Тёмный
No video :(

MCHUNGAJI HANANJA USIOE MWANAMKE ALIYEZALIA NYUMBANI AU MSOMI KUKUZIDI 

SIMULIZI ZONE
Подписаться 219 тыс.
Просмотров 104 тыс.
50% 1

HUYU HAPA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AKIELEZEA HATARI YA KUOA MWANAMKE ALIYEZALISHWA TAYARI AU MSOMI SANA

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 163   
@NuruNgole
@NuruNgole Год назад
Mungu akupe hekima mchungaji. Nipoit tena ukweli mtupu
@official_dicksonmunga
@official_dicksonmunga Год назад
Ukiowa Mwanamke mwene mtoto bro jua umenunua kiwanja chenye migogoro
@stellamsokwa6785
@stellamsokwa6785 Год назад
Siyo kweli inafutana na akili ya mwanamke mwenyewe anayeolewa.. katika kujitambua na kujiheshimu.. akili ya mwanamke mwenyewe....
@dayana5513story
@dayana5513story Год назад
😂😂😂
@Mpakauseme
@Mpakauseme Год назад
kabisa
@mckobatz5861
@mckobatz5861 Год назад
😂 kiwanja cha urithi chenye mgogoro
@frenkfarm1139
@frenkfarm1139 Год назад
hahahahahahaha jamani nikichekesho ila nihatali sanaa kwenye maisha ya mutu nafsi namwili pia tue makini
@yohanajoseph5773
@yohanajoseph5773 Год назад
Eheeee safi sana mchungaji kwa kuelimisha hananja namukubari sana
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 Год назад
Tena kuna aibu kubwa mwanaume kutunzwa na mwanamke.Katika kitu cha kuogopa katika kuoa nikuoa mwanamke mwenye elimu ya juu kukizidi na mwenye pesa kukuzidi.Utajuta katika maisha.Hii ni hekima.
@user-bm2tr7sn9e
@user-bm2tr7sn9e 7 месяцев назад
Nikweli kwa mtazamo wako lakin Kama mtu kakupenda awezi kukudharau hata siku moja
@Angle-bw4jr
@Angle-bw4jr 6 месяцев назад
Upo vzr mkuu wangu
@user-nm4de1nj7d
@user-nm4de1nj7d 7 месяцев назад
Tuliozaa tunasema iviii tupo makini sana na familia zetu atukuzaa kwabahati mbaya ila mungu alitupa zawadi kumbukeni hilo alafu tukiacha huwa tunaacha kweli lakini mnatufikilia vibaya mungu apenfi ebu wazungumzieni waliotoa mimba ndo muwajadili
@Maalim_Samatta
@Maalim_Samatta 7 месяцев назад
😂😂😅
@hamzamfyagidzi6344
@hamzamfyagidzi6344 7 месяцев назад
Mnasahau nyinyi kama mlitelekezwa Mnapigaga Rivas Mnakumbushiaga nyinyi Yani mkipishana kidogo2 Tayari ana mtafuta mzazi mwenzie Wana wake hamwamini
@mush337
@mush337 6 месяцев назад
Yule mtoto anafaa kufukuzwa jinsi Ibrahim alifukuza ismaili
@mikathedon
@mikathedon Год назад
Kumbe watu wa mungu wa ukweli Bado wapo duniani...mungu akuzidishie afya pastor Hananja..upendo mwingi sana kutoka KENYA
@danaseb1620
@danaseb1620 7 месяцев назад
hongera mchungaji kwa point za ukwel kuhusu kuoa waliozaa use na kifua kuvumilia wakati wenza wakiwasiliana
@BabaakeBabaake-br9ux
@BabaakeBabaake-br9ux Год назад
Nakukubari mchungaji asante kwa somo
@SephaniaPaul
@SephaniaPaul 11 дней назад
Hakika baba umenjaa hekima na kinywa chenye hekima hujaa marifa
@user-zh8gi5ut6y
@user-zh8gi5ut6y Год назад
Sawa kabisa
@fikiriseleman3460
@fikiriseleman3460 Год назад
Hahahah noma sana
@johnpetro1069
@johnpetro1069 7 месяцев назад
Uliongea point sana mzee wangu🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙌🏾
@AkumuIbrahim
@AkumuIbrahim 9 месяцев назад
Jamani ndoa hiz nijuomba mungu tu unaweza kumlea mtoto wamwanaume vizuri tu lkn utaobekana unambyamyasa mungu aingilie kt
@emmanueljudas4522
@emmanueljudas4522 8 месяцев назад
😅😅😅dah Mchungaji upo juu sana kwa hekima.
@hamismabula9934
@hamismabula9934 Год назад
Kuoa Ke mwenye mzazi mwenzake au kuolewa na Me mwenye mzazi mwenzake uwe na moyo mpana!!! Ingia kwenye ndoa ya namna hiyo ukiwa unalitambua hilo!
@ajiliamosi9102
@ajiliamosi9102 Год назад
Kabisa maana waweza kufa siku so zako
@morrismkuba5755
@morrismkuba5755 Год назад
Yuko na point japo ni uingie ndoani ukiwa unalijua hilo hamna shida.
@cliffdenis144
@cliffdenis144 6 месяцев назад
Mchungaji apa kachemsha sio sir wengine ni kosa tu la ujana wakati anakuwa maana tukiwahukumu wadada kisha ivo je wanaume waliowazadhalisha nao iwe ivo ivo
@user-xz8mm5kt5m
@user-xz8mm5kt5m 6 месяцев назад
As long as hamukemei zinaa single mamas wataongezeka every day! Ajabu kabisa huyu ni kiongozi lakini haoni kosa la watu kuzini kuwa ndo sababu ya haya matatizo!
@magdalenashayo1256
@magdalenashayo1256 6 месяцев назад
Sijui anaongea upuuzi gani hapo,eti waliozalishwa wasiolewe,Mungu amsamehe, uzao wake upo liwapate hili analoongea.
@fatymnyama2839
@fatymnyama2839 Год назад
Hehehehe mzee wangu unanikosha napata raha Sanaa wenzako wanakuja na prado ww hata guta huna wanakutuma fungatulubai
@hashakishabani4896
@hashakishabani4896 Год назад
😂😂😂😂😂 huyu mzee ni kiboko
@enofrank1842
@enofrank1842 8 месяцев назад
Hao wenye maprado watazikwa nayo?
@dostovan5142
@dostovan5142 Год назад
Mwanamke ana asili yakudanganywa ndo maana nyoka alimfutwa yeye bustani ya eden,mwanamke akakubali, sasa kwa mazingira ya sasa nyoka ndo huyo mwanaume anae kuja kumdanganya mwanamke
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 6 месяцев назад
Huju yamaa namfuatlia sana huwa anawalimisha wakristo wenzie japo hawataki wanampinga
@levinaernest4364
@levinaernest4364 Месяц назад
😂😂😂
@MsafiriSaid-wk4ny
@MsafiriSaid-wk4ny 4 месяца назад
Nikweli baba
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Год назад
Narudi pale pale uislamu haujaacha kitu ukiona mwanamke mwenye watoto sheria ya dini umesema vizuri mchungaji anashindwa kuwaakataza wasizini anasema ukizaa naye kabla ya ndowa umuowe sio ashauri waowane kwanza ndio wazae
@nurunswebe4203
@nurunswebe4203 Год назад
Ohoooo unavunja simu ahahahahaha daaaah
@josykogei7647
@josykogei7647 7 месяцев назад
Pastor ananja jamani aki Sasa kama Mimi nko na watoto wawili baba tofauti gaaiii ntaolewa kweli
@athumankaswaga605
@athumankaswaga605 7 месяцев назад
Labda utajiowa mwenyewe😅😅😅tafuta hela uowe
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 7 месяцев назад
Utaolew bana kwan umezeeka wew pastor katoa mfano tuu
@Othmansheby
@Othmansheby 7 месяцев назад
Kweli hii ilinitokea mm kweli siwezi hata wanawake waishe dunian
@adibilsalum9580
@adibilsalum9580 Год назад
Mwamba anaakili sanaaa japo nikamateja schoki kumsikiliza
@isacksimonmahungilo
@isacksimonmahungilo Год назад
Kama teja du
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Год назад
Inategemea tu lakini tumeolewa tumezaa tumeolewa tenaa na hakuna shida yoyote munaonana pale inapobidi tu labda iwe wanatakana wenyewe hapo hata wasingezaa bora mutafute mabikira labda
@hijamaulidi7382
@hijamaulidi7382 10 месяцев назад
Kila mtu anahaaki jmn kikubwa mipaka mbona watu wanaishi. Tatizo mmekariri
@dayana5513story
@dayana5513story Год назад
👏👏👏
@saidishineni7966
@saidishineni7966 7 месяцев назад
Hakika unazungumza facty mchungaji
@sharifaoctavian6478
@sharifaoctavian6478 Год назад
Hata kuolewa na mwanaume mwenye watoto aaliwazaa mtihani kwa wanawake tena hatari sana wamama hao simu mda wote ukiuliza maswala ya mtoto mzazi mwenzangu Mmh hilo swala mtihani tena afadhali ukute mwanaume hamtaki huyo mzazi mwenzake Lin kama sivyo mnajua hamna amani kabisa hata kama mwanamke ameolewa bado anamtaka mzazi mwenzie
@joyce55727
@joyce55727 Год назад
Tena mtihan sana ndugu mim yalinikuta 😭adi saiz kuolewa naogopa
@amazingvideo4761
@amazingvideo4761 Год назад
@@joyce55727 Mkuu pole nini milikukuta mkuu
@user-ii2ks1jf2d
@user-ii2ks1jf2d 7 месяцев назад
Na kama aliolewa akashindwana na mwanaume alie muoa halafu wakawa walikua na watoto...
@user-rn6ej2fs1l
@user-rn6ej2fs1l 2 месяца назад
Nione kaburi la baba watoto wake kwanza ndo nimuoe
@mako331
@mako331 Год назад
Hekima iliyoko kwenye hiki kichwa ni level ingine, na uwazi
@levinaernest4364
@levinaernest4364 Месяц назад
Kabisa
@kapelotz9967
@kapelotz9967 Год назад
Ukwel asilimia mia 1000000 mana ndo mwixho waxiku ukienda ukweni utaambiwa kaxafixhe mabanda ya kuku yamechafuka huku wenzio wanakunywa maji ya afya na Azam mango pembeni
@maryodhiambo8434
@maryodhiambo8434 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂 wacha ni cheke tuu sina maoni sisi tuliyea Zaliyea nyumbani
@annalyimo8462
@annalyimo8462 Год назад
Hapana hakuna kitu kama hicho
@habibalukinga1575
@habibalukinga1575 Год назад
Hamna dear kuna watu wameolewa na waliozaa nao na wakaachwa na wakapata wanaume wanaowapenda na wanaishi kama familia ya mtu mmoja ni kumuomba tu mungu akupe unachostaili kipenzi
@bernardgeofrey1830
@bernardgeofrey1830 10 месяцев назад
Mi mchungaji huyu anaongea kama anachekesha ila anaongea uharisia kabisa Mungu amuongezee umri wa kuishi
@mbonimanakisenya4178
@mbonimanakisenya4178 Год назад
Hahahaha mwanaume akiwa na mtoto hakuna tatizo
@alkaullahmediaTz
@alkaullahmediaTz 4 месяца назад
unajidai unaeleza siasa ,kumbe mihemko tu..😀😀
@elshamotieno9876
@elshamotieno9876 Год назад
kutoka nairobi kenya naunga mkono na nikweli
@johngachina3030
@johngachina3030 8 месяцев назад
Mbele pamoja
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 Год назад
Kuowa mwanamke aliyezalishwa ni balaa tupu.... Unaleta balaa nyumbani...
@KelvinBakar-vg9uk
@KelvinBakar-vg9uk 6 месяцев назад
Yan we achatu, cjui tufanyeje wengne tulishanasa
@stevenfumbi9566
@stevenfumbi9566 Год назад
Naunga mkono hoja asilimia 100
@PatrickSanka
@PatrickSanka Год назад
❤❤❤😅😅😅😮😮😮
@Antipasmsabaha123
@Antipasmsabaha123 7 месяцев назад
Si kila aliye zalia nyumbani ndo mmbaya tu,roho mbaya ni kwa mtu mmbaya tu awe mama ao baba aiza awe mtoto
@juliasipatrisi8048
@juliasipatrisi8048 7 месяцев назад
Kwani lazima uishi na mtoto, kama inawezekana mshaur mkeo ampeleke kukaa na babake inakuwa rahis tu
@hamzamfyagidzi6344
@hamzamfyagidzi6344 7 месяцев назад
Akimpigia sm mtoto wake kazidiwa hataenda kumwuguza Yani hapo hakuna afadhari Uzuri wawanawake hakunaga mtoto mbaya Hatakama baba wamtoto ni mbaya kisigani Hapo nawakubali .
@arafathswaleh
@arafathswaleh 6 месяцев назад
Kkkk kabisa kaka kwa hilo huyu akupatia inawezekana ukaishi na mke mwenyewe mtoto na kisitokee chochote
@MsafiriSaid-wk4ny
@MsafiriSaid-wk4ny 4 месяца назад
Hta mimi ilo tatizo limenkta pastor
@user-rn6ej2fs1l
@user-rn6ej2fs1l 2 месяца назад
Duh pole sana kwa hilo nifuate inbox
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 Год назад
Kwakweli mm siwezi kuoa mwanamke mwenyewe mtoto, Kwan Ni matatizo makubwa
@happilicioussteven9544
@happilicioussteven9544 Год назад
Usiongee maneno ukamaliza,,, chizi mzuri kama hatoki kwny familia yenu kaka... Omba sana Mungu na uombee sana kesho ya watoto wako hasa km una watoto wa kike.!!! Jiulize je ungekuwa mzazi wa mtt wa kike ambaye amezalishwa na bado yupo nyumbani je km mzazi ungefurahi kuona anakosa mtu wa kumuoa kwa sababu amezalishwa na mtu mwingine waliyeshindwana.???
@user-bm2tr7sn9e
@user-bm2tr7sn9e 8 месяцев назад
Kabisa
@lucasmangora23
@lucasmangora23 7 месяцев назад
​@@happilicioussteven9544ndio...akome na iwe fundisho kwa wengine ..amtafute aliemzalisha
@user-uv8mr2gn4h
@user-uv8mr2gn4h 6 месяцев назад
wanasahau kujua hilo
@kyalomutinda4238
@kyalomutinda4238 7 месяцев назад
Ila huyu Mchungaji bwana wee... 😂 😂 😂! Kama ushauri kama vichekesho vilee... 🤣!
@user-ge8xv4vg1f
@user-ge8xv4vg1f 7 месяцев назад
Mwanaume naye je sitakuwa shida
@MchagaUk
@MchagaUk Год назад
Hata wanaume wenye watoto njee yaani hata kama aliachana na mama mtoto Kwa maugomvi ipo siku watarudiana tena huyo mama mtoto akiona mwanaume anamwanamke anayempa Amani mwenyewe anakuwa mpole anakuwa na wivu na ipo siku watarudiana au kuwasiliana na kuzaa tena.
@MchagaUk
@MchagaUk Год назад
Tena wanaume ndo wako weak balaa Bora mwanamke aliyezaa aliachana na mwanaume ameacha ila wanaume akiitwa Tu mtoto anaumwa basi
@zabrongermanus-co1jj
@zabrongermanus-co1jj Год назад
Nihatari
@Udindigwa
@Udindigwa Год назад
Baba Point Tupu
@charlesjohn5792
@charlesjohn5792 Год назад
Hii changamoto ndo nipo nayo saa hii aisee sielewei nimwoe au vipi
@user-bm2tr7sn9e
@user-bm2tr7sn9e 8 месяцев назад
Muoe tu
@lucasmangora23
@lucasmangora23 7 месяцев назад
Jichanganye
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 7 месяцев назад
Km unmpenda kweli utamuowa bila kujali chochte
@masumbukomaganga438
@masumbukomaganga438 Год назад
mh, hii balaa
@GULF444
@GULF444 Год назад
Na dume mweny.aliezalisha na mke kweda kwao je????
@user-tx4ze8kq3x
@user-tx4ze8kq3x 7 месяцев назад
Mimi siwezi hata Kama wanaume wameisha duniani huo.ni.utumwa hujawahi zaa .unaitwa Bibi maana .unaishi Babu mtu
@lugelosanga5798
@lugelosanga5798 6 месяцев назад
Nawanao ogoza kwakuolewa niwalio zaa
@martinkassuku8159
@martinkassuku8159 Год назад
Huyu anazeeka na Hana mtoto acha aendelee kutafuta
@noelymwakasege2428
@noelymwakasege2428 Год назад
Una akili wew mafundisho yake uyu mzee ni mazuli san
@nkolekwajohn
@nkolekwajohn Год назад
Hapa nasema na Mimi Kama Mchungaji, ukweli hatuwezi kuwahukumu wanawake walio zaliya nyumbani, ukweli nikwamba asilimia kubwa walidanganywa na wanaume, hapa wanaume ndo janga kubwa, ila nataka kusema hivi ndoa Ni makubaliano ya wawili hawa na mapatano yao
@maslaseif8186
@maslaseif8186 Год назад
@@nkolekwajohn hajasema eti mwanamke alie zalia kwao kwamba wanatabia mbaya hapana. Kaleta tu mifano ya madhara yake huko mbele kwenye ndoa.
@alfredndau9195
@alfredndau9195 8 месяцев назад
​@@maslaseif8186 kwa hiyo wanawake waliozalia nyumbani hawana haki ya kuolewa? Ila wanaume waliozaa nje wao ni sawa? Kuna wanawake waliozalio nyumbani wanatabia nzuri kuliko walioolewa na kuzaa ndani ya ndoa. Kila mtu ana historia yake tuache ubaguzi,ila ni muhimu kusisitiza watu wazae bada ya kuoa/kuolewa.
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 7 месяцев назад
🤣🤣🤣🤣 Nimekupat mtumishi
@user-el7ec6ls9s
@user-el7ec6ls9s 7 месяцев назад
Mzee ana fact huyu yaan simpingi
@alkaullahmediaTz
@alkaullahmediaTz 4 месяца назад
Huyu pastor anatuchana live, hakuna kupindisha. ni ukweli kabisa tuache huruma huruma! oa ujipime unaweza kukaa na aliyezalia nyumbani??
@josephatbwakome5711
@josephatbwakome5711 7 месяцев назад
Mzee anatema madini kama ya level ya PhD holder.😂😂😂😂
@InjiliyaUfalmetv
@InjiliyaUfalmetv 7 месяцев назад
Ipo siku mtawakuta mbinguni hao waliozalia nyumbani Mawazo ya Mungu sio ya mwanadamu ,Bora yule aliyezalia nyumbani kuliko yule anayetoa mimba
@nathanmao159
@nathanmao159 Год назад
😂😂😂😂😁
@faudhkhamis2292
@faudhkhamis2292 Год назад
Kwani walio zaa wenyewe wanasemaje
@owenjuniorkravecki7874
@owenjuniorkravecki7874 Год назад
Mwanzo wa game ni 0-0
@taifaonlinetv.3670
@taifaonlinetv.3670 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅🤚
@missphilip-vh2xp
@missphilip-vh2xp Год назад
Na mwanaume Je akiwa na mtot ina kuwa Je🙈
@mush337
@mush337 6 месяцев назад
Tangu uzaliwe hujawai sikia jibu la swali hili ama ni kiburi tu ndicho kinakusumbua,sikiza kisa cha Ibrahim
@modestaulambale606
@modestaulambale606 Год назад
Hamna sio kweri, we Yaani mtu amenizalisha amenisaliti hajaniowa tena NIENDELEE kuwasiliana isaidiee nini, Si kweri inawezekana kuwa tumeachana hata kama hajakufa
@smilemediatz
@smilemediatz Год назад
wew tulia kama umezalia nyumbani imekula kwako
@omyjy4819
@omyjy4819 Год назад
Imekula
@rithamlacha5403
@rithamlacha5403 Год назад
Ni kweli dear mi nilizaa lkn nikapata mume nikaolewa vizuri tu, sema watu wana kashfa sana afadhali kuzaa kuliko kutoa toa mimba ili usionekane na mtoto
@moriskalegeleshusha2619
@moriskalegeleshusha2619 8 месяцев назад
Siku akikutaka utamkataa?
@patrickakali4289
@patrickakali4289 7 месяцев назад
Mafuzo kamili nmebambika
@KelvinBakar-vg9uk
@KelvinBakar-vg9uk 6 месяцев назад
Kutoka imekuwa ngumu
@gracedamas5883
@gracedamas5883 Год назад
😂😂😂
@nurunswebe4203
@nurunswebe4203 Год назад
Ahahahahaha kama nisingezaa nae nisingemuoa daaaah huyu pastor kipedo
@CalvinMagafu
@CalvinMagafu 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂
@elizabethmsulah379
@elizabethmsulah379 Год назад
😄😄😄😄
@Views-mf8ir
@Views-mf8ir Год назад
Mimi nimeoa mwanamke mwenye mtoto ..!! Moto wake ni balaa Vijana ambao hamjaoa msifanye makosa niliyofanya mimi Kaka enu. Nawaombeni sana .. 🙏 Usijaribu kujiingiza kwenye huu mtihani mkubwa ... Mkinisikiliza mimi basi mtakuja nishukuru baadae.. Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni sawa sawa kuingilia familia ya Mwanaume mwingine kabisaa.. 😅😅 Kubali ku share mke wako wa ndoa na Baba wa mtoto wake ..
@ikungetajohnluketa8601
@ikungetajohnluketa8601 Год назад
Nini kilikikuta mkuu
@raymrash
@raymrash Год назад
🤣🤣🤣
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 Год назад
😁😁😁😁Umenifanya nicheke ndugu.
@joshuabartonpolelaab4985
@joshuabartonpolelaab4985 Год назад
😁😁😁😁😁😁😁
@amazingvideo4761
@amazingvideo4761 Год назад
Mkuu nn kilikukuta
Далее
Timings hated him #standoff #timing #meme
00:14
Просмотров 469 тыс.
Friends
00:32
Просмотров 177 тыс.
Timings hated him #standoff #timing #meme
00:14
Просмотров 469 тыс.