Da bro nimenunua sana vifaa vya umeme pale mnadani kariakoo, nikiwa nafanya kazi polisi Salender bridge. Kumbe vipaji hujificha mahala pengine, ni mpaka viibuliwe ndo vionekane.hongera kaka
Mfanyakazi ya kubeba mizigo kiwandani marekani anamzidi kipesa na meneja wa kiwanda mwenye digrii bongo da marekani wanajali watu Ila ndio maana halisi na tofauti ya nchi ya dunia ya kwanza na ya dunia ya mwisho
nilikuwa na camera 3 unajua kila kitu nafnya mwenyewe kushut edit na kuhost so camera moja ya mzee camera moja yangu camera nyingne inashuti wote so kuna mda camera zingne zimestop inabd nitumie video iliyopo camera nyingne ulikuwa haichukui sauti
Huko nako fainali uzee msione vyaelea huko mikopo ya nyumba gari unapata huko nyumba ni yako lakin utailipia kodi had wafa hakuna ubwelele bila kufanya Kaz na ukishindwa unabaki homeless unaishi mtaani
Kwa hiyo wewe muandishi unahoji au unaeleza,mbona mpo vilaza hivo,Kama huwezi ungempa mtu mwingine ahoji.huo wivu kwa hiyo Mzee Magari mumemiss baada ya kwenda Marekani
Ivi watanzania mtaelimikanga Lin?? Mtu yuko usa tu imekuwa kam vle mbiguni jaman!! Taften pesa na muachane na maisha ya mtandaon cz dunia iko mbal saaan
Comments zimejaa ila nakuagiza waambie sns wa bongo wajifunze kufanya mahojiano kama ya Junior kwa kuwa hana muda ila anapangilia content.hatakam hukutaka kumsikilizA ikatokea umekosea ukaview kazi yake lazima uitazame yote. Kuna clip nimeiona esco anamuhoji jambazi lkn ile kazi kaifnya kama ni muda wake wa ziada lkn amepoteza muda,ktk muda wake wa kupumzika ila kama angechukulia serious ile kazi imetokea kama Zali aipe thamani ingelipa zaidi. Yaani ww umesikia mtu anamzungumzia Mondi kwa kina unapaswa ku react faster na kutengeneza pesa lkn Esco alirelux akawa anapigiwa story na kushoot bila kutafuta contours za kuthamanisha ile kazi amezingua. Fanya kazi kama zali pale unapoona kuna jambo zuri,yule jambazi angempa maswali kama haya angepiga viewers balaaa zaidi ya vile
Mzee magali wewe ni lulu ya tanzania na michango ya mashabiki wako ume kufikisha hapo na kumbuka siku ume kuja ilinga ilifikia city lodge ipogolo mwenyeji wako alikuwa Bathoromeo Kuzugra tume kumisi sana Hongera kwa kufika huko japo hutujui magum unayo pitia na changamoto unazo pitia ila usisahau nyumbni kumenoga