Mwanamke mjinga atavunja ndoa yake kwamikono yake ye mwenyewe...Adam mwenyewe aliingia mkenge...sembuse waname Wenu awa wa sikuiz wenye MUNGU wakubahatisha.
Hii habar ya kugawa namba ya mpenzi au mume kwa rfk sio nzuri kabisaa😂😂 mwanaume anaongea kiistarabu kwel kama kwel ndo mume masikini mm sitoi namba ya bae kwa rfk
hata ingekuwa mimi, aisha kama ndio babe wangu ningemcheat tu kwa huyo shem darling pee😂😂 nyie hamjui raha yakutembea na mtu na rafiki yake..wanaume tunapenda adventure
Yaani madada mengine ya hovyooooo sana yaani mtu amekuulizeni tufanye challenge hivi na hivi na umemkubalia rafiki Yako tena unaanza kunchukia rafiki Yako anakosa Gani Sasa hapo?hivyo kabisa na kimini chako et ndo sketi mguu wenyewe wa kuvalia kimini huna 😂😂😂hivyo kabisaa 😏😏😏😏
Kwanza ata jamaa mwenyewe yupo hapo hapo fuatilia vizury kuna mwangwi kabsaa jamaa anatufanyia maigizo viwango vimeshuka wanatengeneza content shezi awaa
Wanaume sio watu wa kuwatania hata kidogo, most of them, they are very week😮. Na wadada muache mambo ya kuongea na wapenzi wenu mbele ya marafiki zenu, kuonesha maanaume anavyokupenda na kukujali. Rafiki yako alikuwa anapenda unavyoongwleweahwa na mwanaume wako mama/ mke. Ila huyo Masud kiboko, hata huyo rafiki yako akisema waje wapendane litkuja kumgharimu. Mwanaume hajatulia hata dk 1. Unamuachiaje rafiki yako halafu anamuita mpenzi wako shem darling