Ndio..maana napenda kukusikiliza miraji .maramoja unajua mie ni yanga lkn nakufatilia sana ww na changamba na mzee said kuliko kisugu na masatu hawajui chochote
Wachambuzi wengi ni hovyo ni mashabiki! Tusisngalie ligi tu! TANGIA PRE SEASON,YANGA KAPOTEZA MCHEZO MMOJA TU NA WAXUNGU!!! leo mchambuzi eti yanga wameshuka kiwango! Strikers huwa wana phase ya kutofunga( hiyo sasa inakua sio kazi YA GAMONDI NI KAZI YA PYSCHOLOGIST WAO KUREKEBISHA HILO) na pia ,pamoja na strikers wao kukosa magoli ya wazi,team efforts zinawafanya washinde! AND THATS WHAT CHAMPIONS DO! FINDING A WAY TO WIN!
Chagamba miraji nmemuona bado mzee said tumekutafuta sana aisee tutendeee haki tumekuzoea we kila game ya yanga na simba lazma uwahoji miraji na mzee said