesu maana yeye ndie njia ya uzima wa milele mti wliokua anazungumzia ni mfano wa mwanadamu ambae hashudii neno la mungu ili watu wawese kuzaa matunda badala kuhubiri ukuu wa mungu na watu wamfuate maana kushuhudia ndio njia ya kuzaa usikae kama mti huo
ndacha nimuongo huyu mungu wangu sijawahi ona nimtu anaejua kuchota akili za watu wasio na uelewa leo ndio nimegundua. mungu afanyie neema na wepes kwakweli
@@MarkoWMichael nkuulize swali mtoto ww ni mwanadamu mtoto wako atakua mwanadamu ama mnyama... Na kama ww waitwa Rashid mtoto wako aweza itwa Rashid ama hawezi itwa
Muisilamu pure lazima awe na majini hiyo si dini hata huyu sule nimshirikina mkuuu sana nilimuogopa siku moja tukiswali nikaabba kutokuwa muisilamu tena
@@ismailmakumbi-t1o viumbe kaa wewe nimewaogopa walisilimu wakawa waisilamu wanawaletea hela Hutu mkitoa wenzenu kafara juu chakula Cha jini ni damu awe jini mzuri au mbaya lazima anywe damu
Yani Wakristo wametolewa andiko Yesu hajui kama mti uko na matunda au hauna,Wakristo wao wanashangikia😂duh! mtihani kweli hawa rafiki zetu,sjui hua wamepikwa au hawaelewi maandiko ni nashidlndwa kabsaa,