Тёмный
No video :(

MCHUNGAJI ASILIMU | ASIMULIA MAGUMU ALIYOPITIA | NILIKUA MUISILAMU NIKABATIZWA | NIMEWAPOTEZA WENGI 

BABDEO MILADU
Подписаться 251 тыс.
Просмотров 53 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 464   
@donaldmpagaze9803
@donaldmpagaze9803 Год назад
Mungu ni mwema na akuongoze uwe na amani kwa maamuzi yako ukweli utabaki kuwa ukweli na naamini Mungu anakuona na anakusikia nakutakia safari njema
@shamzone388
@shamzone388 Год назад
Taqbir Allah akbar... Mungu akuzidishie iman ktk dini ya haki ya kiislam...
@hassandinhoosmail6378
@hassandinhoosmail6378 Год назад
Allahu Akbar. May Allmighty Allah SW. Protect you Brother Ashraf.🙏❤️
@beduikubwa189
@beduikubwa189 Год назад
Alhamdu lillha walaa haula walaa quwwata illa billha allha authibitishe moyo wako katika uwisilim na akuongoze na akupe elimu na faham na yaqini aamin
@mdoekibai3991
@mdoekibai3991 Год назад
Shekhe muhamed nilikuwa nakuona muumini wa kawaida kumbe unavyombo vya maana Allah akuzidishie inshallah
@hamisimkima117
@hamisimkima117 2 года назад
😭😭😭😭😭😭😭☝🏿🤲🏿🙏🏿 Allah Akupe Mwisho mwema
@peternjelutv1273
@peternjelutv1273 Год назад
Neema bado ipo kijana rudi kwa YESU, Kwahiyo kilicho kurudisha ni kwa sababu ndugu walikutenga ulikuwa bado auja okoka wewe, Wokovu au kumfwata Yesu nikukubali kutengwa na ndugu jamaa au marafiki ambao watainuka kinyume na Imani yako.
@monicajohn9672
@monicajohn9672 Год назад
Tumsamehe hajui atendalo, nina imani kuna ck atarudi kwa Yesu. Yesu aliwaambia akina Simon waache vyote walivyonavyo na wamfuate yy, ss yy anazungumzia ndg ck ya hukumu atakwenda nao?
@thekingdragon8358
@thekingdragon8358 Год назад
@@monicajohn9672 musome bibilia muelewe na nyinyi mwenzenu kashaelewa bibilia na ndo mana akasilimu alijua yesu ni mtume sio mungu yesu alitangaza aabudiwe mungu mmoja watu waswali na kumsujudia mungu mmoja nyie munaabudu yeye kwani mandiko hamyaoni na mkiyaona mutaslimu tu inshallah mungu awaongoze
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 года назад
Waisilamu tusomeni tusikurupuke tukafanya uisilam km vyama vya siasa au imani nyenginezo. Leo upo huku kesho upo kule....Tunajua hukmu ya ritadi anaporudi kwenye uisilam, Allah amkubalie toba yake, amuhuishe, amfishe na amfufue hali ya kua muisilam, amiin.
@samxx411
@samxx411 Год назад
Wallahi baadhi ya watu wanamtania Mungu, wanadhani Mungu ni kiumbe cha kutaniwataniwa. Mtu anamuhofu Simba, Kiongozi hata shetani wakati ukubwa wa Mungu hakuna chochote chenye uwezo wa kuufikia. Mungu atuongoe
@saidgana3047
@saidgana3047 Год назад
Inshaallah
@rukiasubeti4055
@rukiasubeti4055 2 месяца назад
​@@samxx411omo ombi
@mohammedsaleh7241
@mohammedsaleh7241 Год назад
Alhamdulillah mungu awafanyie wepes na wengine wapate kuijuwa dini ya haki
@rukiafaraj1400
@rukiafaraj1400 Год назад
Allaahu akbar, Allaahu Akbar! Maa shaa Allaah
@asiakheir8684
@asiakheir8684 2 года назад
Allah awarudishe wote walio potea
@Abla_habiba02
@Abla_habiba02 Год назад
Amiyn
@umfahad2609
@umfahad2609 Год назад
ALLAH kasema "thumma kafaru thumma tabu" ulikufu na umetubu. Tunamuomba ALLAH akusamehe madhambi yako.
@maryammdoe5801
@maryammdoe5801 2 года назад
MashaAllah tabarakallah welcome back brother to the our dinil hakki Allah akuhifadhi na akusamehe ulipoteleza
@imanimaseta8172
@imanimaseta8172 Год назад
Huyo hakuwa Mchungaji muulizen vizur ,azijikweze.
@ezekielleonidas5798
@ezekielleonidas5798 Год назад
Hajawahi kuwa hata mkristo
@user-xd5op9nn5c
@user-xd5op9nn5c Год назад
Kabisa ndomaana nimemwambia anakumbuka alichonifanyia huyo
@aishambega4118
@aishambega4118 Год назад
Alhamdulilahi Allah Karim naomba na mimi na sisi wote waja wa Allah atuongoze kwenye uislamu njia ya haki na ya kweli naomba na kizazi changu pia kielekee kwenye haki inshaallaah
@frankjohn8706
@frankjohn8706 Год назад
Ukimsikiliza vzr huyu jamaa UNAPATA kitu Fulani kwamba alipobatizwa aliambiwa amekua kiumbe kipya, lkn Leo amesema anarudi kwenye Imani yake ya zamani maana ndugu zake wazazi wake wote wanaimani ileile, akasema dini ina lugha moja.kitabu kimoja,na namna moja ya ibada, lkn akasema ukristo unakua Sana kwaajili ya umoja wao, nadhani hakua na Neno la KUTOSHA kujazia maelezo kwamba YESU amesema waliomwamini wanatembea nuruni ,na kwamba aendae nuruni aiona njia kwahio umoja upo maana wako nuruni.pia hajasema alikua Mchungaji kanisa lipi mkoa upi wilaya gani Kijiji kipi. Pia wachungaji huwa wanamhubiri YESU lkn huyu asema alikua akihubiri ukristo kwenye MAKANISA Yote Tanzania ,Yani Roma,KKKT Anglikan,movovian,Assemblies of God ,pentecoste ,AIC.Menonite ,Ephatha,Ufufuo na uzima, kanisa la Kristo Nk nk nk
@ashuhunamohamed7997
@ashuhunamohamed7997 Год назад
😂😂😂
@mrok284
@mrok284 2 года назад
Allah atuongoze sote . Atuepushe na ubabaifu wa Imani. Tumekuwa waislamu na Allah atufeshe tukiwa waislamu. Amin
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 года назад
Na atufufue tukiwa waisilam, amiin Yaa Rabb
@oman7710
@oman7710 Год назад
@@alhamdulillah5796 Allahumma amiiin Yarabb
@umfahad2609
@umfahad2609 Год назад
Allahuma amiiin.🤲
@othmaniselemani632
@othmaniselemani632 Год назад
Atufishe tukiwa waislaam na atupe mwisho mwema amiin
@shadrackwilfred2606
@shadrackwilfred2606 Год назад
Yesu ni Mungu wenu wote
@charlesmapunda5905
@charlesmapunda5905 Год назад
Majini yamekuzidi na njaa zimekuzidi umeshindwa kuyadhibiti Majini na Familia ukaona urudi kutumikia Majini pole sana
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Год назад
MAPUNDA WEWE NI KONDOO WA VATICAN.
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 Год назад
Njaa itokee wapi wakati alikuwa kanisani mahali penye pesa....huku kwetu hakunaga pesa bali kaijua HAKI na ndiyo aliyoirudia baada ya kuijua KWELI @ Charles
@Motheking-ps2tl
@Motheking-ps2tl 2 месяца назад
Yesu aliongea na majini uso kwa uso. Marko 5:9
@shakila3982
@shakila3982 Год назад
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kunitoa katika ukafir
@hassanhhh8651
@hassanhhh8651 Год назад
Mwanzo kwani ulikuwa huko
@soudshanani5847
@soudshanani5847 2 года назад
"utawaona watu wana ingia dini ya mwenyezimungu makundi kwa makundi"Quran ilishamaliz yote hya Allah azid kuwapa sahal waja wake walio poteaaa
@shadrackwilfred2606
@shadrackwilfred2606 Год назад
Uislam mwisho wake hapa hapa duniani
@shamzone388
@shamzone388 Год назад
@@shadrackwilfred2606 ndio unavyojidanganya
@shadrackwilfred2606
@shadrackwilfred2606 Год назад
@@shamzone388 kinachokudhibitishia kuwa ninadanganyika ni nini
@Ukhtyzuhura
@Ukhtyzuhura Год назад
Amiin
@Ukhtyzuhura
@Ukhtyzuhura Год назад
@@shadrackwilfred2606 Inna Lilahi Wa Inna ilayhi rajiuun
@bauchatv5008
@bauchatv5008 2 года назад
Mashallah mashallah mashallah Allah amuongoze KATIKA inami Inshallah
@siamuchunguzi
@siamuchunguzi Год назад
Kimsingi wewe hujawahi kuwa mkristo maana hata katika mazungumzo yako hufanani na Kristo,,,, naona umeamua kurudi upande ulioona kwako ni sahihi nenda mwana kwenda tuachie Yesu Kristo wetu maana YEYE NI NJIA KWELI NA UZIMA,, NA MTU HAWEZI KUFIKA MBINGUNI BILA YESU KRISTO.....
@hawaamohammed6687
@hawaamohammed6687 Год назад
Mwenyezimungu akuongoze njia sahihi
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Год назад
Sijakuelewa vizuri Teddy maana yake huwezi kufika mbinguni bila kupitiya kwa Yesu ili ufike kwa Yesu? Nifafanuliye vizuri
@mussamsanu1544
@mussamsanu1544 Год назад
Ni sawa Yesu ni njia huwezi kwenda mbinguni mpaka upitie kwake. Lakini ni wanani hao ambao hawawezi kwenda mbinguni mpaka apitie kwa Yesu. Yesu anatoa jibu anasema "Sikutumwa ila kwa kondoo wa nyumba ya Israel waliopotea." MATHAYO 15 : 24. Kwa hiyo ndugu usijifarague bure. Ni kawaida yenu kukataa pale anapotokea mkristo àkasilimu, ila mnapowarita waislamu wa kupanga. Huyo alikuwa mkristo hilo halinashaka hata kidogo.Hao akina Mwaipopo hawakuwa wakristo mnona hamkanushi? Acheni porojo mtaangamia bila ya sababu.
@Nily-kz3db
@Nily-kz3db 3 месяца назад
Yesu N Njia Mt2 Haend Kw Baba Ilaa Kuptia Mm Yesu ,mbn Unanfcha hapa, Ndugu Yet2,Yesu Mtume Ana Mungu wake,tunashngaa mnatangaza Kua Yesu Mungu,Sasa Kuna Mungu wawil nyie wakrsto
@ucjvvjcjjvih9934
@ucjvvjcjjvih9934 Год назад
🇹🇿Maashallah karib waislamu sote ndg wala usihofu🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 Год назад
Pole kwa yaliyo kukuta nafasi ipo kwa YESU
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 Год назад
Yesu hakutumwa kwako, unajikomba, tu
@AbdalaRamadhani-by6bt
@AbdalaRamadhani-by6bt Месяц назад
Polesaanaa kwa upotevu uliopitia Allah akuongoze katika haki iindio dini ya haki
@mariamhamad4171
@mariamhamad4171 Год назад
Bismillah mashaallah yaallah msameh mjawakohuyu naumjaalie mwishouliomwema umpejannat Firdaus aamin
@user-zt6re1dr5f
@user-zt6re1dr5f 8 месяцев назад
Takbiiiiiiiiir,Allahu Akbaru
@georgenkaya905
@georgenkaya905 2 года назад
Msidanganyike huyu hajawahi kuwa mchungaji alikiwa mwinjilisti na ameondolewa kazini kutokana na tabia zake zisizoridhisha asiwadanganye kupata umaarufu akumbuke Mungu hadhihakiwi
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l Год назад
Umenena😄
@charlesmapunda5905
@charlesmapunda5905 Год назад
Hakuna mchungaji hapo huyu uzinzi ndio umemtoa huko tabia za Waislam ni kuoa Wanawake wenye umri kama Mama zao na Vitoto vidogo ambavyo havijitambui na ukute bado kinatakiwa kusoma lakini wanawakatisha masomo na Kuoa wanawake wengiwengi yote hayo Mtume wao kafanya eti na wao wanaiga huo upuuzi sijui akili za hawa watu zikoje
@shamzone388
@shamzone388 Год назад
@@charlesmapunda5905 wewe una dini yako na yeye ana dini yake... Kwa hiyo tulia tu
@charlesmapunda5905
@charlesmapunda5905 Год назад
@@shamzone388 Tutulie ili azidi kuongea uzushi huyo muongo alikwenda kujifunza Biblia ili aje kutumika kwa upotoshaji na wasio.jua kabisa Biblia basi kila atakalo sema waislam lazima wamkubalie maana hawana upeo wa kuyajua maandiko kiroho
@amijeyjeymiwani7466
@amijeyjeymiwani7466 Год назад
hujui ulisemalo bora ukaekimya
@benedictntilla6943
@benedictntilla6943 Год назад
Kumbe ameondolewa kwa sababu ya maovu yake sasa kwa akili yake anadhani anawakomoa wakristo kumbe waumini ambao alikuwa nao wanamuona pole sana.
@innocentmorice1690
@innocentmorice1690 Год назад
HUYU JAMAA NIMSANII SIYO MCHUNGAJI WALA ALIKUWA MIINJILISTI KEKEI TI AKAFUKUZWA ASI DANGANYE KUWA ALIKUWA MCHUNGAJI KAFILISIKA HUYO
@tanga_father
@tanga_father Год назад
Utabili uliotabiliwa kwenye vitabu umekamilika, watatokea manabii wa uongo, hongera ndugu kumfuata mwenyez mungu
@husseinmohamedjama6316
@husseinmohamedjama6316 2 года назад
Ma sha allah tabarakallah Karibu ktk Uislamu tena Allah akudumishe ktk Uislamu wewe na sisi sote atufishe hali ya kuwa ni Waislamu. Kama kuna namba ya M pesa tunaomba tuchangie sadaka ya Msikiti Barakallahu fii kum
@BABDEOMILADU
@BABDEOMILADU 2 года назад
Namba yake ipo hapo kwenye video inapita, au mwsho huko kaitaja
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 года назад
Na amfufue muisilam, amiin.
@godphreypriest9714
@godphreypriest9714 Год назад
Luuka 22:48 Yesu akamwambia Yuda,wamsaliti Mwana wa Adamu kwa kumbusu? Ulivyomkana leo mbele ya wanadamu uwe na hakika Mwana wa Adamu takukana mbele ya malaika zake siku ya Hukumu ile kuu Dini(al-mustaqim)..ndiyo inakufanya uache WOKOVU(Uzima wa milele)? Ayubu 4:6Je!Dini yako siyo mataraja yako,Na matumaini yako sio huo uelekevu wa njia zako? 1Yohana 2:19 Walitoka kwetu,lakini hawakuwa wa kwetu,Maana kama wangalikuwa wa kwetu,wangalikaa pamoja nasi.Lakini walitoka kwetu ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu. 1Petro 2:20-22 Kwa maana wale waliokwisha kuyakimbia machafu ya dunia kwa kumjua BWANA NA MWOKOZI YESU KRISTO,kama wakinaswa tena na kushindwa,hali yao ya mwisho imekuwa mbaya kuliko ile ya kwanza.Maana ingekuwa heri kwao kama wasingalijua njia ya haki,kuliko kuijua,kisha kuicha ile amri takatifu walitopewa.Lakini imetukia kwao sawasawa na ile mithali ya kweli.MBWA AMEYARUDIA MATAPIKO YAKE MWENYEWE,NA NGURUWE ALIYEOSHWA AMERUDIA KUGAA-AA MATOPENI. Sahihi Muslim vol 4,Hadith no 2267 Allah ndiye atiaye tamaa mbaya mbaya,uongo,uasherati katika nafsi za watu kila mmoja humkadiria kwa kipimo chake Qrn 3:54 Wamakaruu wamakaraa ailah,walah kaitor makiriina
@Yesunimwokozi1
@Yesunimwokozi1 11 месяцев назад
Umeijua kwel..na sasa umepotea tena... YESU ATAKURUDISHA KWAKE TU
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 Год назад
Yesu asifiweeeeee
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Год назад
YESU ASIFIWE KAMA MITUME WENGINE.
@RashidAli-lt6qb
@RashidAli-lt6qb 3 месяца назад
Asifiwe na baba mama au watoto
@mathayomwashambwa1238
@mathayomwashambwa1238 Год назад
HAINA SHIDA ULIKUWA DINI AWALI NA UMERUDI DINI, HONGERA SANA KWA KURUDI KWENYE DINI...SISI YESU KRISTO MWANA WA MUNGU NDIYE KILA KITU KWA MAISHA YETU HAPA DUNIANI NA BAADAYE, HUKUFSNIKIWA KUMUONA HIVYO HUJAWAHI KUMJUA, RUDI GIZANI KWENU NA USIRUDI TENA....
@prophetislael5265
@prophetislael5265 Год назад
Usichukie mtumish kumbukumbu 30=19 Mungu katupa kuchagua muache achague mwenyewe
@mathayomwashambwa1238
@mathayomwashambwa1238 Год назад
@@prophetislael5265 UNAJUA KUINGIA DHEHEBU AU DINI YA KIKRISTO WATU HUDHANI WAMEKUTANA NA KRISTO, HUYU KIU YAKE HAIJAWAHI KUONANA NA KRISTO NA KUFUNULIWA ILE MITO MIKUU YA MAJI...WALA SIJAKASIRIKA, ILA UNAJUA TU KUWA KUNA SIRI KUBWA KATI YA MTU KUKUTANA NA BW. NA KUPATA TOFAUTI YA KULE ALIKUWA NA UPYA AUPATAO...HII NI CHANGAMOTO KWETU...
@ezekielleonidas5798
@ezekielleonidas5798 Год назад
Hakika
@janemujuni764
@janemujuni764 Год назад
Hakuna kilichoharibika,huyo hakumfuata YESU KRISTO alifuata dini na ameirudia dini,
@aizackmaiko487
@aizackmaiko487 Год назад
kweli kuchanganyikiwa,sio mbaka uokote makopo,,utavuna
@Antipasmsabaha123
@Antipasmsabaha123 Год назад
Huyo ni njaa ndo inampeleka huko na kuona , we muna mujua ayubu alipataka mateso gani? Hata mu badirishe majina sio moyo, na huko Kija na muna munulia gari mbili imoja inagonga moter ingine ajali kisha hapo ataenda kwa dini gani? Ndo wale doctor mwaka alisema hivyo munaona mpya kabisa.
@christinambwilo8101
@christinambwilo8101 Год назад
Mungu akusamehe
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 Год назад
Jiombee nafsi yako, yeye amesharudi ktk njia iliyo nyooka: utajuta siku hiyo usipo badilika kuwa Muislam
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free Год назад
Takbir!!!!
@ezekielleonidas5798
@ezekielleonidas5798 Год назад
Siamini kama mtu aliyepokea Roho mtakatifu anaweza akawa mwisilam maana ametiwa muhuri hata ameshapita kutoka mautini kuingia uzimani na ametiwa muhuri hawezi kurudi dhambini waefeso 4:30
@odingamalambilo9070
@odingamalambilo9070 Год назад
Yohana 3:17, Huwezi kumpokea Yesu ukarudi nyuma , maana Yesu mfuatilie hajawahi kishindana
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 Год назад
Kama unakataa mtafute youtube
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 Год назад
ALLAH AKUSAMEHE NA AKUPE ELM YENYE MANUFAA
@Motheking-ps2tl
@Motheking-ps2tl 2 месяца назад
Kiukweli kama ni kuabudu mungu ni kuwa mwislam. Kama ni utajiri waaraka na kuabudiwa asiekuwa mungu ni kuwa mkristo.
@BenjaminHenry
@BenjaminHenry Год назад
Pole sana ndugu yangu.
@januarynicholas8088
@januarynicholas8088 Год назад
Mbona nikawaida mimi nampenda Yesu wangu nasitamwasha
@husseinkiruta1712
@husseinkiruta1712 Год назад
Sasa inatuhusu Nini
@salumsodangu1372
@salumsodangu1372 Год назад
Hata waislam wanampenda yesu Sana Tena Sana Zaid ya nyinyi ambao mnamzushia kua mungu, mwanawa mungu,kafa msalaban,mala kafufuka na mengine mengi mfano wa hayo .
@jimjam4148
@jimjam4148 Год назад
MASHA ALLAH
@shekhamuhham9044
@shekhamuhham9044 Год назад
Mashallah Barakallah fiika
@ndikumanainnnocent7796
@ndikumanainnnocent7796 Год назад
Asalam alykum www karibu tena kwenye dini yahaki nakutoka kwenye giza
@abdulbonomali6548
@abdulbonomali6548 2 года назад
Takibiiiiiiiiiiiiiir anlahu akbaru
@bonifacemlinda7196
@bonifacemlinda7196 Год назад
Mmoja akimkataa yesu maelfu ya watu wahitaji wanakimbilia kwake maana yeye uwarehem wote wamtafutao pasipo kuchungulia dini zao . Maana yesu hana dini maana ahitaji mioyo ya watu itakasike na kuacha maovu.
@deusaron7951
@deusaron7951 Год назад
Msichukie ndugu zetu siku zote haki inashinda uislam ni dini ya haki .hakika kauli ya Allah cku zote inashinda sasa watu wanaingia ktka dini yake makund kwa makundi
@humphreymsengi6686
@humphreymsengi6686 Год назад
Ni andiko lipi katika dini yoyote ile inayosema dini ya Mungu ni dini fulani?
@tumajunior6080
@tumajunior6080 Год назад
😭😭😭😭😭😭😭Allah akutangulie kuyarekebisha yote na kuwarudisha dini ya haki na sote tuwe na mwisho mwema allahumma ameen 🤲🤲🤲🤲☝💪
@AliMahmoud-tj2jb
@AliMahmoud-tj2jb Год назад
Ww nafsi yako naona haijatulia inaelekea una tamaa ya kimaisha,lakini m.mungu atakuongoza njia iliyo nyooka
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 2 месяца назад
You are well come brother may Allah bless you Ameen🤲
@bonifacemlinda7196
@bonifacemlinda7196 Год назад
Ukirsto ni imani iliyo sahihi na kweli na haulazimishi watu wamfate yesu kwa nguvu bali kwa hiari na kumwamini yeye.
@ashuhunamohamed7997
@ashuhunamohamed7997 Год назад
😂😂😂😂
@mudiali4506
@mudiali4506 Год назад
Hamna Dini ukristo wew bado una njaakichungaji
@yakobomkristo872
@yakobomkristo872 Год назад
Ukimaliza Kurudi Nyumbani 👉 Rudi Mjini Kama Mzee Taarabu 😂😂😂🤸🤸🤸
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 Год назад
Yesu kasema ukinikana na mimi nitakukana siku ya kiama
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 Год назад
Sula tu inaonekana ulikua mzinzi na umeasilika sula inaonesha huwezi kuwa mchungaji kabisa wewe ni mzinzi unaonekana umehalibu mabinti wengi sana na malipo yapo hapahapa na usije ukawamaliza mabinti wakiislam huko wawe macho
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 Год назад
Yesu amesema uki nikana na mimi nakukana siku ya mwisho.
@zulfahussein6784
@zulfahussein6784 Год назад
Wewe sisi kwaza ndio tunampenda Issa bin maryam ni mtume wetu pia
@seifsaid9905
@seifsaid9905 Год назад
Wee ndie unmkana yes s hyu shkh Alie jisalimisha kwa Allah
@shakila3982
@shakila3982 Год назад
Jesus is our prophet, and we love him,
@seifsaid9905
@seifsaid9905 Год назад
@@shakila3982 we yes ni muyahud wa islair c kwa wote
@hassanhhh8651
@hassanhhh8651 Год назад
Huyo huyo yesu atakuja kumiambia falaa talumun walumun anfusahumu wala musinilaumuni mimi bali zilaumuni nafsi zenu
@mbuerecarlos1396
@mbuerecarlos1396 Год назад
Kweri Mungu ni mkubwa ,unachokitafuta utakipata wewe mdhalilishe YESU . Tuna kuomba husimdhalilishe YESU wewe Rudi na endelea na mambo yako hatujui ulikwenda Ukiristo kupeleleza au .Tunakutakia mema na husimdhalilishe YESU.Guts
@yohana1242
@yohana1242 Год назад
Atamzalilishaje yesu sas🤣kweli wakristo mumepotea kweli na mioyo yenu ilivo migumu yesu ni nabii wa mungu waslam sote tunamkubal yesu ni mtume wa mungu kma alivo mtume wetu Mohamad na ndo mtume wa mwisho yesu alitangulia tu kabla yake na mitume wengine walokuj mwanzo
@yohana1242
@yohana1242 Год назад
Hamtaki kuisom tatizo Quran nyinyi wakristo ndo mana mnapotea
@abdallahmbunda8789
@abdallahmbunda8789 Год назад
Uelewa kitu muhimu sana unamwambia mtu njaa imemkimbiza ukristo kuna njaa pia unaandika kamkimbia yesu kivipi wakati waislamu wanamfuata kwa haki matendo hata sala zote alizokua anasali yesu ndio waislam pamoja na matendo ya yesu yote changia unachokijua kama hujui uliza linj yesu aliingia kanisani?•
@oman7710
@oman7710 Год назад
Masha Allah
@user-xd5op9nn5c
@user-xd5op9nn5c Год назад
Unakumbuka ulichonifanyia Mungu anakuona kwakwel
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 Год назад
Mashaallah
@ShebaniNyando-d3u
@ShebaniNyando-d3u Месяц назад
Allahu Akbar
@brasolebasoto2434
@brasolebasoto2434 Год назад
Mnajua sana kuigizaaaa
@isaacvtv547
@isaacvtv547 Год назад
Huyo hajaokoka
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Год назад
Bwana Yesu bado ni mwokozi tuuuuu Kwa wt watakao mwamin.i
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 Год назад
Njaa ni mbaya jamani.
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 Год назад
Shiba wewe huo moto.
@user-qd2jq6vo2y
@user-qd2jq6vo2y Год назад
Makafiri wanacukiya karibu dini yahaki niwislamu
@alexambrose4722
@alexambrose4722 Год назад
Imani bila matendo ni Bure kabisa
@samwelingasa1638
@samwelingasa1638 3 месяца назад
Wakristo tuendelee kuamini makka yenyewe wamevamiwa na manzige laana ya mwenyezi Mungu inawapata kwa kuabudu mwezi lkn bado hawaamini ipo siku
@salummussa9871
@salummussa9871 Год назад
Waislamu tunapigwa Sana tunadanganywa huyu ni mchungaji wa kanisa Gani ,,? Tunapigwa hapa huu ujanja unja ni shida
@joank7929
@joank7929 Год назад
Cha giza ni cha giza, cha nuru ni cha nuru. Hivi kwanini watu wanatumia nguvu nyingi kuongelea imani za wengine vibaya?🙄🙄 Nafikiri kama una uhakika wa kile unachoamini, basi tumia muda wako na nguvu zako kumkaribia Mungu wako. PERIOD.
@mariamsindano1953
@mariamsindano1953 Год назад
Ni kweli kabisa unachosema,
@daniellaiser4672
@daniellaiser4672 Год назад
Hawana cha kuhubiri kwenye dini yao.huyu ni agent wa shetani na alipoenda ukristo kama ni kweli alienda kudadisi na kama ni kweli Yesu atamkana mchana kweupe
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 Год назад
Mashallah Allah ❤❤
@hanifadarwesh4851
@hanifadarwesh4851 Год назад
Assalam alaykum karibu akhy.Kila mwanaadamu nimkosa nambora wamakosa nimwenyekutubia tunamuomba Allah akupeistiqama yakumuamini yeye na atupe mwisho mwema. Simama kwenye haki hutojuta.
@kamalmukaddam1521
@kamalmukaddam1521 2 года назад
SubhanAllah
@hiarijuma2684
@hiarijuma2684 Год назад
KAMA KWELI. TUMIA JINA ULIOPEWA NA MZEE WAKO
@hadharaalli5201
@hadharaalli5201 Год назад
Ma shàa Allah Mungu akuongoze in shàa Allah
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 Год назад
Hizi ni dalili za Qiyama Allah amesema katika Qur-an tukufu Utawaona wakiingia katika dini ya hakki makundi kwa makundi ALLAAHU AKBAR
@wardw3022
@wardw3022 Год назад
Allah Akbar
@ashamohamed7315
@ashamohamed7315 Год назад
Allah akbar bora umerudi kwenye dini ya kweli ungekufa ukiwa kafiri
@josephmanyambania5404
@josephmanyambania5404 Год назад
Afadhali amerudi alikotoka. Hao wapo wengi jihadharini sana nao.
@aaSs-yf8oq
@aaSs-yf8oq Год назад
Yesu ni Mungu na ni njia kweli na uzma ya kufika mbinguni.
@sulemanisaidi9975
@sulemanisaidi9975 Год назад
Hujielewi wewe tokalini binadam akawa mungu
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 Год назад
Mental retardation.
@mudiali4506
@mudiali4506 Год назад
Yesu awe Mungu awe mtoto. Vip wee Inakuaje. Hlaf huyo yesu Mungu atahiriwe sjui hapo elewa wako una matatizo
@angelnyinge4139
@angelnyinge4139 Год назад
MWANZONI NILIPOSOMA KICHWA NILICHANGANYIKIWA SIO UTANI. ILA NILIPOSIKIA TENA KUWA ALIKUWA MUISLAM aii! hainipi shida ameona kuwa kwa YESU wetu hakuna mchezo kwa hiyo kumemshinda kaona bora arudi kwao. UKIJA KWA YESU KWA KUJARIBU LAZIMA URUDI RIVASI ULIKOTOKA. Chezea JESUS wewe
@issaidi
@issaidi 2 года назад
Masha’Allah
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 Год назад
Kutengwa na ndugu ndio kumesababisha umuache YESU? Ninachoona hukupata mafundisho sahihi
@nooroman2535
@nooroman2535 2 года назад
MashaAllah
@sulemanisaidi9975
@sulemanisaidi9975 Год назад
Taqibili
@bonifacemlinda7196
@bonifacemlinda7196 Год назад
Wewe ndugu kwa yesu hakuna ubabaishaji wala unafiki madam umetoka mwenyewe. Yesu yeye ni yule yule hageuzwi na maneno yako kuwa mengi
@wardw3022
@wardw3022 Год назад
Allah Akbar
@dusabearafatrwigema9248
@dusabearafatrwigema9248 Год назад
Allah akbar
@lawimichaelwerewere7619
@lawimichaelwerewere7619 Год назад
Tapeli tu akuna kitu apo endelea na utapeli Yesu atakujibu
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 Год назад
ASHRAF NAKUNASIHI KUSOMA,UISILAM NI DINI YA ILM
@macrinajoseph1422
@macrinajoseph1422 Год назад
Neno la mungu linasema.mwenye dhambi mmoja atubupo maraika.wote.mbinguni wanashangilia. . mshangilieni huyo kondoo.aliyepotea amerudi zizini. Injili ya yesu.iko wazi kabisa.kwenu wote. Ukweli ukowazi .dhamani ya yesu.juu ya ulimwengu ni.kubwa mno. Kilamtu anatakiwa kuijua dhamani.hiyo awesalama. Yohana 14:6. Yohana 17;1.. 4. Manenohaya. Yananguvu sana anayesoma atafakari. Yesu.akimbiliki pole. Mchungaji bora ungerudi na kunyamaza.kimya. Sasa umekuwa sauri. Numa yako yuko yesu ukotayari kuficha ukweli
@shadrackwilfred2606
@shadrackwilfred2606 Год назад
*Yesu ni Mungu Wa Wote* acheni kuamini Uongo
@aishasaidi4599
@aishasaidi4599 Год назад
Yesu sio mungu
@shadrackwilfred2606
@shadrackwilfred2606 Год назад
Ni Mungu Wako. Nimeudhibitisho kuwa sio Mungu
@aishasaidi4599
@aishasaidi4599 Год назад
Yesu anamama mungu hakuzaa Wala hakuzaliwa
@shadrackwilfred2606
@shadrackwilfred2606 Год назад
@@aishasaidi4599 Nani alikuambia....
@aishasaidi4599
@aishasaidi4599 Год назад
Nikitabu chetu kitukufu ndio kime nambia
@user-xd5op9nn5c
@user-xd5op9nn5c Год назад
Alikuja kanisani kwetu jmn Mungu huyu achen kila kwaya alikuwa na dem
@fathmaoman1186
@fathmaoman1186 2 года назад
Ma Shaa Allah Ma Shaa Allah Ma Shaa Allah
@IbnuAlly-cg2gn
@IbnuAlly-cg2gn Год назад
Makafir wamechukia sana huyu kijana kuacha upotevu wao, kufeni na chuki zenu
@islamsadiki4747
@islamsadiki4747 Год назад
Mashalah
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 Год назад
Kama wewe ni mtoto wa giza nenda kwenye giza, kama wewe ni mtoto wa Nuru Yesu anakuita tena njoo atakusamehe na atasahau maovu yako yote YESU ni BWANA
@babauna3458
@babauna3458 Год назад
Wewe kafiri endelea kuabudu kiumbe yesu.
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 Год назад
@@babauna3458 Yesu ni Mungu milele yote ndiye Bwana na mwokozi wa maisha yetu binadam wote
@digitaldevelopers932
@digitaldevelopers932 Год назад
@@odhiaodhia9898 Lete andiko linalosema yesu ni Mungu. Analoongea mwenyewe, na si la wahadithiaji.
@aliali-wc3sg
@aliali-wc3sg 2 года назад
Mashallah
@halimadeulle3286
@halimadeulle3286 Год назад
Ushaipata fursa ya kuozesha c ulikua unataka kuzka kazke
@allymuhamed7295
@allymuhamed7295 Год назад
Mbona jina lako na kinywa chako ni tofauti sana wewe Halima. 😒 acha udhali wa hovio.
@sophiajuma6798
@sophiajuma6798 Год назад
ALLAHU Akbar
@halimakihame1744
@halimakihame1744 Год назад
Yani kwann watu mnapenda kuchezea dini ya Allah mmh
@eliakisinga5360
@eliakisinga5360 Год назад
Unatuchanganya yu
@julianamwamgogwa
@julianamwamgogwa 3 месяца назад
Nenda ukienda wewe yesu anawaleta maelfuelfu wanaotubu na kuziacha zambi zao.chezea ukristo wewe watu waso wambinguni wanajiengu wenyewe .uliambiwa hiinjia ni nyembamba utaweza wapi we uso namisuli yaimani injia wanapita wenye misuli ya imani waso na misulipisha pembeni
Далее
Кого из блогеров узнали?
00:10
Просмотров 291 тыс.
HASHIM IBWE KUMBE YUKO  VIZURI KWENYE QURAN SIO MPIRA TU
13:12
Mchungaji ahelezea kisa kilicho mfanya aslimu
20:01
Просмотров 9 тыс.
KWA NINI NIMESILIMU 22 August 2024
29:36
Просмотров 45 тыс.