Minu kwakweli ulimpenda sana Snurra ingawaje ni mkubwa ki umri lkn yeye alkuhadaa tena mbele ya umma kijifanya anakuchumu na maneno mengi yakukuluwaza.Maoni yangu kwako Minu ni, kuwa na Subira na ALLAH atakupa mke wa kufa kuzikana, Insha Allah🤲🤲🇰🇪
Nimekupenda Minu, unaonekana upo real sana na una mapenzi ya kweli kwa Snura maana hujaonesha pride kuwa umeachwa. Snura msamehe bhana, usisikilize maneno ya watu, dogo anakupenda.
pole sana minu omba mungu aludishe moyo kapo yenu ilipendezatu ata mm naamini itakuwa wanamchezea maana alikuwa anajimaliza atosikilizawatu, nawaambeeni kwa mungu muwesawa
Duh! Ila Dogo kwa kweli waokekana kumpenda sana Snura. Pole, endelea kumbembeleza huenda akarudisha moyo wake ila akishikilia msimamo wake, achana naye ufanye mambo mengine. Wanawake kila siku wanazaliwa.
Mtoto wa kiume unachanganyikiwa kukaa na mwanamke kinyumba kesho je utamjibu nini mola wake wakati pumzi zinatuhada dunia tunapita binadaam tushtuke mauti any time je tumejiandaa nini kumjibu mola wetu msibaa mkubwaa
Zinaa haidumu binadaam unatakiwa ufunge ndoa lkn Leo binadaam tunazidi kufanya machafu kwa kumsokea mungu Allah atunusuru na vizazi vyetu jinsi uchafu unaofanyika zinaa binadaam unaidhihirisha
wanaume wazuri mnazingua kitandani hovyo pili hampendi kufanya Kazi mnapenda Sana kulelewa wanawake wanawatamani tu kwaajiri ya mwonekano lakini mnakera sana kafanye Kazi huko acha kulialia na mapenzi wewe snura kachoka kukulea
Usijal pengine God amekuepusha navitu never know so never maid forcus bro navitu vyako God atafungua milango my prayers God locate you akupe Alikiba yebaba akumenej from Kenya +254
Pole sana.mtoto wa kiume mzuri kama wewe kisha unawazi wako.huoni aibu kuongea utumbo kwebye mitandao? hao wazazi wako masikini yani unawadhalilisha sana kwa jimama Snura mtu mzima anakuzaa na pua kamaliza starehe mbali mbali utamueleza nini?? wewe mauno na umaarufu ulikuchanganya hata hukuona haya kwa mama kama yule mbele ya wazazi wako. sasa laana hiyo
mm nilikuwa nawapenda sana mungu awajalie murudiane pia nyinyi wanaume mnakuwa waongo unakataa ujatongoza mwanamke siyo kweli me wangu juzi tu katongoza rafiki yangu arafu arafu kakataa kata kata na misamaha juu anasema huyo demu ndo kamtaka mwenyewe
Baadhi ya wasanii papuchi zao ni brand ivyo ulijisahau ww ukapenda mapenzi ya home huo ndio ustar bro unapenda machoni na mdomoni sio moyoni ila umetuwakilisha vyema mwanzo mgumu tafuta papuchi nyingine ya nguvu kuliko hyo big up usikonde wala nn km unataka mapenzi kua km zed anto penda anaependa mapenzi sio show love
Jamanii mtanga mwenzangu waja Leo waondoka leo pole mwaya ila tanga maboy wetu wazur balaa hahahaa cheki Toto km lisomari vile uku km mreno dadekiii zao hao waliovunja penz lako hawaendi mbingunii😪😪 hata lift hawapati mwaya 😔😔 😔
Snura asipo kuwa makini atachezewa na wanaume kira mara mapenzi hayaingiliwi rudiana na mwilenzio maisha yaendelee watu wakiona mnapenda lazima watie maneno kuwa makini sana mahusiano yako
Ila haya maisha mh .bd kijana mdogo tafuta maisha tu Sasa uone Kama kunamtu atakusumbua inaonyesha umeumia kwely kuachana na snura.lkn ndio imesha tokea maisha mengine yaendelee
njoo kwangu sikufichi kama hakuna kuaminiana hakuna mapenzi na kama hakuna wivu pia hakuna mapenzi I think snura wivu wakimapenzi ndio ulomfanya agombane na ww afu we handsome bwana lazima awe na wivu baba kubali matoke akigoma kukurejea basi njoo kwangu nitakuwa sina makosa