kiongozi mpira wa miguu ili ufunge lazima mwenzako akosee hivyo basi kama unadhani yanga imecheza chini ya kiwango ungeingia wewe tuone kama kufunga ni jambo rahisi
Wewe Unasema Nini Unawajuwa Wa Ithopia au Unasema Tu Niwatu Hatari Sana Kwa Uchawi..Mimi Nawajuwa Vizuri Naishaanda Kwao Na Hapo Arabuni Wapo Wengi Niwafanya Kazi Zandani Wakamata Sana Kwa Suwali Hilo
Wachwzaji wamesafiri makwao, wametumikia timu zao za taifa, wamesafiri kwenda Ethiopia, uchovu wa safari na mechi za ki.ataifa, hawakupata muda wa kupumzika na kujizoesha na hali ya hewa, wakacheza wakashinda. Ni mpumbavu tu atawashushia lawama.
Hugo ni mtoto wa magoma hajui mpira kama baba yake wachezaji wametoka kwenye timu zao za wana mchoko hawakufanyabmazoezi na wenzao wachezaji 14 toka YANGA walioitwa na mataifa yao si kitu rahisi asubiri marejeo Zanzibar abaki na kauli yake hiyo hiyo kuwa mwaka huu hatuna timu asibadilike baadae
Unasemaje yanga wabovu katika ufungaji na wakati mnafunga magoli kumi kwa mechi mbili? Tatizo mnafikria Gori Tano au zaidi Kila mechi kuliko kushinda mchezo
Mr..huwezi kila mechi ukapafomi kwa ubora ulele wa cku zote...hata hao vibonde kuna cku wanacheza kama mafundi, vivyo ivyo kwa timu bora ipo cku watakuwa chini ya ubora tu...
Tuache midimo timu wiki nzima inawachezaji 11 tu waliobaki wote time zao za taifa wamefika Ethiopia kwa mafungu wamejitahidi sana sana uge nn tuwe watu wa shukrani ninyi wachambuxi uchwara
Hii ndio tatizo la watu wasioujua mpira ndio hawa! Wanaongea ujinga tuu! Hongera yanga kwa kuchukua point ugenini! Jiseme shabiki wewe usieujua mpira. Nina imani na safu tuliyo nayo itafanya vizuri mechi zijazo na tutafika mbali
Hiyo sio sababu.uchovu wa safari ya nn kiwango cha young africa ni cha kawaida sana.inashindaga kwa timu mbovu kama zalan fc.na timu nyingine mbovu.na hapo bado kuna timu zipo huko mtakunanazo😊😅
Tunakusamehe Bure. Kufuzu ni ushindi Wala SI idadi ya magoli. Aziz ndiye aliyetoa pasi na Dube akafunga, wewe wataka Nini? Aaah, kumbe ulisema wewe ni magoma junior!!!
Wachezaji wanechoka na AFCON na safari ndefu ndani ya siku tatu Kusafiri na kucheza michezo migumu. Ni kweli wamecheza chini ya kiwango na mimi bado nawapongeza sana kwa ushindi wa ugenini. Ratiba iliwabana na bado inabana kwa sababu kabla ya tar. 21 sept. kuna mechi tena tar. 28 sept. Tumeshinda ila tumexoea 5G laxima tuteseke ila kwangu ushindi wa ugenini ni mtamu sana na laxima tumshukuru Mungu kwa zawadi hii. Halafu tujue wazi kuwa hawa ni binadamu sio kila siku wanakuwa na hali ileile kimwili na kisaikolojia. We kijana unaonges ukweli na laxima upokee maua yako. Penye ukweli tukubali tu. Hii ni mechi tuliuocheza hovyo kuliko mechi nyingine yeyote ktk miaka hii mitatu ya furaha. Hatujaenjoy kama tulivyozoea. Tuneshinda ila hatujaburudika.