Huyo alovya buibui si mke huyo kiswaswadu huyo mke.bora na mwenye midhamu niuyo mwenye jialbabu mashallah mke bora.safi sana bro Bujra kwa kuelimisha watu .
MAA SHAA ALLAAH! SAMAHANI NAOMBA NISHAURI: MAIGIZO YENU NI MAZURI ,SASA JITAHIDINI IGIZO LIKIHUSU SHERIA MUWAHUSISHE WAJUZI. HAPA SHEIKHE KASEMA EDA MIEZI 4 NA SIKU 10 HII NI KWA EDA YA KUFEWA, AMA EDA YA TALAKA NI HEDHI 3 (TOHARA 3) AU KAMA HAPATI HEDHI BASI NI MIEZI 3.
Masha Allah, movie nzuri yenye mafundisho ila Bujra improve kwenye microphone system sauti haziko clear na pia camera settings igeuze tulizoea kuwatch movie tukiwa tumeinamisha simu na labda at the same time ikiwa iko kwenye charging so unatupa kazi ya kushilikilia simu hatu enjoy simu ikiwa imesimama, Hayo ni maoni yangu
Maa Shaa Allah Maa Shaa Allah Ujumbe mzuri sana lakini kadhi anafaa ajue vizuri aina za eda na muda wake. Kwa sababu hapa ndio wengine wanasoma ukubwani au wengine wanafunzi.