Kwa Bahati mbaya sana wanaume wengi hawawadekezi wake zao. Mwanamke hujiona mtu wa thamani sana pale anapodekezwa na mke wake. Mawasiliano yanapokosekana katika ndoa, hufanya mke au mume kutokuwa na furaha katika ndoa.
Surprise 😂😂😂 Is this the reason why people are upsetting soo quickly??ma stress ..you joke with someone but they react like ai🤦🏼♀️ ...it was just a joke .. kwa sababu watu wamejaa mastress siku hizi.. Kim from +61