MKUTANO MKUU WA SIMBA 2024: “Tunatarajia kujenga kambi bora ya mazoezi” maneno ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC ambaye pia ni Rais wa Heshima, Mo Dewji akielezea mipango ya ujenzi wa mradi mkubwa wa Mo Simba Arena.
Mo Dewji ameonesha muonekano wa michoro ya namna Mo Simba Arena itakavyokuwa
Ni kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka 2024 wa Simba SC (AGM), ambao unafanyika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere Dar es Salaam.
#MkutanoMkuuWaMwakaSimba2024 #SimbaSC #MkutanoMkuu #AGM
5 окт 2024