WAKAZI wa Kata ya Ibadakuli Manispaa ya Shinyanga wamekumbwa na Taharuki baada ya kupatikana kipande cha Mgomba kilichofungwa Sanda na kuviringishwa Jiko la Mkaa, ndani ya chumba kilichotakiwa kufikishwa Mwili wa Marehemu Monica Juma (29) aliyefariki Oktoba tano Mkoani Singida.
Chama cha Wanawake Wanasheria nchini TAWLA kimeishauri serikali kuandaa kanuni na sheria zitakazotoa muongozo kwa wazalishaji wa bidhaa za vyakula dhidi ya viwango vya kemikali kwenye bidhaa.
Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua amesema hatajiuzulu kutokana na hoja ya kumwondoa madarakani kwani hajafanya kitu chochote kwa Wakenya, hivyo atapigania haki yake kubakia katika nafasi hiyo.
8 окт 2024