Тёмный

Mhafamu CLEOPATRA, Malkia mrembo aliyeitikisa MISRI 

Подписаться
Просмотров 208 тыс.
% 1 407

Опубликовано:

 

30 июн 2018

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 158   
@khayratmuhamed6730
@khayratmuhamed6730 5 лет назад
Nan kaangalia hii 2019 km upo hp gonga like
@mimahg2620
@mimahg2620 6 лет назад
Mr and mrs karibuni tena wapenzi wnguuu tuliwamiss mnoo💙💙
@Shebby_inc
@Shebby_inc 6 лет назад
very Good sometime sio kutuletea umbea wa town to. tunaitaji history za Ku refresh mind kama izi .Congratulate iwe ivi
@mutevas7624
@mutevas7624 6 лет назад
mulijificha Wapi Nyie watu karibuni tena maana tuliwamis Sana kama ww uliwamisi kama gonga like hapa
@chazylben7711
@chazylben7711 6 лет назад
Ok
@alikiba9723
@alikiba9723 6 лет назад
Kitambo sana Bro Sky ila welcome back again LOL #SnS 💃🏻🕺🏻🥂🍻🙏🏻 +1
@michaelkapilimba3102
@michaelkapilimba3102 5 лет назад
Asanten sana kwa simulinz nzur juuu ya cleopatra malikia mwenye akiri nyng sana
@LyonWalker_
@LyonWalker_ 6 лет назад
Thanx mmerudi Coz nliwamic Sanaah.......! .............I was missed ninyi watu....... #SkyTanzania #BabySky
@chemsachouchou3087
@chemsachouchou3087 6 лет назад
Historia tamu jamani daaah nsitocoka kuwaambia kama niliwa miss saaana
@nurudovino7305
@nurudovino7305 6 лет назад
Yan nilikimisssssssssss hiiki kipindi mm mwaaaaa😍😍😍😍😍
@mezani782
@mezani782 5 лет назад
Big up kwa video nzuri. Misri ina visa na mikasa mingi sana.
@justinebitariho1129
@justinebitariho1129 5 лет назад
Thanks 4 this educative story.
@babymarrycharlesjames5501
@babymarrycharlesjames5501 6 лет назад
my daughter Cleopatra 😍😍😍😍
@neemakarengi3295
@neemakarengi3295 6 лет назад
Welcome back Sns
@evelynmon6491
@evelynmon6491 6 лет назад
Tuliwamiss sana sns welcome back 😍😍😍
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti 6 лет назад
Thank u
@kinglance6365
@kinglance6365 6 лет назад
Yani walioana Kaka na dada. Yote kwa ajilo ya madaraka daah kumbe uroho wa madaraka haujaanza Leo
@juliusishengoma9738
@juliusishengoma9738 6 лет назад
hongera umeeleza vzr, kuna kitu nmekipata juu ya maswala ya utawala na uongozi.
@josephmateru8892
@josephmateru8892 6 лет назад
Safi sana Mama Usingizi Wa Ndugu Yetu Kaka Yetu Kipnzi Cha Wengi Sauti Ya Dhahabu Fredrck
@shaibumandova6108
@shaibumandova6108 5 лет назад
Dunia ya zamani ilitawaliwa na vita sana na usaliti wa hali ya juu. No kuaminiana
@sinyoritaqueen7435
@sinyoritaqueen7435 6 лет назад
Hasante sana kwa story nzuri 💝💝💝💝💝💟💗💕
@selector728
@selector728 5 лет назад
sio hasante sema asante
@johnmngoya2937
@johnmngoya2937 6 лет назад
Hii sasa ndo simalizi na sauti big up
@saudamanyongo5766
@saudamanyongo5766 6 лет назад
Asante sana
@vivianrobert7136
@vivianrobert7136 6 лет назад
Niliwamiss Jamni... 😘😍
@allthings1302
@allthings1302 6 лет назад
Jana niliangalia post ya mwisho sns ilikuwa 2 weeks back. Karibu tena
@godfreynyansira8227
@godfreynyansira8227 4 года назад
Asante sana shemeji yangu baby sky, ,mke wa sky walker, najifunza mengi kupitia sns
@sammabula7359
@sammabula7359 6 лет назад
omg kumbe mrembo huyu mrembo alijiua, nimeumia sana jamani
@johnnzao6460
@johnnzao6460 5 лет назад
wkt wa Cleopatra misri ilikuwa haina nguvu tena, ilikuwa tawaliwa na Greece na muda huo ilikuwa inatawaliwa na Rome. Cleopatra alitumia nguvu zake kujilinda na maadui zake. kwa sababu alihofia kuuwawa kama ndugu zake
@daudisimwinga1324
@daudisimwinga1324 6 лет назад
We missed sns so much
@rahimajuma688
@rahimajuma688 6 лет назад
jaman mlienda wapi sns maana si kwakuwamis huku nilikuwa naona hata uvivu kuingia huku mana machanel mengine hayaeleweki kabisa karibu sn
@aishamattar6381
@aishamattar6381 6 лет назад
Mungu awabarikie
@Mariam-ez4qw
@Mariam-ez4qw 6 лет назад
Niliwamic sana SNS karb tena
@mauwaukweli1564
@mauwaukweli1564 5 лет назад
What a nice history
@isaacsitta1982
@isaacsitta1982 5 лет назад
hi,wapendwa hamujambo,tukutane 2019topfriend what'sup kwa mambo mazuri zaidi
@kelvinwilliam5145
@kelvinwilliam5145 6 лет назад
No 1
@zainabualtz1455
@zainabualtz1455 6 лет назад
Welcome back Sns 😍😍
@faithmwika7610
@faithmwika7610 5 лет назад
Mm
@ireneramadhani2975
@ireneramadhani2975 6 лет назад
simulizi nzuri aise, nimeipenda ,lakini ni kweli hizo historia mwezi na mwaka BC ni kweli au wanasema tu maana BC ni miaka mingi sana,
@francischiko3752
@francischiko3752 6 лет назад
Egypt inahistoria kubwa sana kwnye hii dunia.
@semanasitv8303
@semanasitv8303 5 лет назад
inakuja kutawala dunia tena
@jeremiahevodius925
@jeremiahevodius925 8 месяцев назад
​@@semanasitv8303sahau kama ulivyo sahau kunyonya ziwa la mama yako
@marymtui2708
@marymtui2708 6 лет назад
karibuni tena
@thomasmakala2082
@thomasmakala2082 6 лет назад
Msimulizi uko vizuri.
@AliBaba-zb3tg
@AliBaba-zb3tg 6 лет назад
Duuh story zuri sana Sasa aya ndiwo maswali yakueka kwa mitihani
@jeremiahevodius925
@jeremiahevodius925 8 месяцев назад
Wewe huna akili
@elishafanuel
@elishafanuel 6 лет назад
Tuliwamisi Sana wana SNS
@princessshantel9539
@princessshantel9539 6 лет назад
Mumerudi kwa bidii #sns 💖💖💖
@angelbenward4244
@angelbenward4244 6 лет назад
niliwamiss 💛💛💜
@princessshantel9539
@princessshantel9539 6 лет назад
Angel Benward nimewamiss poa 💖
@ramahassanramahassan9715
@ramahassanramahassan9715 5 лет назад
nzuri sana
@batulajama4171
@batulajama4171 6 лет назад
Nice
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 5 лет назад
Story nzuri sana.02.02.19.
@dogguyful
@dogguyful 2 года назад
good documentary 👌👌👍👍
@sammabula7359
@sammabula7359 6 лет назад
nice
@najytv2294
@najytv2294 5 лет назад
Bofya link hii ru-vid.com/show-UC0qI9ju78TVEAjz156RLTPQ kutazama video nzuri za ndoa, Usisahau ku-Subscribe na Kuacha comment
@josee8224
@josee8224 5 лет назад
Huyo sio Cleopatra,...
@joycerichard5042
@joycerichard5042 6 лет назад
We missed you guys
@lukangongi6471
@lukangongi6471 5 лет назад
Pamoja
@enockyohana6856
@enockyohana6856 5 лет назад
Ila wagiriki walikua wababe Sana zamani....
@mohamedrashid6578
@mohamedrashid6578 5 лет назад
Kwaio walioana ndugu?
@jumanneibrahim6498
@jumanneibrahim6498 5 лет назад
Which book has documented this????
@doramarcel1013
@doramarcel1013 6 лет назад
I like it
@naslamgollo6405
@naslamgollo6405 6 лет назад
Nice jaman mlikua wapi
@omariomollo9853
@omariomollo9853 5 лет назад
Hahaha waliamua kupotea sana
@princekijay5450
@princekijay5450 6 лет назад
Karibuni tena sns
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 6 лет назад
We are back
@mohamedidd7385
@mohamedidd7385 6 лет назад
finally #Sns is back ,,,, thanks for coming again
@abdulrahmanhassan3825
@abdulrahmanhassan3825 5 лет назад
Hii history wameicheza movie yake nieiyona nzuri sanaa
@mihambokitambo421
@mihambokitambo421 5 лет назад
inaitwaje
@gonjadunus8000
@gonjadunus8000 5 лет назад
MIHAMBO KITAMBO porus
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 4 года назад
Dada mutangazaji unasati zuuri daaaaaah 🤔 nakupenda
@mudyramadhani3020
@mudyramadhani3020 6 лет назад
mmlikua wapi nyie
@johnsonenockmwasuluka6470
@johnsonenockmwasuluka6470 5 лет назад
Cleopatra hakuwahi kuwa mzuri , Bali alikua Ana akili nyingi sana na mjanja, alikua Ana ushawishi mkubwa sana, ndio maana aliweza kuwatongoza Caesar na mark Anthony coz alikua na akili kupita kiasi Ila sio kwa uzuri
@emmanuelmatogoro9348
@emmanuelmatogoro9348 5 лет назад
Alikuwa mgawa PAPA zaidi
@zamizozamy5528
@zamizozamy5528 5 лет назад
The power of pussy not beauty
@manalibaby4192
@manalibaby4192 5 лет назад
Thanks baby sky
@emmanueljilala3484
@emmanueljilala3484 3 года назад
Anaeangalia 2020 gonga like
@WASAFITVSTORYBOOM
@WASAFITVSTORYBOOM 6 лет назад
Subscribe channeli yangu ili usipitwe na mpira
@aliabdallah2220
@aliabdallah2220 5 лет назад
safi sanaaa
@samirnaty8774
@samirnaty8774 5 лет назад
Very nice
@angelanyauringo8882
@angelanyauringo8882 6 лет назад
ni hadith au kwer jmn uyu mdada naskiaga tu alikuwa mzr kuliko wanawake wote
@shabanmlekwa9513
@shabanmlekwa9513 6 лет назад
Yeah, Cleopatra ndie mwanamke mzuri sana kuwahi kuwepo.
@johnnzao6460
@johnnzao6460 5 лет назад
Angela Nyauringo hakuwa mzuri kuliko wanawake wote, ila alikuwa na uwezo mkubwa wa kuseduce wanaume. alitumia clothing psychology.
@gracemsigwa5977
@gracemsigwa5977 5 лет назад
Nice story
@tegeisudastar4587
@tegeisudastar4587 4 года назад
Mwanamke mzuri kuliko wote anaitwa rabia tafuta vitabu ndugu
@cleopatrarobert8133
@cleopatrarobert8133 5 лет назад
Woiii hili jina dah,historia yake siipendi ingawa ndo sina la kufanya Mungu aniepushe na hayo maroho khaa
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 5 лет назад
Cleopatra Robert 😂😂😂😂😂
@sakhamkhan3568
@sakhamkhan3568 5 лет назад
Hhjh ndo mmbo
@reemiiomar9386
@reemiiomar9386 6 лет назад
Hy nilaana mtu kuolewa n kakaake ...ndio imesababisha vita vilivyoowaandama
@issanjuke3782
@issanjuke3782 6 лет назад
Good Good
@joleenmasha
@joleenmasha 6 лет назад
eeeh yani aliolewa na kakake du hiyo kali
@ramadhanmsaghaa9639
@ramadhanmsaghaa9639 5 лет назад
Sio kaka yake mdogo wake akiwa na umri 14
@lupakisyomsese8210
@lupakisyomsese8210 5 лет назад
Zahil Ally Zolo alimuimba huyu mtu.inasemekana alivaa nguo za halili mikufu ya zahabu uzuri wake ilikua ajabu miongoni mwa wanaume.
@FromMzansi
@FromMzansi 6 лет назад
Ceopatra ni baadhi ya viongozi wapumbavu walioiua Misri na kuipa laana kuu
@platnumtanya2880
@platnumtanya2880 5 лет назад
From South Africa kwann??
@jemakhalifa6807
@jemakhalifa6807 4 года назад
Leo ndio nimejua historia ya Cleopatra. nasikiaga tu
@nanajoseph8515
@nanajoseph8515 5 лет назад
Jaman zaman walikuw wanavaa vilemba cjui vya chuma duh
@thehost9809
@thehost9809 5 лет назад
Vililembwa kwa dhahabu na hariri
@umojaafrika2447
@umojaafrika2447 4 года назад
Cleopatra alikuwa mweusi
@sibiromallya5894
@sibiromallya5894 5 лет назад
tamuùuuuuuu
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 6 лет назад
Mashallah, good story
@sarkodieobidima2898
@sarkodieobidima2898 5 лет назад
saaaaaafi elimu aina mwisho
@hangayamalongo1772
@hangayamalongo1772 5 лет назад
sarkodie obidima yase
@dmgtza5365
@dmgtza5365 3 года назад
Kaiser ndo Julius cezar
@bulayaconfidential7212
@bulayaconfidential7212 5 лет назад
aiseee!!
@fredymwaya6418
@fredymwaya6418 6 лет назад
Hawa akina Kleopatra wapo hata sasa wakitaka kutawala mahali wana mlainisha yule mwenye nguvu kwa Mapenzi. haya Mimi ilinitokea wakati nimepata cheo flani
@butondodavid2105
@butondodavid2105 5 лет назад
Hebu tupe story mkuu ilikuaje
@elizabendera1393
@elizabendera1393 5 лет назад
😂😂😂
@AKaline12
@AKaline12 5 лет назад
Hahaha
@zamizozamy5528
@zamizozamy5528 5 лет назад
Kwasababu ulikuwa Bwege
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 6 лет назад
Cleopatra
@humphreymorise
@humphreymorise 5 лет назад
black khemet GOD
@jojo_linkissabiny5238
@jojo_linkissabiny5238 5 лет назад
😄
@adamhashimu4462
@adamhashimu4462 6 лет назад
story nzur,unisimulimulia vzur sns
@seifmohamedseif9384
@seifmohamedseif9384 6 лет назад
cleoptra alikua mapepe naona
@awalimunishi
@awalimunishi 6 лет назад
wanawake wa kimisri wajanja mnooo
@adamkaita3009
@adamkaita3009 5 лет назад
sasa hii story mbona inachanganya wengine wanadai cleopatra kifo chake kilitokana na kuumwa na nyoka mwenye sumu kali cobra hii story inasema aliuawa na Anthony.
@abuibra
@abuibra 5 лет назад
😂😂😂UNASEMA WAZEE WAKE CLEOPATRA WALIKUWA WAJINGA NA DHAIFU?!!!!MPUUZI SANA WEWE.
@alijuma4747
@alijuma4747 5 лет назад
Abuu unajua maana ya ujinga???
@abdullherry3072
@abdullherry3072 6 лет назад
Kwer wanawake kugawa gawa papuchi yao haikuanza leo
@selector728
@selector728 5 лет назад
siy kwer sema kwel
@samsondecoman983
@samsondecoman983 5 лет назад
kwaiyo dola yarumi ninini? aundokama Euro yasasa ivi?
@mapenzimatamu5289
@mapenzimatamu5289 6 лет назад
Mnapotosha history, warabu hawana majina ya kizungu
@absonmhema4287
@absonmhema4287 6 лет назад
Mhhhh! Umekurupuka na history yako!.
@amosrweyemamu3282
@amosrweyemamu3282 6 лет назад
Acha kukariri wewe
@alimatari9402
@alimatari9402 6 лет назад
Ulikuwa wasikiza wapi kwani?!!!! FAMILIA YA KIFALME WALIKUWA WAGIRIKI NA SIO WAALISIA WA MISRI
@tonyelshabbaz
@tonyelshabbaz 5 лет назад
Umekurupuka , walikuwa wagiriki
@johnnzao6460
@johnnzao6460 5 лет назад
uislam umeingia msiri miaka ya 1000+ AD. kabla ya hapo hawakuwa waislam
@hawaynatimam982
@hawaynatimam982 4 года назад
Inamaana wameona kaka na dada
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Год назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
@mnyampaamnyampaa5780
@mnyampaamnyampaa5780 6 лет назад
Huyu msimuliaji anatumia kigezo gani kumuita mfalme mjinga?
@selector728
@selector728 5 лет назад
hata ww mjinga tu
@mudyramadhani3020
@mudyramadhani3020 6 лет назад
kwhy kumbe mov ya porus ni histoly ya kwel!!
@nkubankuba1489
@nkubankuba1489 5 лет назад
Roma sio dini ni dola inaotawala kwa nguvu na mabavu.
@maryammarym4437
@maryammarym4437 6 лет назад
Mmepotea tuliwamis
@tenatanz
@tenatanz 5 лет назад
mmelud