Тёмный

Mr Beneficial kwenye stage. Final Edition| CHEKA TU. 

Cheka tu
Подписаться 473 тыс.
Просмотров 1,6 млн
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 546   
@nanagreco814
@nanagreco814 4 года назад
Huyu mtoto anautumishi ndani yake,,, mweny macho ya rohoni anaelewa ninachoongea,,,, ipo siku atakuja kuwa mtumishi mkubwa,,, Mungu akutunze BRIAN
@levocatuspjohn8638
@levocatuspjohn8638 Год назад
Hata mimi nimeona
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt Год назад
Anaitwa brian
@cathbertsakaya5977
@cathbertsakaya5977 5 лет назад
malaika wanaazimana external 😂😂😂😂😂.... ...nakukubali sana unavyomtanguliza mungu.. ....@Free Tunaishi
@sophylaurian8186
@sophylaurian8186 5 лет назад
Watu hucheka sana lakinia mwenzenu hapo kasha hubiria mtu kuhusu habari njema ya Yesu hapo nimtu kujiongeza
@smavilifestyle2471
@smavilifestyle2471 5 лет назад
Umewaza kama mimi...yan huyu ni mtumishi wa Mungu kabisa
@unknownsshayo1527
@unknownsshayo1527 5 лет назад
dhuuu!!! ni kweli
@tomasikisase7478
@tomasikisase7478 5 лет назад
@@unknownsshayo1527 kabisaa
@ayubukalamba5573
@ayubukalamba5573 5 лет назад
Beni uko vizuri sana
@beatriceandrew8623
@beatriceandrew8623 5 лет назад
Kabsa
@bilioneatilionea7727
@bilioneatilionea7727 5 лет назад
Mimi nimvivu kucoment nimekukubali big up much
@imanilaurent9270
@imanilaurent9270 5 лет назад
kwel
@felislitajonathan4189
@felislitajonathan4189 4 года назад
Sana
@abdallahwatende6676
@abdallahwatende6676 3 года назад
Nakubal mkali wao
@elibarikielikana1824
@elibarikielikana1824 4 года назад
Umehubir mr beneficial kweli Mungu akubariki
@doreenswai7805
@doreenswai7805 4 года назад
Kama unamkubali huyu jamaa anavyo bonga piga like apa
@jumagubert5552
@jumagubert5552 3 года назад
Big up
@deogratiaselias3294
@deogratiaselias3294 4 года назад
Jamaaa unampenda mungu thankyuu so much ndio maana unafanikiwa
@mariyaal5366
@mariyaal5366 5 лет назад
Nimekupenda unavomtanguliza Mungu kwanza utafika mbali jitaidi
@eliarichard9218
@eliarichard9218 5 лет назад
Ben wewe Nouma sana yani mungu kwanza ubarikiwe sana
@graychuma2708
@graychuma2708 5 лет назад
Wana mambo ya kiwaki 😂😂😂😂😂😂😂😂kifo cha kokorochi god bless you bro stay here
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 5 лет назад
Uwiiiii saf sana asee niliisubiri sana hii yafunga mwaka mpo vizur broo nakubaliii
@nickrocker_tz5282
@nickrocker_tz5282 5 лет назад
ma like ya malaika wanoazimana external kwa hapa fasi
@gabrieldaniel5328
@gabrieldaniel5328 5 лет назад
kaz nzur mjomba ila...elew kuwa kit kinamuda wake....mafanikio unayoyapat Leo fany kama haitotokea tena.....nadhan utafanyia jambo la maana.....napenda kazi yako ...pia napenda ufanikiwe kupitia kaz ako kama wengne walivofanikiwa...
@neemamsabaha1112
@neemamsabaha1112 5 лет назад
💝💝 nikikupataa milele nitafrahii nmependa instrumental 😍😘
@issaganjo3979
@issaganjo3979 5 лет назад
SIMBA V TP
@fatumashabanfatumawawapimy1157
@fatumashabanfatumawawapimy1157 4 года назад
Hallow et wanaazmana extenal
@mrjohn4446
@mrjohn4446 5 лет назад
These is using comedy to preach word of God, very good
@gmkatoliki5598
@gmkatoliki5598 3 года назад
Hongera Sana
@gladynaasi2390
@gladynaasi2390 5 лет назад
Eti tunawachosha malaika hahhahaha.... Bryan we kiboko ya Cheka tu😂😂😂
@wiliammarry1995
@wiliammarry1995 5 лет назад
Vp
@raymondulimbagha7580
@raymondulimbagha7580 5 лет назад
Haaaahh
@eliyadiga3482
@eliyadiga3482 3 года назад
Mop
@anoldnelson6109
@anoldnelson6109 5 лет назад
Chuga noma sana kama una wakubali kongo like apa
@elibarikielikana1824
@elibarikielikana1824 4 года назад
Ufunuo huo hakika blessed umeifanya kazi yako kwa sanaa ujumbe umefikaaa
@merryeduward3028
@merryeduward3028 5 лет назад
Aiseee wew kaka umetisha mkono wabwana ni mkuu sana aisee umenichekesha ww
@maryangela107
@maryangela107 5 лет назад
aise kaka napenda unavyomtangulizaga mungu jamani ubarikiwe Sana beni
@gabrielgidasangahalamga6875
@gabrielgidasangahalamga6875 5 лет назад
nice
@tuwalasway1117
@tuwalasway1117 5 лет назад
Nakukubal
@esterjohn8333
@esterjohn8333 5 лет назад
Mambo vp
@obamawabongo1147
@obamawabongo1147 5 лет назад
@@tuwalasway1117 pambanayaelayote
@urokipatson543
@urokipatson543 4 года назад
kwema
@afandebrighttz2887
@afandebrighttz2887 5 лет назад
yaaani narudia kila siku ,,,,Mr Beneficial plz mbavu zangu
@vailethmtemekele1347
@vailethmtemekele1347 4 года назад
Duuuh,uko vzr kaka,unshubiri injiri kwa njia tofauti Sanaa,kiukweli nimekuelewa,Mungu akubariki
@mariammwanzalila8400
@mariammwanzalila8400 4 года назад
Nilikuwa nimelala bila kusali duuh nimeamka kusali 😭
@memurutisayanga8308
@memurutisayanga8308 5 лет назад
Nammi nimeuona mkono wa Bwana,,,,,, uko juuuuu xana brooo
@CizaChadrack
@CizaChadrack 24 дня назад
Mungu akulinde kaka we nimtumishi wamungu
@kilazajr3720
@kilazajr3720 5 лет назад
halafu huyu mshikaji anafanana gnako.
@saidjagger.5543
@saidjagger.5543 4 года назад
Sana
@jonathanigwila1293
@jonathanigwila1293 4 года назад
Sana
@linustarimo8170
@linustarimo8170 3 года назад
Saana
@rastylerepublik
@rastylerepublik 4 года назад
Wenye dhambi ndogo ndogo watakua wakiota Moto😂😂👊👊🇰🇪
@stellahyohanna6038
@stellahyohanna6038 3 года назад
Ubarikiwe charrrry kutukumbusha god 😍 bless
@neemarichard3474
@neemarichard3474 5 лет назад
Wakurya wenzang naomba like hapa
@emmapalanjo2316
@emmapalanjo2316 5 лет назад
Like ya nini sasa mm sijaelewa
@nyamingoxamwita2812
@nyamingoxamwita2812 5 лет назад
Neema richard Among'ana
@denisimarwa1910
@denisimarwa1910 5 лет назад
Eeeeeeeeeee tupo
@philipomartin1407
@philipomartin1407 5 лет назад
Neema richard Hahahahaha
@tonymlatino4810
@tonymlatino4810 5 лет назад
Baby hadi hukuuuuuuu
@esterjema2484
@esterjema2484 4 года назад
Daah uko vizuri, kizuri Zaid unamtanguliza Mungu
@thabitgibson1657
@thabitgibson1657 3 года назад
Yupo vizuli
@ericstephenm.844
@ericstephenm.844 5 лет назад
Good job cheka tu. You are the Churchill of Tz. Your shows are 🔥🔥🔥. Pia it's very good mmefanyia kazi video colour!!!👏👏👏 Keep going!!!
@RemmyLyimo
@RemmyLyimo Год назад
Ni yechu yechu dingiii haikatox💯
@nahyambiduka8580
@nahyambiduka8580 2 года назад
2022 September still his king of stand up comedy....
@damianmosoka8254
@damianmosoka8254 5 лет назад
Dah sema mmechelewa kuipost
@elizabethbuhatwa987
@elizabethbuhatwa987 3 года назад
Safi Sana head boy wetu duuh nimefurahi themi moja
@AlexMakanta-zn3zc
@AlexMakanta-zn3zc 4 месяца назад
Jamani huyu jamaa alipotelea wapi? Naangalia Leo tarehe 18/06/2024
@benjaminiwilliam2648
@benjaminiwilliam2648 5 лет назад
Mr Benefial upo vizur komaaaaa kuendelezea kipaji
@kelvinnassary6165
@kelvinnassary6165 2 года назад
2022 on February am still interested in this comedy
@estermpare4078
@estermpare4078 10 месяцев назад
24 .11.2023 bado nakufwatiliaa chaliiii yangu😅😅
@HoseaObeid-wo7kg
@HoseaObeid-wo7kg 5 месяцев назад
Mungu akupe longlife
@firemanoriginal6758
@firemanoriginal6758 3 года назад
tunaoangalia mwaka 2021 like apa
@neemaneema5215
@neemaneema5215 5 лет назад
Gabu gabu ganu jamani uwiiii
@damianmosoka8254
@damianmosoka8254 5 лет назад
Keep it up Mr beneficial
@Iamraychris
@Iamraychris 5 лет назад
Mavazi yake yameninasa sana bro wewe chizi wakueneya kama mkali amunautofauti wowote kwau chizi
@chibaleh.vicent4705
@chibaleh.vicent4705 5 лет назад
May God Bless You Brother
@bellamygong
@bellamygong 5 лет назад
Nataka kulijua jina la hii nyimbo aloingia nayo TAFADHALI 🤗🤗🤗🤗
@lebecajuma1707
@lebecajuma1707 5 лет назад
Bellamy Gong Unaitwa mkono wa Bwana
@johnsiapetro3885
@johnsiapetro3885 5 лет назад
MKONO WA BWANA
@lebecajuma1707
@lebecajuma1707 5 лет назад
Johnsia Petro ndio
@lovebaby9305
@lovebaby9305 5 лет назад
Mkono wa bwana
@briannyiti208
@briannyiti208 5 лет назад
Inaitwa Mkono wa bwana zabron singers kahama
@dazmeddvevo2375
@dazmeddvevo2375 5 лет назад
Sisi hao chalii ya chuganian fas ya hapo Kat😂😂😂😁😁😁😂😂Hamna kaz hapo 😁😁😂😂😂😂hutaki au 😯😯😯😯😯😯😯😯😯😯😯😯😈😈😈😈😈😈😡😡😡😡😡😡😡😡😡
@simonleskar5018
@simonleskar5018 5 лет назад
yechu sana ben umetisha sanaa
@migostv2151
@migostv2151 5 лет назад
Daz Medd Nandy
@afandebrighttz2887
@afandebrighttz2887 5 лет назад
Migos TV hahaaa
@samwelyizrael7122
@samwelyizrael7122 5 лет назад
@@afandebrighttz2887aikatox baba
@chitumwaipopo4089
@chitumwaipopo4089 5 лет назад
OK
@jeydanjapheth7701
@jeydanjapheth7701 5 лет назад
God ana fight tutoboe heaven #hahahaaaaaa
@samwelimadaraka4358
@samwelimadaraka4358 5 лет назад
Chuga moja kama unamuelewa gonga like
@elibarickbarnabas955
@elibarickbarnabas955 5 лет назад
We chuga noma sana
@shitakacheko7839
@shitakacheko7839 4 года назад
@@elibarickbarnabas955 ni mtu mmoja hivi hatari sana kwenye kazi yake chuga oyyeeeeee
@mossesmayunga3608
@mossesmayunga3608 4 года назад
Chuga hatari sanaaaa
@judithsobore3778
@judithsobore3778 3 года назад
Uko poa sana brother bigup
@tripple5
@tripple5 5 лет назад
wale tutakaosema turudishie apoo nyumaaa tupooo umuuu 😂😂😂😂😂😂
@gisanisaizack7651
@gisanisaizack7651 5 лет назад
Hahahahahaaa
@dakwajuuonline8200
@dakwajuuonline8200 4 года назад
Vp
@jonathanigwila1293
@jonathanigwila1293 4 года назад
@@dakwajuuonline8200 safi
@johnrogath1066
@johnrogath1066 5 лет назад
hahahaha malaika wanaazimana external
@lizzynkifu4179
@lizzynkifu4179 4 года назад
Mungu akubarik umewakumbusha watu Dunian tunasafr tu
@maromjay6184
@maromjay6184 5 лет назад
uko vizuri brother beneficial
@katebrown4209
@katebrown4209 5 лет назад
Unazid kukua chalii ya r soon unaenda to the world
@mikaelmashimba4374
@mikaelmashimba4374 4 года назад
Mr Ben punguza kidogo uko vizur ila kwa kutumia maandiko na kuzungumzia habar za Mungu katika vichekesho nikushauri uache najua unaelewa nini namaanisha mengine sio lazima niandike hapa
@ngometvarusha4030
@ngometvarusha4030 5 лет назад
Mbeba camera lazima ujue kuchezesha camera kuchukua audience na mshereheshaji sasa nusu saa unamwangalia tu mtu mmoja
@chiloclassic7004
@chiloclassic7004 5 лет назад
Joel Joel kesoy anazingua huyo camera man
@pendocharles8786
@pendocharles8786 5 лет назад
kaabisaa
@sammanjeka7357
@sammanjeka7357 5 лет назад
Umeongea ukwel mkal
@earlybird5647
@earlybird5647 4 года назад
Kaifanye wewe hio kazi alafu atajua
@tegemeareuben7618
@tegemeareuben7618 3 года назад
Haki this man is preaching
@henrykimaro6591
@henrykimaro6591 5 лет назад
Daaah unatisha sana mkaliwadee🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
@philemonsamwel7761
@philemonsamwel7761 2 года назад
Alikuwa Ana roho mbaya NYOKA, enzi za uhai wake nyuma NYOKA by Chindo Man 😂😂😂😂
@eliaburuhaza4735
@eliaburuhaza4735 5 лет назад
Mungu kwanza,, nakubali sana broo
@paulomichael3087
@paulomichael3087 5 лет назад
Oy nimecheka laana eti adi malaika wanaazimana external 😂😂😂😂😂😂😂
@omarykasuku9508
@omarykasuku9508 3 года назад
Pw
@daudfyedrack6144
@daudfyedrack6144 5 лет назад
Mungu akubaliki
@hellaindavid8405
@hellaindavid8405 5 лет назад
Ahahahaha nakukubali sana dingiiiii
@agonza1949
@agonza1949 5 лет назад
Jmn jmn waooooooooooh i reaaaal lov your wooooork beneficial
@romwaldjumanne2066
@romwaldjumanne2066 5 лет назад
Sanaaaaaaaaaa Nakubal haikatai kabisa
@mariammwanzalila8400
@mariammwanzalila8400 4 года назад
Nakukubali sana bro nipo uarabuni
@maswinyabichemo7760
@maswinyabichemo7760 5 лет назад
Mura dhambi ni dhambi mura embu ingia huku😂😂😂😂😂😂
@mkaapwekekariakoo6417
@mkaapwekekariakoo6417 2 года назад
kila mtu amezaliwa na malaika wake... SI NINAWAULIZA!!! genius hadi leo
@sweetestgospelmelodies5723
@sweetestgospelmelodies5723 5 лет назад
KAMA umesikia malaika wanaazimaana ma external ni masikio yako😂😂😂
@frankjuma1689
@frankjuma1689 2 года назад
Kwa kweli nimecheka kwa saut walah
@geofreywayesu5638
@geofreywayesu5638 2 года назад
Gonga like
@ummulkheirzubeir6320
@ummulkheirzubeir6320 5 лет назад
Perfect sana
@stivinnyigu683
@stivinnyigu683 3 года назад
Upo vizuri sana wavunje mbavu
@devothaemmanuel1145
@devothaemmanuel1145 5 лет назад
anaeneza neno la bwana kwa njia yake 👏👏👏
@fransiscajohn1965
@fransiscajohn1965 5 лет назад
Noma sana
@fransiscajohn1965
@fransiscajohn1965 5 лет назад
Noma sana
@reginakennedy3498
@reginakennedy3498 5 лет назад
Jaman huyu chunga nakupenda sana. Unajua kunifurahisha
@gloryfrank5706
@gloryfrank5706 4 года назад
This is my role model
@chanukai1234
@chanukai1234 Год назад
Namkubali sana
@godisgood8700
@godisgood8700 5 лет назад
Wasukuma wenzagu naomba like zenu jamani
@tabumboje7416
@tabumboje7416 4 года назад
Chukua
@jozzsimbatv1199
@jozzsimbatv1199 4 года назад
Michembe ginehe
@flova7022
@flova7022 3 года назад
Hahahahaha eti nliibiwa simu.. hhhhaha huyu jAmaaa dahh
@mwajumasaid4262
@mwajumasaid4262 5 лет назад
😂😂😂umetisha
@marysixmund5713
@marysixmund5713 5 лет назад
wale tutakao kuwa tunaota moto tujuane tuyajenge tutaenda na mahindi yet ya kuchoma au tutayakuta mbele hahahaha
@sundaykateti4275
@sundaykateti4275 5 лет назад
Mary Sixmund 🤣🤣
@evacharles9264
@evacharles9264 5 лет назад
Mary Sixmund hahahahha
@samweljackson8308
@samweljackson8308 5 лет назад
hahahahaha
@jacksonline2831
@jacksonline2831 4 года назад
Hivi hii cheka tu uko wap nihudhurie hata siku moja jaman..
@dwhitetz4213
@dwhitetz4213 5 лет назад
angalia shalo alivyo fanya usiku kuamkia leo
@lomayanmigaro2779
@lomayanmigaro2779 5 лет назад
Chali wa R good
@rehemammbando5791
@rehemammbando5791 5 лет назад
Hongera sana mwanangu kipaji ni kwafamilia yenu wote nawaelewaga sana hongera mno
@syliviansteven5570
@syliviansteven5570 5 лет назад
Nice
@stanslauspeter314
@stanslauspeter314 5 лет назад
Eti walele wenyedhambi ndogondgo watakuwa wanaota moto
@brunombulanya1189
@brunombulanya1189 4 года назад
Ni noma xana
@magesanka1708
@magesanka1708 4 года назад
Ur real amazing be blessed
@eliyadiga3482
@eliyadiga3482 3 года назад
Mamaaa
@pastor_emanuel_mmbaga
@pastor_emanuel_mmbaga 4 года назад
Jamaa anajuaa
@ElysherJoh-zr6pt
@ElysherJoh-zr6pt 3 месяца назад
2024 am here
@jacksonalbin4465
@jacksonalbin4465 5 лет назад
nakukubali sana chalii yachuga kama unamkubali gonga lick yakutosha
@sirmwita3351
@sirmwita3351 5 лет назад
Hii ni show yangu, nafurahi sana uwepo. Marekebisho ni madogo tu, kwanza muwe mnawaisha kuipost, pili mfanye promotion za kutosha, mfike na mikoani, then camera man ajitahidi kuonesha na audience. But keep it up
@geraldpeter9370
@geraldpeter9370 4 года назад
Another 1 h
@deavistz5162
@deavistz5162 5 лет назад
Ni huyu Mimi sasa. Wahaya wenzangu gonga like twende sawa
@fidelspamba9353
@fidelspamba9353 5 лет назад
Mungu ambaliki beneficial
@malaikamalaika8233
@malaikamalaika8233 5 лет назад
nakukubali sana Arachuga lini
@ombenikisunga5059
@ombenikisunga5059 5 лет назад
Hakika umefikisha ujumbe barikiwa saaana
@pendocharles1566
@pendocharles1566 2 года назад
Anyone in 2022😊😊✌️
@lovelymonner7804
@lovelymonner7804 5 лет назад
nmependa ulivyoondoka chali
@justinmganiwa2790
@justinmganiwa2790 Год назад
2023 here
@joannafula9496
@joannafula9496 3 года назад
Uko Sawa. Bro
@rosefredy1224
@rosefredy1224 3 года назад
Noma sana ben
@barakamshangamshanga6425
@barakamshangamshanga6425 3 года назад
Shoooo nikwambie kitu😂😂😂🙌🙌🙌
@ramadhaniomari7214
@ramadhaniomari7214 2 года назад
Atareeeee na nusu.
@mctidohondoa1652
@mctidohondoa1652 5 лет назад
Hatareeee
Далее
CHEKA TU. Tribes Edition. Mr Beneficial kwenye stage.
9:37
MAUMIVU [5]
21:36
Просмотров 1,9 тыс.
MC Madevu: KIINGEREZA/KIZARAMO
7:46
Просмотров 454 тыс.
CHEKA TU. Kings Edition. Mr Beneficial kwenye stage.
11:54
Mr Beneficial kwenye stage| African Edition| CHEKA TU
13:03