Yesu aliwabia wanafunzi wake, mtakataliwa na ulimwengu kwa sababu yangu ;maana mimi sio wa ulimwengu huu, mtateseka dunani ni kwa sababu ya kukataa mambo ulimwengu lakini mwishowe mtaridhi usima wa milele ambao uko juu kwa baba, sio duniani, nzeve ni ya ulimwengu lakini haki ni juu mbinguni.