Hivi nawe msimulizi wa habari hiyo hutumia njia hizo? Acheni mipango ya Mungu itimie.Acheni uzushi.Hizo ni fikra za kivivu wasojituma.Mungu amlaze marehemu mahala pema peponi.
Muache br opakanda zenu izo za tazania nauongee ukueli acha kiaribia huyo kjana sifa jamani ka mnataka mali zake mseme tu ,mmetukera sna sisi wakenya,na tumeudhika sana na nyinyi ukueli.
Tanzania mumetuchosha n Mambo mingi wacha kufuatilia maisha ya mtu wee bro tafuta mali zako sisi wakenya tumechoka n nyinyi wee bro usimnyanyase mke wa marco kwa mali ya bwanake fala sana
Watu gani,janeni .wacheni malemu akapumusike na amani.kila mutu hakifa Tanzania muko na maneno mingi sana .hawewe utakufa siku Yako hikifika Niko Nairobi country tumechoka na maneno yenyu..
Wew kujadili maisha yamwenzio nakuyafatilia yanakuhusu nini ??? Huo ni unafiki kwann hukusema ingali yu hai kama kweli wew ni mwanaume.. Mungu atakupa kinachokustahili...
Wewe Huwa sikuelewi, mwanzo nilikushobokea Ili kusikia ushuhuda wako, lakin nilipoanza kufatilia shuhuda zako, sukupata Cha kuisaidia kwenye maisha ya Kiroho
Ulitaka awe karibu na wewe isitoshe hata huyo mwanamke atakua hana akili nzuri kuelezea habari za marehemu mali hizo zako na chama chske kinakuhusu nn mbea wewe unamtaka mkewe nn
Siku zote ukipambana kwa nguvu zako na mungu asimama na wewe lakin mwanadam huwa hapendi mafanikio yako hivo watasema kila mtu atakavyojisikia juu ya mafanikio yako
😂WEWE NI NANI KATIKA HII DUNIA HADI UWE NA USUBUTU HUO ?MWACHENI MUNGU AFANYE KAZI YAKE .HUJAWI KUFIWA SIO.SASA SUBULI WAKUTOKE WAKARIBU YAKO😅NAWAKATI UMEPANDISWA CHEO SIKU 2 NYUMBA YOTE MUNGI ANAWEZA KUPA WE.
Ivi nyee watu hamuhogopi hata mungu kweli mulaniwe pamoja na kizazi chenu chote mumeona nisehemu yakupatia pesa wajinga tafuteni kazi zakufanya hacheni hayo mambo
Watanganyika mnafanya vitu vya upuuzi sana. Kwani nani hatakufa hapa duniani? Mtumishi wa Mungu mmwache apumzike kwa amani. Mtumishi wa Mungu amepumzika mnaanza vituko. Mimi simfahamu sana ila najua Zablon Singers ni watumishi wa Mungu. Sasa mnaanza maneno ya kiswahili. Kuishi na waswahili bwana ni hatari sana. Kwani kwenu hajawahi kuona watu wanakufa? Hata ninyi mtakufa! Lakini msianze stories za primitivity na za kudharirisha Zablon Singers na familia yake. Watoto wake wadogo wakianza shule na pia watanyanyaswa shuleni na mastories yenu. Kwa nini? Ningekuwa na undugu ningewapeleka mahakamani. Wewe mwaandushi muzushi mkubwa.