Mama Samia ni Rais Mzuri hawa wote wanafanza kutaka kumharibia kwanza kwa sababu ni Mzanzibar, Muislam na Anaongoza uzuri na Anaganza mazuri, sisi tunampenda na tuko nae na tunampa kura zote hao wameumia sana, Shekh maneno yako ni kweli ni chuki tu
Kutekwa kwa watu ni kitendo cha kishetani na hakikubaliki. Ila kutekwa watu ni kwa Awamu zote tena mauwaji ya wazi2 yaliyotokea kbl ya Rais Samia. Hizo ni chuki za viongozi wa wakiristo kutoa kauli za kashfa na na matusi kumchafua Rais kwa sababu ni muislamu. Mwaipopo kweli umenena jambo.
Huyo Mchungaji nashauri akapimwe Akili kwanza. Na achunguzwe kwa makini, huwenda ni wa Shakahola. (Kwanza Unabii aliutoa wapi yeye kama si utapeli wa kuibia watu) "Kweli Yesu aliwasema Manabii wa uwongo, ndio hao"
Kweli ww ni mpumbavu ndugu yangu kwahio chadema wanamiliki silaha nzito kama zile ambazo zinatumiwa na usalama wa taifa? Chadema wasimqmishe gari barabarani na serikali isiwafanye chochote tuache utoto@@HASSANWAZIRIGAO
Huyu anaongea ya kwake, ni sauti ya kianasiasa, si sauti ya kichungaji anatumiwa tu na shetani. Mtu wa Mungu daima anaongea amani, upendo na kusaidia wahitaki.
Huyu mchungaji sijui mtume Mimi nitamteka anamtukana mama etu chadema ni chama Cha watekaji wanatumia macenaries WA south serikali tumia JWTZ hii ni taasisi yenye nidhamu NA uwezo WA kupeleleza NA kumkamata yoyote popote mama usipate TABU wajanja vidume vyenye BUSARA yaani JW watumie watakomesha unyama huu ahsante
Chadema wanajitekenya na kucheka , wenyewe ,wameona KUPATIA sera zao hawawezi KUPATA ushindi kwenye uchaguzi na kukamata Dola, sasa Wana Fanya njia za kudeka watu ili wananchi waichukie serikali Yao ili wawachague wao. Wanataka ushindi nje ya uwanja kwa mbinu za kudeka watu kuichafua serikali
Dr Samia Suluhu Hassan wewe ni raisi wa Watanzania wote,na sisi tulio wengi miongoni mwa wakristo tunakupenda na tunakuunga mkono,hawakosekani baadhi ya watu wachache wenye mtazamo wa kidini,kikabila na kimaeneo,wamevaa majoo ya uaskofu kumbe ndani yao ni wanasiasa wenye siasa za chuki,raisi Dr Samia Suluhu ni raisi muungwana mwenye ubinadamu sana alimfuata Tundu Lisu Ubeligiji arudi nchini kwa amani,kuna usemi unasema tenda wema nends zako!Samia si wa kufanyiwa vitimbi kama hivi ni mwema sana,lakini usijali mama fanya kazi Mungu atakulipa,Muhammad pamoja na wema wao walitendwa mabaya.usijali sisi tulio wengi tupo pamoja na wewe.Biblia takatifu au Yesu mwenyewe hakuwa na chuki hata walipomtenda mabaya yeye aliwabariki,huyu mchungaji hakutumwa na Yesu kajituma mwenyewe!,kumzomea kiongozi ambaye kwa kweli Mungu ndiye kamweka hapo ni dhambi,hakujipeleka Ikulu mwenyewe,kuna wa ngapi walitamani sana kuwa maraisi lakini hawakupata?! ni Mungu mwenyewe ndiye aliyeridhia mama yetu kuwa katika jumba hilo jeupe,watu wote ni wajibu wetu kumpenda na kumwombe...kama kweli unampenda Mungu huwezi kuacha kumwombea raisi na srrikali yake..Mimi naungana na watanzania walio wengi kumuunga mkono raisi wetu...raisi wetu ni Mtanzania hakutoka Nigeria au nchi yoyote..eitha raisi atatoka Tanzania bara au Zanzibar..anapotokea sehemu moja wapo ya muungano huyo ni raisi wetu wote..zinapotokea kauli za kibaguzi tuzipinge..Mimi kama Mkristo na wakristo wote tumpinge huyu mchungaji kwa sababu kauli zake ni za kibaguzi na kutaka kuligawanya taifa letu kwa misingi ya dini,ukabila na ukanda..Nyerere aliwahi kusema ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu,tuache kabisa mambo hayo ya ubaguzi ni dhambi. Mungu mbariki na kumlinda raisi wetu,muungano wetu na watu wake,upendo na mshikamano.Amina.
Mama Yetu Samia ni Raisi Mwenye Hekima sana. Acheni mambo ya uchochezi watumishi. Kuweni na hekima kama za Raisi.acheni mambo ya udini na kuwaingiza watanzania wengine kwenye hila zenu.
Ndo Maana nachukia siasa baba yangu alikuwa kada Wa cuf kwel kwel mie ulikuwa hunambii kitu kuhusu chadema lakn Sasa sitak kusikia Chama chochote Sabab inanfanya nakuwa mbali na mungu wangu uongo mwingi mbinu chaf nying lengo Kumfanya kiongoz Wa Nchi aonekane mbaya wapo tayar kuharibu ofic hata kudhur Wa karib ktk wafuas wao ili aonekane mtawala Wa serikali mbovu kiongoz Wa Nchi hafai ilhal mbinu wanazifanya wao washenz Wa kubwa sitak kusikia siasa utakuta a kwa muumba wetu ukwel utakuwa wazi
Shehe usiseme wakristo wote hapo znapoongea wapo wangapi anaongea pèke Yake kwaakili Yake kwanini useme wakristo wewe ndio mchochezi kuchanganya wakristo wote 😂
Mchungaji kachemka.Biblia inaainisha wazi kwamba ;"Mamlaka zote zilizopo zimewekwa na Mungu " , vilevile tumeagizwa tutii hizo mamlaka. Huyu aombe rehema,hajitambuwi.
😅umemskiliza huyu kumbe ni Chadomo na kumbe chadomo ni chama WACHAGA NA WANYIRAMBA MAANA SAUTI YA HUYU MCHUNGA MBWA NI LISU MTUPU 😅ATI ANAMZOMEA RAISI KENGE KWELI KWELI.
Sheikh Mwaipopo,huo ndiyo ukweli Baadhi ya jamii za Kikristo na Wachungaji wao wanachochea kwa wananchi kuichafua na kuto kuipenda Serikali. Hii ni mbaya tunako elekea siyo kuzuri.
Uislam hauna chama chake chakuunga mkono, nachama ambacho uislam hauungi mkono, ila waislama kila mmoja anachama anachokiunga mkono yeye kama yeye, hivyo hoja yako haina uhalisia wowote, kuweni makini na udini.
Wewe sio kiongozi wa dini na pia hukustaili kuwa.unadhambi kubwa ya kuwapotosha wakristo tafuta maneno ya busara yq kuzungumza kwa Taifa lako sio uchonganishi.
Ukweri alichofanya si kizuri lakini dam azimwagiki ukweri ila tuombe sana na nyinyi mashee na wachungaji angarieni msije mkasababisha vita ya kidini pili baazi WA waumini watakua awaendi kanisani Wala miskitini sababu dizi zimeibgia kwenye siasa
Uyu jamaaa Afai kuwa kiongozi,nisawa na kiboko wa wachawi anapenda sana kujionesha kujua sana kumbe zero.acha Udharimu.Kwa haya ulio ongea una faida ya sh ngapi? Kama so ufukra?Sikupendi maana unatabia za ovyo.
Wewe si mtu mwema akuna kitu kama hiko umepungukiwa na hekima akuna Mtume wala Nabii kama wewe Yesu ni wa Amani kama watumishi wengine wa Mungu usitumiye Biblia kwa kutafri vibaya
Kiukweli nilikuwa sijasikiliza haya maneno ya huyo mchungaji nashauri jeshi la polisi kupitia kwa DPP aangalie kama kuna jinai ama kuna uhaini ndani yake ili akashowcase
Chadena wana chuki na wanaubaguzi wa kikanda na dini. Na ao wanojifanya wachungaji hawana uchungaji mmoja. Na huenda wao ndo wana yafanya utekaji na uuwaji ili ionekane serikali ndo inafanya ayo. Hawa wanataka kutuchafulia amani yetu. WATANZANIA amkeni chadema wanajifanya wana akili sana, pengine wao ndo wamemuua, halafu wanajitia kulia.
Mimi nimwislam lakin serikali yetu tumewachoka watu wabaya sana wengi wao wamepoteza watu wengi akiwemo ndugu yangu huu mwaka wanane nae alichukuliwa na usalama wataifa tena akiwa msikitini hii sio serikali bali wauwaji
@@HanifaOman-oo4pl nimwambie kitu kuna kipindi walikuwa wanakata waislaam wenye msimamo wengi walipotezwa ndugu yangu nae Allah alikuwa kamjalia kushikamana na dini hakuwahi kuwa mwana siasa kazi yakealikuwa mfanya byishara alikuwa na duka la spare mwanza alikuwa mtu wa watu nasio yeye peke yake niwengi waislaam walipotzwa ajabu walikuja kumkamata mwezi wa Ramadan akiwa msikitini hicho kipindi walikuwa wakuona mtu kafuga ndevu kavaa kazu yake fupi kiasi wanamwita gaidi ila yote kwa yote tulimkabidhi Allah yeye ndie ajuae imepita myaka nane sasa watoto wanabaki kuuliza kwani sisi hatuna baba? Kadogo kalikuwa ndio kamezaliwa kengine kalikuwa na myaka miwili na nusu
Kuna Nabii mwingine ?hebu tuulizane jamani baada ya Nabii Issa au Yesu na WA mwisho ni yule aliesema yeye Yesu,Yuko Ajaye nyuma yangu :Nabii Issa ambaye hakuna shaka ni nabii Issa (Yesu) OGOPENI WANAOIOGOPA KESHO KULIKO LEO ,(Hao hawaigope Kesho be careful
Mama anapendwa na wakristo wengi acha uchanganishi,muft anaongea busara sana kuliko wewe,yeye huyo sio msemaji wa wakrsto,acha kuwachonganishaa wakristo na waislamu