Kwenye kabila letu la kimaasai mungu tu atusaidiye unaona izi nyimbo zinamtukuza mungu lkn niasara tu watu wanagarimika kifeza kwa muda lkn aina faida naomba jamii yangu embu ibadileke ivi ingekuwa hawa watu ingekuwa hii ni cd ingenunuliwa wangepata kitu kidogo neno la mungu linasema kuweni na akili mpate kuishe