Huko huko ulipo Semaji la Caf tunakupenda saana huku Tanzania. Unajua kuongea vzr, na kitu kikubwaaaaa ulichokuwa nacho ni Appreciation Mungu anapenda Mtu wa kushukuru
Nilikuchukia siku ya kwanza ulivyoiponda Yanga lakini nikaanza kukupenda siku zilivyokwenda sisi Watanzania ni watu Wema sana tunakupenda uje tena Tanzania tutakupokea tumekuelewa❤
WATU WA BURUNDI semaji kashasema sisi n ndugu kwa hiyo nipo tayari kumpokea MTU WA BURUNDI Tanzania na kumsaidia kama kaja kutalii au kufanya kazi bora tu afuate sheria za nchi zote mbili KARIBUNI TANZANIA
Ujitahid kutoa interviews nyingi nyingi kwa Lugha ya kiswahili kila mara, utakuja kunikumbuka kaka, wengi tutazid kukufuatiria na utarud mjin niamini mimi. Yote kwa Hongera Bucuti.