Тёмный

MIMI NI YANGA DAMU ILA KIUKWELI HATUNA TIMU YA KUIZIDI SIMBA MSIMU HUU TUMESHINDA KI BAHATI TU..... 

BATTLE TV
Подписаться 86 тыс.
Просмотров 21 тыс.
50% 1

#BATTLETV

Опубликовано:

 

18 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 117   
@DakiaNzunda
@DakiaNzunda 4 дня назад
Mdogo wangu, unda timu yako ambayo itakuwa inatumia nafasi zote zinazopatikana.
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises 4 дня назад
umemwambia ukwuli kak
@LinusKyando
@LinusKyando 4 дня назад
WACHEZAJI walichoka,WAMEFANYA safari,wametumika SANA KWENYE MECHI za Taifa
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises 4 дня назад
Wewe kaka aujui mpila,tunakuomba usiongee azalani unatutia aibu😮
@israelimjema4573
@israelimjema4573 3 дня назад
Alafu nyie yanga ikosiku presha itawapanda siku hao wachezaji mikataba ikiisha waondoke. Musajili wengine nyie simumezoea kila timu kupata magoli mengi. ileTimu yajana ilikua ngumu ndomana mnakuja kuwalaumu wachezaji wenu. Punguzeni midomo isiwe mirefu. Ubaya ubwela
@LinusKyando
@LinusKyando 4 дня назад
TImu Gani TANZANIA Ina striking force KENGE WEWE KILA MECHI DUBE ANAFUNGA KAIZER,TIMU YA SOUTH AFRICA
@laninjeje8290
@laninjeje8290 3 дня назад
Yanga inachezea ligi south Africa? Wewe unazungumzia friend match ndo unasema dube anafunga kila mechi
@flova7022
@flova7022 3 дня назад
Akili za kenge
@mombasa0076
@mombasa0076 3 дня назад
MPIRA UNADUNDA NA MATOKEO YAKE HUWA YANABADILIKA. TIMU HAIWEZI KUSHINDA MECHI ZOTE😅
@SalvatoryMtunga
@SalvatoryMtunga 4 дня назад
Anzisha timu na magoma ili muwe mnashinda magoli mengi kwenye champions.
@AlgahOngillah
@AlgahOngillah 4 дня назад
Ilove you yanga ❤❤❤❤
@NorbethKyengula
@NorbethKyengula 3 дня назад
Siyo kila siku ni Krisimasi.
@RehemaRama-h8b
@RehemaRama-h8b 3 дня назад
Kweli yanga hakuna timu mwakaa huu, na mtaisoma namba
@khadijahussein5298
@khadijahussein5298 3 дня назад
😂😂😂
@israelimjema4573
@israelimjema4573 4 дня назад
Nyie yanga mna matatizo xana. Yani badala yakishukuru ushindi mlio upata unalaumu wachezaji. Je mingefungwa ingekuaje
@clementmgongolwa8316
@clementmgongolwa8316 4 дня назад
Tumefurahi timu imeshinda wamechoka toka kwenye timu zao za taifa anaejuwa mpira hawezi kuwalaumu hiyo kimchezo ni kitu cha kawaida
@user-zg8mi7ce3m
@user-zg8mi7ce3m 4 дня назад
Tatizo mnajilinganisha na Simbaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅
@amrirajab5853
@amrirajab5853 3 дня назад
We fala kweli , Unataja uozo huoo😅😅😅
@econmirajifacts5411
@econmirajifacts5411 День назад
Nani anijilinganisha na simba wewe kweli mwehu. simba nayo ni timu ya kuifananisha na yanga hebu ona aibu.
@shadrackgidion-u3t
@shadrackgidion-u3t 4 дня назад
kiongozi mpira wa miguu ili ufunge lazima mwenzako akosee hivyo basi kama unadhani yanga imecheza chini ya kiwango ungeingia wewe tuone kama kufunga ni jambo rahisi
@InosMakelemo-y9z
@InosMakelemo-y9z 3 дня назад
Huyu ndokavulugwa sasa huyu yanga dam dam
@ericbrunokalonndwa8590
@ericbrunokalonndwa8590 4 дня назад
Ilitakiwa kuangalia wachezaji wamefika juz toka timu za taifa....
@Maliam-q6t
@Maliam-q6t 3 дня назад
Aziziki mbona hakuonekana.au ndo viuno vya mobeto vimeanza kufanya kaz yake😂😂😂
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 3 дня назад
Wewe Unasema Nini Unawajuwa Wa Ithopia au Unasema Tu Niwatu Hatari Sana Kwa Uchawi..Mimi Nawajuwa Vizuri Naishaanda Kwao Na Hapo Arabuni Wapo Wengi Niwafanya Kazi Zandani Wakamata Sana Kwa Suwali Hilo
@PaskaliDalei
@PaskaliDalei 4 дня назад
Ni Hawajui😂😂
@ericbrunokalonndwa8590
@ericbrunokalonndwa8590 4 дня назад
Mchome wa yanga
@AyubuJuma-df4pn
@AyubuJuma-df4pn 4 дня назад
Kweli kabisa
@LinusKyando
@LinusKyando 4 дня назад
UNALAUMU TIMU,NA SABABU ZA KUTOFANYA HIVYO UNATOA WEWE
@sudymgeni701
@sudymgeni701 4 дня назад
We ujui kitu kwenye Mpira yanga wanamechi ngapi.subilini muwe wavumilivu.nakama vipi kashangilie kwa mayele uko uko aliko
@MchungajiNzelani
@MchungajiNzelani 4 дня назад
Mmeona sasa vitalo na hawa sasa mnaanza kukutana vigogo
@comfortkitiwi2879
@comfortkitiwi2879 4 дня назад
Kweli Yanga washambuliaji hamjatutendea haki. Mmecheza chini ya kiwango.
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises 4 дня назад
mechi ifuatayo kacheze wewe ufunge bao 100 minha wew, unaju ugumu wa mpila?
@SylvesterKameo
@SylvesterKameo 4 дня назад
Wachwzaji wamesafiri makwao, wametumikia timu zao za taifa, wamesafiri kwenda Ethiopia, uchovu wa safari na mechi za ki.ataifa, hawakupata muda wa kupumzika na kujizoesha na hali ya hewa, wakacheza wakashinda. Ni mpumbavu tu atawashushia lawama.
@laninjeje8290
@laninjeje8290 3 дня назад
Na bado mbwa wewe, nani aliwambia Dube ni mshambuliaji mzuri pale hakuna mshambuliaji, Dube anawaza kuifunga Simba tu😂😂
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises 4 дня назад
Ndio tatizolenu wa tz munatoka na matokeo nyumbani kumbukeni ule ni mpila na kila timu inaitaji ushindi😮
@PaskaliDalei
@PaskaliDalei 4 дня назад
Sis cbe tulipegeza kdg tukija tz mtaomba maji
@Adohboy
@Adohboy 4 дня назад
Yani utopolo amkosagi kisingizio et wamechoka mbona kipa amejituma kama unajuwa unajuwa tu
@salminsomba2491
@salminsomba2491 4 дня назад
Hugo ni mtoto wa magoma hajui mpira kama baba yake wachezaji wametoka kwenye timu zao za wana mchoko hawakufanyabmazoezi na wenzao wachezaji 14 toka YANGA walioitwa na mataifa yao si kitu rahisi asubiri marejeo Zanzibar abaki na kauli yake hiyo hiyo kuwa mwaka huu hatuna timu asibadilike baadae
@lonesomekabora5547
@lonesomekabora5547 4 дня назад
Si Yanga wako na kikosi kipana haya kama uchovu wa AFCON basi ngoja tuone marudiano Amaan Complex Zanzibar
@jumakibasame3210
@jumakibasame3210 4 дня назад
Huyu mjinga Kama babake magoma
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 дня назад
​@@jumakibasame3210HUYO MTOTO SIO WA MZEE MAGOMA HUYO MWANAHARAMU KAMA MCHOME ANEMSIFIA JIRANI YAKE ANAJUWA KUTOMBA KULIKO BABAKE MIJANA HARAMU HIYO
@simonzelote5998
@simonzelote5998 4 дня назад
Kiukweli hata ukiangalia walipocheza mechi ya ligi kuu yanga Sasa sio Ile ya msimu uliyopita
@georgesteven5185
@georgesteven5185 3 дня назад
Ila angepngea mchome ungesikia mashabiki wa UTO daa huyu jamaa anajua Sana mpira 😂
@SaidHamoud-h9t
@SaidHamoud-h9t 2 дня назад
Peleka uke wako ukacheze pumbavu umetengeneza ulikuwa unacheza mjinga wewe tafuta kazi yakufanya wewe na anaekuuliza
@KalebuSinkala
@KalebuSinkala 3 дня назад
Wamechoka uzee ndiyo tatizo vibabu wle wakikutana navijana ndiyo mnaona
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 дня назад
UTOPOLO TIMU LENU BOVU HAMNA KITU 😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
@saimonijonas1471
@saimonijonas1471 4 дня назад
Kwani Simba anacheza lini?
@PaskaliDalei
@PaskaliDalei 4 дня назад
@@salimmalaka256 sis n Zaid ya cbe🔥🔥
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 дня назад
@@saimonijonas1471 KESHO SAA 2 USIKU YA TZ
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 дня назад
@@PaskaliDalei KWA UBOVU HAHAHAHHH
@abdallahshariff6555
@abdallahshariff6555 4 дня назад
Bado mkiambiwa kiwango kinashuka hamuamini,Mab eto fc
@MchungajiNzelani
@MchungajiNzelani 4 дня назад
Timu ya msimu huu mmhhh
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises 4 дня назад
ndoto zako zitaishia kitamdani
@mbwambog5969
@mbwambog5969 4 дня назад
Hats mimi sikufurahia kiwango cha Yanga V CBE leo, lakini pia nionavyo kama kiwango cha Azizi Ki kimeshuka vile!
@mohamedkutwambi
@mohamedkutwambi 4 дня назад
Unamaliza MB zangu bora nizime simu tuu
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises 4 дня назад
ngoma ya watoto aikesh
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 4 дня назад
Kule Ethiopia Kuna warembo bhana usishangae. Hii yanga NDIO ilipiga kaizer chief 4
@kimaroamon9008
@kimaroamon9008 3 дня назад
Huyumtoto anawaza sh70ml wanatowawapi
@kassidpandu866
@kassidpandu866 4 дня назад
Tuliwaambia wale vita lo ni wabovu na Mkakataa leo jeee
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises 4 дня назад
Ata timuyako pia ni mbovu.kwasababu yanga wameifunga
@kafulirahillaryhabel6728
@kafulirahillaryhabel6728 4 дня назад
Uchovu wa majukumu ya timu za taifa, hata hivyo away win, ni advantage kwa yanga
@user-zg8mi7ce3m
@user-zg8mi7ce3m 4 дня назад
Mlizifunga timu zingine zikiwa mbovu, timu zingine nazo zimepanda. Mtakoma waka huu😂😂😂😂😂
@WazieniDilangale
@WazieniDilangale 4 дня назад
Makolo mc jidsnganye tabu ipo palepale.
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises 4 дня назад
muimu ni alama (3)pekee
@AlgahOngillah
@AlgahOngillah 4 дня назад
Ww niyanga au mfuasi wa makolo tumekushtukia au ukiwa niyanga bas ni2 kasor 😅😅😅
@japhetmajige7481
@japhetmajige7481 4 дня назад
Unasemaje yanga wabovu katika ufungaji na wakati mnafunga magoli kumi kwa mechi mbili? Tatizo mnafikria Gori Tano au zaidi Kila mechi kuliko kushinda mchezo
@user-zg8mi7ce3m
@user-zg8mi7ce3m 4 дня назад
Hicho ndicho kiwango cha Yanga. Msilalamike. Msijilinganishe na Simba😂😂😂😂😂😂😂
@adamsonmwaisumo6791
@adamsonmwaisumo6791 4 дня назад
Simba iliyokufa mbele ya yanga ngao au iko simba nyingine
@seifamir2588
@seifamir2588 4 дня назад
Watu sasa wanajua kua Yanga wanatumia madawa
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises 4 дня назад
bado aujasema
@cleophacemasole
@cleophacemasole 4 дня назад
Mpira si kama ugali na sato Wana Yanga tueshimu pia Timu shindani
@user-zg8mi7ce3m
@user-zg8mi7ce3m 4 дня назад
Lini watafikia?Timu inaendelea kujitafuta miaka 2 😂😂😂😂😂😂😂
@RichardWambura-w9o
@RichardWambura-w9o 4 дня назад
Watu wengine bwana sijui ni swala la uelewa
@sudymgeni701
@sudymgeni701 4 дня назад
Sasa unataka wafunge kila siku.kwaiyo timu mzima mbovu ubwa wewe
@AlgahOngillah
@AlgahOngillah 4 дня назад
Usiseme wanayanga ha2jafurah hujafurah ww ulie kuwa huna iman na timyako mjinga ww hatahivo wamejitahd kuchukua poent 3 ugenn kamawao wenyej mbon wameshindw kuchukuw hizo 3 huipongez 2 timyak unaakil ww yan si bur unadegedege ww
@elipidtesha5466
@elipidtesha5466 4 дня назад
Muongeaji unaongea nini sasa.kalale
@gsplundi1327
@gsplundi1327 4 дня назад
CBE walicheza nje ya kiwanja pia walihamisha goli
@NaftaryMgoye
@NaftaryMgoye 4 дня назад
Huyu dunduka
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 4 дня назад
NA wewe unalaumu sana wakati ulisema Yanga ni bora kuliko timu zote sasa malalamiko YA nn?
@LauMagwaja
@LauMagwaja 4 дня назад
Kaongea point mwaka huu utopolo mtajuta
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 дня назад
UTOPOLO TIMU LAO BOVU 😂😂😂😂😂
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn 4 дня назад
ACHA bangi mbichi mbn wewe na magoma baba Yako mnaipiga yanga sana kulikoni?
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 дня назад
TIMU LENU BOVU 😂😂😂😂😂
@ThomasfrancisMvella
@ThomasfrancisMvella 4 дня назад
Mr..huwezi kila mechi ukapafomi kwa ubora ulele wa cku zote...hata hao vibonde kuna cku wanacheza kama mafundi, vivyo ivyo kwa timu bora ipo cku watakuwa chini ya ubora tu...
@YusuphMdaki
@YusuphMdaki 4 дня назад
Tuache midimo timu wiki nzima inawachezaji 11 tu waliobaki wote time zao za taifa wamefika Ethiopia kwa mafungu wamejitahidi sana sana uge nn tuwe watu wa shukrani ninyi wachambuxi uchwara
@adamlubawa1281
@adamlubawa1281 4 дня назад
Huyu jamaaa Mmmhhhhh ngoja ninyamaze
@MosesKaaya
@MosesKaaya 4 дня назад
Bado ni mapema sana kulahumu ,wachezaji wamechoka, na mechi za afcon, tuwape muda.
@haleemaali731
@haleemaali731 4 дня назад
Uyo ni mjinga tu yanga wamecheza vizuri aache upumbavu
@MosesKaaya
@MosesKaaya 4 дня назад
Yanga ni team kubwa, itakaa saw, utaona mechi ya marudiano watapigwa 6.
@SultanSuleiman-qf7cx
@SultanSuleiman-qf7cx 4 дня назад
Tulieni Wana YANGA kwenye marejeo mtakuja ona jumamosi
@rajabubwakila1977
@rajabubwakila1977 4 дня назад
Amesahau kama hao wachezaji wengi walikuwa kwenye Tim zao za taifa,kweli ni pumbaf na hajui kabisa mpira ni shabiki maandazi
@michaelmasalago8068
@michaelmasalago8068 4 дня назад
Hili Nalo jinga unafikiri kila siku ni kushinda goli nyingi? Hii ni champion league brother, ina namna yake ya kucheza.
@nicodemusparmena4642
@nicodemusparmena4642 4 дня назад
Hii ndio tatizo la watu wasioujua mpira ndio hawa! Wanaongea ujinga tuu! Hongera yanga kwa kuchukua point ugenini! Jiseme shabiki wewe usieujua mpira. Nina imani na safu tuliyo nayo itafanya vizuri mechi zijazo na tutafika mbali
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 дня назад
TIMU LENU BOVU 😂😂😂😂
@allydaud612
@allydaud612 4 дня назад
Wewe hujui kwamba timu haikua pamoja wachezaji wamechoka kutoka kwenye mataifa yao
@FeisalOmary-zt1wx
@FeisalOmary-zt1wx 4 дня назад
Hiyo sio sababu.uchovu wa safari ya nn kiwango cha young africa ni cha kawaida sana.inashindaga kwa timu mbovu kama zalan fc.na timu nyingine mbovu.na hapo bado kuna timu zipo huko mtakunanazo😊😅
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 дня назад
​@@FeisalOmary-zt1wxTIMU LAO BOVU 😂😂😂😂
@WadhifHajji
@WadhifHajji 4 дня назад
Wewemsenge watuwanachoka gemuijayo jiandae kuvaajezi
@YusuphJilala-r4e
@YusuphJilala-r4e 4 дня назад
Hujielewii,wametokakuchezamechingumu
@AthanasMsangule
@AthanasMsangule 4 дня назад
Tunakusamehe Bure. Kufuzu ni ushindi Wala SI idadi ya magoli. Aziz ndiye aliyetoa pasi na Dube akafunga, wewe wataka Nini? Aaah, kumbe ulisema wewe ni magoma junior!!!
@AyubuJuma-df4pn
@AyubuJuma-df4pn 4 дня назад
Kumbe huyu jamaa 0 kabsa Badala kushukuru ushindi wewe unabeza, Ungeenda kucheza wewe
@PeterambeliSendama
@PeterambeliSendama 4 дня назад
Kichwa chako kama magoma
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 дня назад
TIMU LENU BOVU
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 дня назад
TIMU LENU BOVU
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 дня назад
TIMU LENU BOVU 😂😂😂😂
@clementmgongolwa8316
@clementmgongolwa8316 4 дня назад
Acha lawama za kipuuzi upo na wanahabari uchwala
@GraceMarine-vo9hu
@GraceMarine-vo9hu 4 дня назад
Pumbavu kweli, wachezaji wametoka kwenye michuoano ya kimataifa ya FIFA ulitaka wachezeje, wao sio watu hawachoki? Shenzi nini
@user-er6ox5xx1i
@user-er6ox5xx1i 4 дня назад
Mtoto wa magoma😅😅😅😅😅
@reginaldmapunda6702
@reginaldmapunda6702 4 дня назад
Wachezaji wanechoka na AFCON na safari ndefu ndani ya siku tatu Kusafiri na kucheza michezo migumu. Ni kweli wamecheza chini ya kiwango na mimi bado nawapongeza sana kwa ushindi wa ugenini. Ratiba iliwabana na bado inabana kwa sababu kabla ya tar. 21 sept. kuna mechi tena tar. 28 sept. Tumeshinda ila tumexoea 5G laxima tuteseke ila kwangu ushindi wa ugenini ni mtamu sana na laxima tumshukuru Mungu kwa zawadi hii. Halafu tujue wazi kuwa hawa ni binadamu sio kila siku wanakuwa na hali ileile kimwili na kisaikolojia. We kijana unaonges ukweli na laxima upokee maua yako. Penye ukweli tukubali tu. Hii ni mechi tuliuocheza hovyo kuliko mechi nyingine yeyote ktk miaka hii mitatu ya furaha. Hatujaenjoy kama tulivyozoea. Tuneshinda ila hatujaburudika.
@user-wl4yo4zp9t
@user-wl4yo4zp9t 4 дня назад
Wewe kaka huna hata aibu kwani wao wachezaji ni wanyama? Hata mnyama anachoka acha kulaumu kuku wewe
@YusuphJilala-r4e
@YusuphJilala-r4e 4 дня назад
Sasaunalaumunini,?hujielewibwege
@devotabashome1090
@devotabashome1090 4 дня назад
Kacheze wewe kama unaona ni rahisi....sisi cha muhimu point 3
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 дня назад
TIMU LENU BOVU 😂😂
@YusuphJilala-r4e
@YusuphJilala-r4e 4 дня назад
Hujielewiiiii,ungecheza weweee
@SULEIMAN-l8v
@SULEIMAN-l8v 4 дня назад
wewe hujui mpira mechi hizi c xa kushinda 567 yanga 90%keshafuzu halafu inategemea umecheza na nani
@cleophacemasole
@cleophacemasole 4 дня назад
Huyo ni mpira una dunda
@gsplundi1327
@gsplundi1327 4 дня назад
Ungeingia ucheze wewe
Далее
Как мы играем в игры 😂
00:20
Просмотров 527 тыс.