Тёмный

MR. BLUE AFUNGUKA ALIVYOMKIMBIA DIAMOND "NILIMZIMIA HADI SIMU, KANIPA ZAWADI NYINGI KUTOKA MAREKANI" 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 237 тыс.
50% 1

MR. BLUE AFUNGUKA ALIVYOMKIMBIA DIAMOND "NILIMZIMIA HADI SIMU, KANIPA ZAWADI NYINGI KUTOKA MAREKANI"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 116   
@hassankhamis7380
@hassankhamis7380 8 месяцев назад
Yani Mondi tuta mdisi ila mwamba ana moyo safi sana na ndio maana hawezekani akiamua anakua kenge wa blue ni blue akiamua kua kenge wa njano ni njano kwa hio tz huyu hana mpinzani
@KOBABoy-xt6ug
@KOBABoy-xt6ug 8 месяцев назад
Noma saana❤
@abelhilonga1095
@abelhilonga1095 8 месяцев назад
Huyu mondi anafanya kazi kweli
@ecadiesel2155
@ecadiesel2155 8 месяцев назад
𝑼𝒏𝒂𝒖𝒍𝒊𝒛𝒂 𝒔𝒘𝒂𝒍𝒊????
@GodwinFrancis-x8s
@GodwinFrancis-x8s 8 месяцев назад
Hakika ni wivu tu
@SADICKITHOMAS
@SADICKITHOMAS 7 месяцев назад
Wivu tz ndio viwanda,,wapo tayari kusapoti lugha ya kinaijeria wasioilewa,,wakati wana wanawakilisha kiswahili safi
@ashrafadam4629
@ashrafadam4629 7 месяцев назад
Video ya alikiba masaa t unashoot , mond unyama sana
@ashaali2853
@ashaali2853 7 месяцев назад
Diamond ana roho safi sana mungu amzidishie
@Mezd-g8g
@Mezd-g8g 7 месяцев назад
Hii song inahisia za kweli mzee wa blue blue kauwa kwenye verse 💙
@bonfilsmassi4686
@bonfilsmassi4686 7 месяцев назад
Diamond ni mpambanaji. kazi haitaki uvivu👏👍👌🤝💪💪
@GozbertJames-j6g
@GozbertJames-j6g 8 месяцев назад
Nipe❤❤❤❤
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 8 месяцев назад
Mr Bluu ❤
@JohnnyFumbo-ml3bx
@JohnnyFumbo-ml3bx 8 месяцев назад
Bongs moja la Ngoma
@Mlasidunia
@Mlasidunia 8 месяцев назад
Simba lamasimba dangote ❣️
@HashirJuma-r2o
@HashirJuma-r2o 8 месяцев назад
simba mungu akubark sana msanii pekee anzania nobar moja kila.pande tz
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 8 месяцев назад
Haujui ❤❤
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 8 месяцев назад
Blue 💙
@JumaWaziri-z3v
@JumaWaziri-z3v 8 месяцев назад
Ongera sana mondo big up kwako kaka
@julienbirere8310
@julienbirere8310 8 месяцев назад
Nice ❤
@officialAlAbdul
@officialAlAbdul 8 месяцев назад
Kuna watu wako serious na kaz zao
@JemimaNyange-si8cr
@JemimaNyange-si8cr 7 месяцев назад
Kabisa
@StarMerinyo
@StarMerinyo 7 месяцев назад
Mr blue nae yuko vizuri
@othmanmusilm
@othmanmusilm 8 месяцев назад
Byser ❤❤❤
@yvesyveldinhomzee.5682
@yvesyveldinhomzee.5682 7 месяцев назад
Mr blue ❤
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 8 месяцев назад
Yn simba ww ni hazina ya Tz❤❤❤🎉🎉🎉
@HozaYusufu
@HozaYusufu 7 месяцев назад
🎉woosh blue
@highcancara1993
@highcancara1993 8 месяцев назад
Siyo lazima watu wote wampende mond,kiba wala harmonize kila mtu na chaka lake
@JemimaNyange-si8cr
@JemimaNyange-si8cr 7 месяцев назад
Kabisa
@vanessajames2192
@vanessajames2192 7 месяцев назад
Mr blue noma sana
@ZainabuIsmail-fm2ey
@ZainabuIsmail-fm2ey 8 месяцев назад
Binadam wana shida yani wanatamani watu wote wamnunie mond kitu ambacho akiwezekani wasanii wenyewe wamejitafakali wameona upuuzi mashabiki mnasababisha wanamziki wasipendane kwa maslai yenu wameshajielewa atabakia yule alieapa kwa mungu kwamba ataongea na mond akijua mond atkia mdogo molele alivyobaniwa midia walifulahia awkujua mungu anamuandalia nn mtu wake kwa vile alikua mjnja katumis mitandao kajuliksna bila tivii atimae kaleta mifia yakwake tunawapongeza wale wote walioamua kuumgsna na mond wanajieleea wengine waliongea maneno mazito wanaona aibu ila wanatsmaniawna jinsi awmeamua kujiweka kwa konde wantamani usafin daimond mungu kakunyima roho mbaya ndio mana unafsnikiwa ongera wcb mboso zuchi lavalava v voic na wale watakao kuja hii ni yetu soteongera mama mond mungu akujazie afya uzidi kumuona manao anapepea asnte wanafamilia ya wasafi atuyumbishwi ngvu moja ongera wafanyakazi nawatangzaji wote wa wasafi usafini raha kumshabikia mtu snaejielewa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 8 месяцев назад
Umeongea vyema sana Masha biki wa TANZANIA ni tatizo sana, wanashindwa kuangalia jamaa alivyowainua wenzake wanampiga majungu. Kuna shida kwny vichwa vya watu
@IdarousPossy
@IdarousPossy 7 месяцев назад
Usilolijua nisawa na Usiku wa giza...unamjua diamond kwa nje,ila nyuma ya diamond huijui
@aymanbinyumen3747
@aymanbinyumen3747 7 месяцев назад
What a perfect re do
@tonyi6807
@tonyi6807 4 месяца назад
Masimba mawili yanaungurumisha East Africa....Blue anachana sio kidgo ila nadhn mondi alipaswa kuchana nahisi ipikwe season three
@jackisrael.I.B.E.X
@jackisrael.I.B.E.X 7 месяцев назад
Blu alitoa wapi jina Bysa jamani 😂nampendaga bure❤
@omarykimamure7656
@omarykimamure7656 8 месяцев назад
Babilon Bz
@mariamumechara3398
@mariamumechara3398 7 месяцев назад
Inatakiwa watizedi tupendane sana
@fpmissguyalbertor209
@fpmissguyalbertor209 7 месяцев назад
Blue ❤
@FECFAMILYWORLDWIDE
@FECFAMILYWORLDWIDE 8 месяцев назад
IDEA GANI AMA IO NGOMA NI YA MR BLUE 13YEARS AGO
@dicksonmichael5793
@dicksonmichael5793 8 месяцев назад
20 year mzee kwa kifupi ni remix
@mdachiog5211
@mdachiog5211 8 месяцев назад
Si ndiyo wanyooshe maelezo
@vincentmushi1247
@vincentmushi1247 8 месяцев назад
Ni Idea pia ya muendelezo na ubunifu na sio Remix Labda kama haujui maana ya remix Beats tofauti kabisa Arrangements, tone na mpangilio wa kuimba na blue alivyo flow...ila tuuu ni yale maneno ya Mapoz.... Ndio hivyo mashabiki tulivyo Kama haumkubali mtu hata upewe dhahabu.. lkn Simba ni mmoja tuuu...hapa kamrudisha mr.Blue Na blue amedhihirisha kuwa bado yupo sana....na J melody kaonyesha kuwa yy ni mtaalam wa hizi beats.. ngoma ni tamu kwa kweli...kama hamuamini subirini matikiti kudondoka au kudondokewa😂😂😂
@ETemba21
@ETemba21 5 месяцев назад
Daaahhh hiyo ni bonge la shoo
@ashrafadam4629
@ashrafadam4629 7 месяцев назад
Nakubal sana simbaaaaa
@rajibabalao001
@rajibabalao001 8 месяцев назад
Chibu😮😮 kama 😮😮chibu
@elisafikarigo5978
@elisafikarigo5978 7 месяцев назад
Byser ndo mrithi wa King Albert Mangwea..aka kaobama
@tigejuma9865
@tigejuma9865 8 месяцев назад
Blue n mkali xna toka zmn...yye ndio kafunika wote...michano ...alafu cwajua Ngoma aliishaiimbaga toka utotoni...xai ilikua anairudia ukubwani...vnye ilikua inafaa atie hio verse
@bigletterletter3113
@bigletterletter3113 8 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤
@mattjr4206
@mattjr4206 8 месяцев назад
Byser anaoneka mtu poa sana
@belitomanuel6240
@belitomanuel6240 8 месяцев назад
Blue
@emmanuelpius6387
@emmanuelpius6387 6 месяцев назад
Diamond acha tu afanikiwe mana kila msanii anamuongeleaga jinsi gani alivyo seriaz kweny kazi zake
@NicolousPeter
@NicolousPeter 7 месяцев назад
Nikwere la baba
@Tanafa-j9q
@Tanafa-j9q 8 месяцев назад
Mapoz#habar ya mjini
@GuezBoy
@GuezBoy 7 месяцев назад
🎉🎉Uyuni Ombi dagote
@darlenedada651
@darlenedada651 8 месяцев назад
❤❤❤❤🎉
@GodwinFrancis-x8s
@GodwinFrancis-x8s 8 месяцев назад
Simba ni noma
@vincentmvuyekure5920
@vincentmvuyekure5920 7 месяцев назад
🎉🎉napenda hii channel🎉😂😅
@shatepsofficial170
@shatepsofficial170 7 месяцев назад
🎉🎉🎉
@IlhamUlaya
@IlhamUlaya 7 месяцев назад
Sawa bhana
@Ashmondash-k7w
@Ashmondash-k7w 8 месяцев назад
Mi bana mikono juuu mwendo wa mateka juu ya goma ya mapoz yaan huku mtaan ni fire, made it ni nyimbo ama???
@vanessajames2192
@vanessajames2192 7 месяцев назад
Mtu anakesha alaf akifanikiwa anaitwa freemason mnaujua usingizi wa usiku ulivyo mtamu?
@msdmambosawa3125
@msdmambosawa3125 6 месяцев назад
Mrblue
@marcosgicher7818
@marcosgicher7818 7 месяцев назад
zawadi zote ni toka huku Uchina....hata akinunua New York, zipo kutengezwa huku napoishi Uchina
@ebengapierre8826
@ebengapierre8826 8 месяцев назад
Blou unajua
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 7 месяцев назад
Yani blue umerudi Tena kwenye music? Mmmm
@PatrickMwamba-p7w
@PatrickMwamba-p7w 8 месяцев назад
MAPOZ has stopped counting views on RU-vid ⚠️⚠️⚠️⚠️
@m-tatu1050
@m-tatu1050 7 месяцев назад
Tungekuwa na akina Mond 10 wasanii vijana ambao wangepita mikono yao wangefika mbali sana
@danyakala
@danyakala 8 месяцев назад
Mr blue hazeeki
@Adeen.1
@Adeen.1 8 месяцев назад
Jesus piece
@berryxmsanii
@berryxmsanii 7 месяцев назад
Akabysaa anapendeza Sana kwenye mwonekano vile vile majibu yake yamefika cheo kingine
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 8 месяцев назад
Huyu dada mwenziwe mchaga anaguna tu yeye hana maelezo
@wonderkid_tz
@wonderkid_tz 8 месяцев назад
Hahahahaha ila watu
@RamaNgari-b1d
@RamaNgari-b1d 8 месяцев назад
Buyser
@yasinikimaro264
@yasinikimaro264 7 месяцев назад
Kwan uyo dada anashika nn uko😂
@antibiotic7238
@antibiotic7238 7 месяцев назад
Diamond alishindikana ako na nyota zake
@rashididdi5140
@rashididdi5140 8 месяцев назад
kashakua chawaaaaaaaa huyooooo
@lumulyimage4826
@lumulyimage4826 7 месяцев назад
Daa! Mtu akihojiwa akaeleza vile anafeel chawaaa😂😂 hii nchi ngumu sana
@masoudjuma8974
@masoudjuma8974 8 месяцев назад
simba apewe nauwa kwaupendo
@shanatatrigger6537
@shanatatrigger6537 8 месяцев назад
Bayser
@saidissa4741
@saidissa4741 8 месяцев назад
Simbaaaaaaaaaaaaaa
@microfirekst3084
@microfirekst3084 8 месяцев назад
Hakuna kitu hapo😅
@minabuelysee8
@minabuelysee8 8 месяцев назад
Wivu😂😂😂😂
@microfirekst3084
@microfirekst3084 8 месяцев назад
@@minabuelysee8 wivu mi sina hila sina imani🤣🤣🤣🤣🫂
@Tanafa-j9q
@Tanafa-j9q 8 месяцев назад
Masikini wee tafta hela
@microfirekst3084
@microfirekst3084 8 месяцев назад
@@Tanafa-j9q mashabiki wa Mondi bana, ukiwazidi akili wanakuambia tafuta Hela 🤣🤣🤣🫂
@PaulNdauka
@PaulNdauka 7 месяцев назад
Roho mbaya.....tunajua hukuzaliwa hivyo.....Umaskini tu unaokusumbua!!!
@PiusSaid
@PiusSaid 7 месяцев назад
Anae jua Maana ya Kokoto Msaada jamani😂😂
@DeBoy-oy2jg
@DeBoy-oy2jg 7 месяцев назад
Mwanaume unajiramba rambà midomo alafu unalegeza viungo kama HANITHI
@KalenjeMasoud-vg3om
@KalenjeMasoud-vg3om 8 месяцев назад
Kwan aliyah kaenda wap kwenye hiki kpind
@hyramkusenha
@hyramkusenha 8 месяцев назад
Babylonia bz mikazo mwanzo mwinga
@Paris_Dept.
@Paris_Dept. 8 месяцев назад
6:00 😅😅😅😅😅😅
@jee9473
@jee9473 7 месяцев назад
Kokoto ndio nini 😂
@thomasaugust225
@thomasaugust225 6 месяцев назад
matingas😅😅😂 blue uwaga anapenda Sana pombe kwsas😅😅ila jamaa nimkal kinyama
@carloskallomo7953
@carloskallomo7953 7 месяцев назад
Ana roho yake huyo jamaa
@ConnectDaily
@ConnectDaily 8 месяцев назад
SET SIYO NZURI HATA KIDIGO
@falialawelole565
@falialawelole565 4 месяца назад
❤❤❤❤❤😂💐💐💐
@KhalfanSalim-v1x
@KhalfanSalim-v1x 7 месяцев назад
tatizo blue umekua kama umechotwa akili mond kawashinda akili mwenzenu anafanya biashara nyie kazi yenu kumsifia ujiulizi zamani mbona alikua afanyi colabo na wasani kutoka tz sasa anafanya na wasani kama wote sasa hivi tz sababu kaona Hana dili tena kaona arudishe game home fasta kuwashika maskio mashabiki
@EzraCpeace
@EzraCpeace 7 месяцев назад
Mondi music
@CassianMorris-gl2qe
@CassianMorris-gl2qe 7 месяцев назад
Uwakika
@ماجكموزجوني
@ماجكموزجوني 8 месяцев назад
Did anyone knew this chap before his collab with Diamond? I bet his own family knew him. When someone tap on your shoulder, show some respect. Same clothes from the vids and you talk trash. I don't understand anyway
@RsPhotography-c1x
@RsPhotography-c1x 8 месяцев назад
Unaliachaje kokoto wewe😂
@NicolousPeter
@NicolousPeter 7 месяцев назад
Bongo langoma iyopipi yakijiti nicheche mzebana
@neemammbaga227
@neemammbaga227 8 месяцев назад
Kokoto ni familia😂😂
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 8 месяцев назад
Kokoto ni nn?
@RamadhaniRajabu-yp7qs
@RamadhaniRajabu-yp7qs 8 месяцев назад
Huwezi liacha kokoto lonely...😁😁.
@msafirifabian2143
@msafirifabian2143 8 месяцев назад
Kokoto ni nini hivi asee kaniacha hapo na mm asee 😂😂😂
@MRPREDICTION21
@MRPREDICTION21 8 месяцев назад
I THINK BANGI??@@msafirifabian2143
@GodwinFrancis-x8s
@GodwinFrancis-x8s 8 месяцев назад
Mondi mkali nyie wivu tu
@mjungatv8172
@mjungatv8172 7 месяцев назад
Kokoto lile familia😁😅😅😅
@britiusrugemela7318
@britiusrugemela7318 6 месяцев назад
Kokoto ndo nn
Далее
Вопрос Ребром - Серго
43:16
Просмотров 1,8 млн
WASANII HAWA NI NDUGU WA DAMU KABISA UMESHAWAHI KUJUA??
10:15
Вопрос Ребром - Серго
43:16
Просмотров 1,8 млн