Тёмный

MPENZI KADANGANYA ANA SAFIRI 

Подписаться
Просмотров 29 тыс.
% 688

Опубликовано:

 

26 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 270   
@KautharMartin-sc9cm
@KautharMartin-sc9cm 6 дней назад
Yan wameongea vizur hatar unaweza kusema mume si ndo huyu😂😂😂😂wanaume nyokooo
@binueltinda5366
@binueltinda5366 2 дня назад
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
@user-no7pz1bz4y
@user-no7pz1bz4y 5 дней назад
Yani hao wakupenda kuita mama angu ndio mafilauni wakubwa hao, yalisha wahi kunikuta mimi😢😢😢
@BeautyMeryJoseph
@BeautyMeryJoseph 2 дня назад
😢😢km mm
@diva_20162
@diva_20162 2 дня назад
😂😂😂mbn mafilauni jaman
@binueltinda5366
@binueltinda5366 2 дня назад
😢Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
@getrudamsigwa2776
@getrudamsigwa2776 6 дней назад
Alivyosikia mke wangu kacheka mwenyew
@mariasixmund7964
@mariasixmund7964 6 дней назад
😂😂😂
@lovenesspatrick1577
@lovenesspatrick1577 5 дней назад
Yaan ka jinga
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 5 дней назад
Sipendi kuitwa mke najitu ambalo halijanioa maana huwa ni maongo
@binueltinda5366
@binueltinda5366 2 дня назад
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
@user-zs7vs3iv9h
@user-zs7vs3iv9h 5 дней назад
Tufike mda tuelewe kua hamna true love
@binueltinda5366
@binueltinda5366 2 дня назад
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
@maryamedi9141
@maryamedi9141 6 дней назад
Duuh nikisikia mapenzi nahisi kichefu chefu😂😂😂😂atakaye nipenda nitamunyoosha wanaume duuh
@jafarysoahsoah8530
@jafarysoahsoah8530 6 дней назад
😂😂😂 moyo wangu unagoma kumuamini mtoto wa watu kabisa
@maryamedi9141
@maryamedi9141 6 дней назад
@@jafarysoahsoah8530 Yaan wew ndo kama mm wanaume sjui nawaonajee 😅😅😅
@jafarysoahsoah8530
@jafarysoahsoah8530 5 дней назад
@@maryamedi9141 poleee utapona maana asilimia 98 ya wanaofanyiwa challenge wanafeli yaani unakuta mtu anacheet sa nimuamini nani 🤣
@FerdinandCharles-ko7de
@FerdinandCharles-ko7de 4 дня назад
​@@maryamedi9141 malizia tu cc ni mambwa
@maryamedi9141
@maryamedi9141 4 дня назад
@@FerdinandCharles-ko7de 😂😂😂😂 nawqtaftia jina
@johasaeed391
@johasaeed391 6 дней назад
Yaani wanawake sisi ukitwa mkee tu yaani unabonyea
@elizabethcharles8605
@elizabethcharles8605 6 дней назад
😂😂😂
@maryamedi9141
@maryamedi9141 6 дней назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@AraphaCheki
@AraphaCheki 6 дней назад
😂😂 au mama akili zina ama kabisa
@salimmalaka256
@salimmalaka256 5 дней назад
​​@@AraphaChekiJIFUNZE KISWAHILI AKIRI 😂😂 ZINA AMA😂😂
@theresiashirima554
@theresiashirima554 4 дня назад
😂
@MaveGladician
@MaveGladician 6 дней назад
Alafu mimi haya mazoeya yakumwita mpenzi wangu shem darling siyapendi
@SalomeSylvester-er3rq
@SalomeSylvester-er3rq 5 дней назад
Haha😂
@AfricanPrincessLabel
@AfricanPrincessLabel 4 дня назад
Hahahaha
@maryammsaraka5306
@maryammsaraka5306 4 дня назад
Me too
@diva_20162
@diva_20162 2 дня назад
😂😂😂😂
@binueltinda5366
@binueltinda5366 2 дня назад
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
@AishayoutubeMoosa-zn1co
@AishayoutubeMoosa-zn1co 6 дней назад
Huy mwanamme jinga hawezi kujiongeza mpenz kampigia Shem kampigia hapo hapo hawezi kufikiria kama mchezo 😊jmn
@modesterjulius7625
@modesterjulius7625 5 дней назад
kwani wanaume wanaakili ya kujiongeza
@tumainlession411
@tumainlession411 4 дня назад
Hawana kbs ni mazumbukuku​@@modesterjulius7625
@LoyceLoyce-fu9pc
@LoyceLoyce-fu9pc 2 дня назад
😂😂😂hawanagà akili hawa ni mbute😂​@@modesterjulius7625
@joycekambuga6286
@joycekambuga6286 5 дней назад
Kumpa mtu namba ya mpenzi wako siyo poa wanadamu wamekuwa wanyama. Mpuuzi sana inaonyesha alikuwa anammendea siku nyingi mpuuzi huyu
@LindaSalumu-yw9hq
@LindaSalumu-yw9hq 4 дня назад
Dada acha tu
@ashapearubart2624
@ashapearubart2624 День назад
😂😂 hawo dio wanaume wa leo. Nimesheka kama mzuri.
@user-gl8ij6mn6e
@user-gl8ij6mn6e 6 дней назад
duuh wanaume jomoooniii kha mi staki kabisa sio kwa uwongo huo 🙌🙌🙌
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 6 дней назад
Nitabaki kuwa single hawa viumbe wanaoitwa wanaume aisee wanipishe.
@ChristopherChacha-fb4oc
@ChristopherChacha-fb4oc 5 дней назад
Wewe single nitumie no yako nami ni single
@FerdinandCharles-ko7de
@FerdinandCharles-ko7de 4 дня назад
​@@ChristopherChacha-fb4oc😅😅😅😅 mbavu sana
@memoryngambi7570
@memoryngambi7570 5 дней назад
Mimi ndo hua nacheka yaani wenye akili wanajifunza,lamsingi wanawake tu focus kwenye mambo ya msingi ,alamfu mapenzi baadae.
@kmoreboyofficial8283
@kmoreboyofficial8283 6 дней назад
Mr uky 👍👍👍
@sahraabdallah7242
@sahraabdallah7242 6 дней назад
Mbona nipeni hela yangu haya ni maigizo😊
@MelaniaSanga-kc9xc
@MelaniaSanga-kc9xc 6 дней назад
😂
@user-qq8fe9vx3e
@user-qq8fe9vx3e 6 дней назад
Kumbe tumesikia wote😂😂
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 6 дней назад
Haya ni maigizo nduguni zangu
@rutheliabu9515
@rutheliabu9515 День назад
Nikajua nimesikia pekeangu😂😂😂😂😂
@DavidMkuu
@DavidMkuu 2 дня назад
Mbona nimeasikia mr uky nipe ni ela zangu 😂😂😂
@ElizabetHariaohay
@ElizabetHariaohay 2 дня назад
😂😂nikajua nimesikia pekeang😅😅
@mosesmligo9614
@mosesmligo9614 4 дня назад
Mwanamke mjinga atavunja ndoa yake kwamikono yake ye mwenyewe...Adam mwenyewe aliingia mkenge...sembuse waname Wenu awa wa sikuiz wenye MUNGU wakubahatisha.
@binueltinda5366
@binueltinda5366 2 дня назад
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 4 дня назад
Lakini sisi wanaume ni wauaji kwa kweli.
@josephshayo5493
@josephshayo5493 3 дня назад
How many kills u got?
@roseallyWaney
@roseallyWaney 6 дней назад
Mbona tena nipeni hela zanguu😅😅😅😅😅😅😅😅😂
@salmakasim8390
@salmakasim8390 6 дней назад
Kumbe na ww umeskia hahah
@roseallyWaney
@roseallyWaney 6 дней назад
@@salmakasim8390 Ndiyoo wanatudanganya hawa mbwa 😂😂😂
@joycemachibya4380
@joycemachibya4380 2 дня назад
Hii habar ya kugawa namba ya mpenzi au mume kwa rfk sio nzuri kabisaa😂😂 mwanaume anaongea kiistarabu kwel kama kwel ndo mume masikini mm sitoi namba ya bae kwa rfk
@najmahhassan7853
@najmahhassan7853 6 дней назад
Mr uky bhana 🤣🤣 eti ila wanaume,Kwan we pia si mwanaume 😂
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x 6 дней назад
mke wangu😅😅😅wanafki sana wa hivi
@chriskimuto1425
@chriskimuto1425 6 дней назад
Ila sisi wanaume ni wadhaifu sana
@divadivana368
@divadivana368 6 дней назад
Mbonaaa unawadaiii Elaaa Hayaaa maigizoo bhnaaa , , 🤣🤣🤣🤣Japo sometimes yanatokeaaa kwenyee maishaa lakin tunataman utuleteeee vitu real
@user-wh5zz5dk2g
@user-wh5zz5dk2g 6 дней назад
Wanaumeee eeeeh wanaumeeeh eeeh wanaumeee ni wapumbavu
@user-ci2cc9kx8l
@user-ci2cc9kx8l 2 дня назад
Leta ela zangu😢 😅😅
@userlizkenya
@userlizkenya 6 дней назад
Nakupenda pia nyokooooooooooo
@user-js6cg6qb4o
@user-js6cg6qb4o 6 дней назад
Challenge hiyo staki kabisa kwa Baby wng...ntapata wazimu😂
@omanoman2044
@omanoman2044 6 дней назад
Challenge hii nzuri san ndo ujue unapedwa am laa
@user-js6cg6qb4o
@user-js6cg6qb4o 6 дней назад
@@omanoman2044 ujue unaweza ukawa unapendwa lkn ndo mwanaume wako akawa ana tamaa..ndo kma ivoo tamaa yake itakufanya ww kuumia na kuzan hupendwiii
@winniefridamaiko2775
@winniefridamaiko2775 6 дней назад
Wewe ndo Mimi
@winniefridamaiko2775
@winniefridamaiko2775 6 дней назад
​@omanoman2044 no sitaki nitakuwa chizi
@user-yj3gy4jc1t
@user-yj3gy4jc1t 4 дня назад
Wanaume mtafika mmechoka sana
@abubakaliyahaya2968
@abubakaliyahaya2968 3 дня назад
Bado hujasema
@binueltinda5366
@binueltinda5366 2 дня назад
😢Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
@happynesjohanes870
@happynesjohanes870 2 дня назад
tatizo traaako wanaume kwa traaako nachomokaje😅
@UsuiliMilangitoni-gm.c
@UsuiliMilangitoni-gm.c 6 дней назад
Aliesema wanawake viumbe dhaifu sidhani kama aliwahi kuwafanyia challenge wanaume, maana hawaruki 😅😅
@Beyonceqme
@Beyonceqme 6 дней назад
Fanyia Wanaume hii challenge
@UsuiliMilangitoni-gm.c
@UsuiliMilangitoni-gm.c 5 дней назад
@@Beyonceqme Hawakatai, tena ndani ya dk 10 tu ameshapata majibu na kudanganya anasafari, lakini mwanamke hawezi kukubali ndani ya dk 10.
@Beyonceqme
@Beyonceqme 5 дней назад
@@UsuiliMilangitoni-gm.c kweli kabisa
@binueltinda5366
@binueltinda5366 2 дня назад
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
@bushbabytz
@bushbabytz 6 дней назад
hata ingekuwa mimi, aisha kama ndio babe wangu ningemcheat tu kwa huyo shem darling pee😂😂 nyie hamjui raha yakutembea na mtu na rafiki yake..wanaume tunapenda adventure
@NuruZebedayombise-ie5zb
@NuruZebedayombise-ie5zb 6 дней назад
Marafiki shikamoo
@athumanmwilima1144
@athumanmwilima1144 День назад
MBONA KAMA WALIPANGANGWA MWISHO ANAWAAMBIA NIPENI HELA ZANGU
@AdamAmos-rr6fg
@AdamAmos-rr6fg 6 дней назад
Mapenzi nyoko kudadeki😅😅😅😅
@Fayzins
@Fayzins 6 дней назад
Mr uky amechukuaaa hela zakee watu hamuangalii video hadi mwishooo😂😂😂😂🙌🙌
@user-ul8nf1nw1h
@user-ul8nf1nw1h 6 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂 et wanaume kumamayo htr sana wanawake tumeshawachoka kwa kweli from oman
@racheljoseph9402
@racheljoseph9402 6 дней назад
😂😂😂😂😂habity reshi ntii
@ElizabetHariaohay
@ElizabetHariaohay 2 дня назад
Nimesikia tuuuh heee😂😂😂😂
@reginaphilimon782
@reginaphilimon782 4 дня назад
Shem darling ya nyokoooo
@Unique____938
@Unique____938 4 дня назад
😂😂
@user-dc4ri8gw1o
@user-dc4ri8gw1o 6 дней назад
Wadada ukiwa na shoga ako afu Hana mpenzi ujue nimke mwenzio huyo sitawaambia Kila kitu Kama huyo eti Shem darling oyaa 😂😂😂😂
@juliethmagembe2262
@juliethmagembe2262 6 дней назад
Ndomaana Mimi sina imani😂😂
@HabibaAyubu-rt7eg
@HabibaAyubu-rt7eg 6 дней назад
Daaaangoja ninyamaze mtu anadeka ata afanani😅😅😅😅😅😅 😂😂😂😂😂
@user-fe9jc5di9f
@user-fe9jc5di9f 6 дней назад
Hahaha wanaume mungu anawaona
@lovenessfracis
@lovenessfracis 6 дней назад
Yaani madada mengine ya hovyooooo sana yaani mtu amekuulizeni tufanye challenge hivi na hivi na umemkubalia rafiki Yako tena unaanza kunchukia rafiki Yako anakosa Gani Sasa hapo?hivyo kabisa na kimini chako et ndo sketi mguu wenyewe wa kuvalia kimini huna 😂😂😂hivyo kabisaa 😏😏😏😏
@miriamconstantine5626
@miriamconstantine5626 6 дней назад
😅😅😅😅😅
@user-bf2bx3vh1h
@user-bf2bx3vh1h 5 дней назад
Loveness jaman😂😂😂😂
@agriparose3942
@agriparose3942 5 дней назад
Hujamchamba vizuri hiyo sura ina maana mi ndio naiona mwenyewe ka ngozi ya goti
@nice7706
@nice7706 5 дней назад
😂😂😂😂MUNGU anakuona eti mguu wa kuvalia kimini😂😂😂🙌🙌
@AfricanPrincessLabel
@AfricanPrincessLabel 4 дня назад
Ety jmniii apo ss
@user-ms5rl9gw1r
@user-ms5rl9gw1r 6 дней назад
Jina lenyewe Masudi sijui we huogopi 😂😂😂😂
@MelaniaSanga-kc9xc
@MelaniaSanga-kc9xc 6 дней назад
😂😂
@binueltinda5366
@binueltinda5366 2 дня назад
😢Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 4 дня назад
Masouuuuuud ni mbwaaaaaaaaa mwenye mkia wa mbele!!!😅😅
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 2 дня назад
😂😂😂nimecheka Kaa mwehuuu
@annasitaziagamba4186
@annasitaziagamba4186 6 дней назад
😂😂😂mbola tudanganye tu wote lkn sio kunidanganya watu wazima bado mnauzwa et mke na hajakuoa ndo hapo huwa mnafnya makosa
@ElizaGervas
@ElizaGervas 5 дней назад
Mwishoni Mr UK baada ya kusema kata ukawaambia nipeni Hela zangu 😂
@MarthaMoris-zg2bj
@MarthaMoris-zg2bj 5 дней назад
Hata mimi nimesikia hivo
@Agath45
@Agath45 6 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂 simuwe mnakataa hizi challenge
@user-jv8qx7xf2g
@user-jv8qx7xf2g 3 дня назад
Why 😂 n nzur kujua Kam una li mdori
@fhugghi4109
@fhugghi4109 6 дней назад
Mr Uky jaman unavunja mahusiano ya watu 😂😂😂😂
@lenniefei6710
@lenniefei6710 6 дней назад
anavunja ama anasaidia kuwachomoa wapumbavu
@memoryngambi7570
@memoryngambi7570 5 дней назад
Havunji ila ni fundisho wanawake hua hatujitambui,tatizo letu tunawaamini wanaume sana kuliko kutuliza akili na kuchukua mda ili kupata Alie Sahihi.
@mgirigi
@mgirigi 6 дней назад
Kumbe mnaigiza, siku zote najua ni kweli, neno leteni hela zangu, halafu hao wakabadilika wanacheka wakati mmoja alikuwa kanuna
@michelinemiche442
@michelinemiche442 4 дня назад
Narinje ndiruka,ngo mwayirekuye murankoreyeko😢
@xavieramandiocristovao8286
@xavieramandiocristovao8286 5 дней назад
Ali test walitegemea nini,ugonvi wengine munataka dada zangu 😅
@user-xy8kl9wd2i
@user-xy8kl9wd2i 6 дней назад
Single tujuane 😂😂😂
@alexsamwel3033
@alexsamwel3033 5 дней назад
ata ingekua ndo me kwa iyo mama angu uki compare na shemdarling lazim niingie mkenge t😄😄
@mariasixmund7964
@mariasixmund7964 6 дней назад
Kata nipeni hela zangu😂😂😂
@christophermsekena616
@christophermsekena616 2 дня назад
Mwanaume hajaribiwi
@user-st7my5gk8i
@user-st7my5gk8i 5 дней назад
Ila @mruk hii umetuigizia bhn,,mwishon unadai hela zako tena🔥🔥🤣
@DonatilaMbalinga
@DonatilaMbalinga 5 дней назад
Kwanza ata jamaa mwenyewe yupo hapo hapo fuatilia vizury kuna mwangwi kabsaa jamaa anatufanyia maigizo viwango vimeshuka wanatengeneza content shezi awaa
@user-ko8sd1vw2q
@user-ko8sd1vw2q 6 дней назад
😢😢😢 mmh duuuu kwakweli
@salehmdemu5722
@salehmdemu5722 2 дня назад
Yaan kuachwa huwa mnataka wenyewe,mnatutega mbwa sisi!haya nyie endeleeni
@SalimMussa-mm7bm
@SalimMussa-mm7bm 4 дня назад
😂😂😂 kazi ipo
@ElizaGervas
@ElizaGervas 5 дней назад
Kama nimesikia mwishoni Mr UK baada ya kusema kata ukawaambia nipeni Hela zangu😂
@amanlubunga5493
@amanlubunga5493 3 дня назад
Hata ningekuwa mimi masoud hizo fito napeleka wapi! Mwanamke nyama bwana
@deniskaguo4698
@deniskaguo4698 4 дня назад
Huu mtego hakuna mwanaume anayeweza kuuvuka hata mm ningedakwa tu 😂😂😂😂
@LindaSalumu-yw9hq
@LindaSalumu-yw9hq 4 дня назад
Na shemeji kanona
@user-qq8fe9vx3e
@user-qq8fe9vx3e 6 дней назад
Mnapenda kugombanisha watu mbwa nyinyi😅😅
@emmanuelmchomvu2676
@emmanuelmchomvu2676 4 дня назад
Shemu mzur😅😅😅
@user-zx7mv9bl4w
@user-zx7mv9bl4w 6 дней назад
Kumbe haya huwa ni maigizo bhaana mwishoni hapo nimesikia nipeni hela zangu😂😂😂
@AndasonMartine-vz2bq
@AndasonMartine-vz2bq 6 дней назад
😂😂😂 Twapigwa mchana kweupeee
@user-hz8un6sm4p
@user-hz8un6sm4p 4 дня назад
Mwanaume hajaribiwi jamani😂😂 hawakataagi
@sweetbertsweetbert4219
@sweetbertsweetbert4219 6 дней назад
mbona hapo mwisho jamaa kadai hela😂😂 kumbe hua ni maigizo
@LindaSalumu-yw9hq
@LindaSalumu-yw9hq 4 дня назад
Shemeji kanona lakini 😂😂
@MagrethDaniel-mc6bm
@MagrethDaniel-mc6bm 6 дней назад
Aisha weeee😂😂😂
@agriparose3942
@agriparose3942 5 дней назад
Mwenzenu kila siku nawapaga code date na wazee au muwe single mta enjoy sana wanawake
@user-gl8ij6mn6e
@user-gl8ij6mn6e 6 дней назад
kimewakaaaaaa huyo nae hashtuki simu kwa mpenzi wako kwa wakati huohuo kwashem darling usikasirike hiyo ni challenge tyu ushoga usifee
@modestajamada3496
@modestajamada3496 6 дней назад
😅😅😅😅 mapenz nyoko 😏😏
@user-xc4or2vp6l
@user-xc4or2vp6l 4 дня назад
Wanaume sio watu wa kuwatania hata kidogo, most of them, they are very week😮. Na wadada muache mambo ya kuongea na wapenzi wenu mbele ya marafiki zenu, kuonesha maanaume anavyokupenda na kukujali. Rafiki yako alikuwa anapenda unavyoongwleweahwa na mwanaume wako mama/ mke. Ila huyo Masud kiboko, hata huyo rafiki yako akisema waje wapendane litkuja kumgharimu. Mwanaume hajatulia hata dk 1. Unamuachiaje rafiki yako halafu anamuita mpenzi wako shem darling
@elizabethkyando3648
@elizabethkyando3648 6 дней назад
Aiseeeee hivi viumbe 😢
@Mike_Peace
@Mike_Peace 6 дней назад
Nipeni ela zangu😂😂😂😂
@rosejonson3241
@rosejonson3241 6 дней назад
Kwanza iyo shem darling vip
@user-dq4ur9kk6h
@user-dq4ur9kk6h 6 дней назад
Kuna mdada amepasing around hapo😂😂😂
@kokusimabayona4179
@kokusimabayona4179 3 дня назад
😂😂😂😂Kumbe ni UONGO siku zote 😏😏😏😏 eti nipeni hela zangu
@user-eo4hd8xu6d
@user-eo4hd8xu6d 6 дней назад
😂😂😂😂mguu kama muwa et anadeka beiby wanaume mnahuruma ,,,ulimpendaje ivyo
@user-bf2bx3vh1h
@user-bf2bx3vh1h 5 дней назад
😂😂😂😂eti mguu kma muwa aah jaman
@MrsSalim-bv3zx
@MrsSalim-bv3zx 6 дней назад
😂😂 mapenzi shijamoo
@ChainesBoufee
@ChainesBoufee 5 дней назад
Wew dada hujion kama umezeeka.
@LyonWalker_
@LyonWalker_ 4 дня назад
Etty nioeni hela zangu 😂😂😂
@user-ce2lm5on3p
@user-ce2lm5on3p 2 дня назад
Me nachekaga tu 😂😂😂
@elischarles1615
@elischarles1615 6 дней назад
Basi hapo roho yako kwatu kuharibiana mood tuu😂😂
@binueltinda5366
@binueltinda5366 2 дня назад
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
@LuccyMsanga
@LuccyMsanga 6 дней назад
Wanaume shikamo 🙏🙏
@johnmtweve2151
@johnmtweve2151 2 дня назад
Hiyo shemu dl😢
@felistersanga6318
@felistersanga6318 5 дней назад
Mungu wangu vimiguu sasa ya kimin jaman y😅😂😂
@DorcasLoy
@DorcasLoy 4 дня назад
Wewe unakuwa na mambo ya ajabu wewe focus n content 😮😮😮😮 yako ipoje
@witnessroby1223
@witnessroby1223 6 дней назад
Bi haishaaaaaa😂😂😂😂😂
@witnessroby1223
@witnessroby1223 6 дней назад
Tumemuona Og😅
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 5 дней назад
Shem darling Tena makubwa jina gani Ilo jamani,mazoea mabaya
@nice7706
@nice7706 5 дней назад
Sema rafiki yake hana makosa jamani
@josephshayo5493
@josephshayo5493 3 дня назад
Mi naangalia tu G Wagon namba AFL. 😢
@user-ji1bc5ti8r
@user-ji1bc5ti8r 4 дня назад
Neno leteni hela zangu limeondoa uaminifu kabisaaaaa
@hassanhancha1413
@hassanhancha1413 2 дня назад
Mnatengeneza hizi,hamna ukweli hapo mnaharibu hizi contenct bhn
@elenlazaro3192
@elenlazaro3192 5 дней назад
😂😂😂😂😂😂khaaaaaa
@HabibaAyubu-rt7eg
@HabibaAyubu-rt7eg 6 дней назад
Kumbe na mkosea mpenz wang kumbe kila mwanaume anaitwa baby😢
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 6 дней назад
SEMA SHEM MZUR N NGUM KIMKAZIA JAMAN DAH WENGI TUNGESHINDWA 😂😂😂😂
@ZainaHalifa
@ZainaHalifa 3 дня назад
Yani angekuwa ni Mpenzi wangu Sasa hivi ningemuacha zamani au ningemfata ningempiga kisuhuyu
@binueltinda5366
@binueltinda5366 2 дня назад
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
@binueltinda5366
@binueltinda5366 2 дня назад
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa