Тёмный

Msukuma awavaa mawaziri aikataa taarifa ya Kunambi" hii ni aibu, madudu mengi" 

Подписаться
Просмотров 119 тыс.
% 515

Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Msukuma akichangia maoni yake kwenye taarifa ya kamati kuhusu ripoti za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali, bungeni jijini Dodoma, Novemba 2, 2022

Опубликовано:

 

3 ноя 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 67   
@frankilunga1447
@frankilunga1447 Год назад
Mungu akupe maisha marefu ipo siku utaongoza Tanzania kwa uwezo wa Mungu kwa mbalii namuona mwendazake anafurai kumuona kijana wake anavyosema ukweli
@sifathyunusu871
@sifathyunusu871 Год назад
Msukuma sisi watanzania ndugu zako kaka zako TUNAKUPENDA kwa sababu ubunge unautendea haki sio kama wabunge wengine wanakaa bungeni bila kututetea lolote hii sio dili unafaa KTK nafasi hiyo mimi natoka KAGERA Muleba usiogope na usirudi nyuma unapokua unatenda haki ya kututetea Asante sana Mungu akubariki
@kabulukimati
@kabulukimati Год назад
Wabadilishe. Wote.unda.baraza.jipya
@madattarcharles1114
@madattarcharles1114 Год назад
Comrade unajua kweli kabisa,huwa nafatilia speeches zako yaani unaongelea Ukweli, nakupenda Sana Msukuma%%%%%%%......
@deusmtewele1599
@deusmtewele1599 Год назад
C A G mwizi anakagua wezi Msukuma hiyo nimeipenda
@IpyanaMwangonda
@IpyanaMwangonda 2 месяца назад
Mzee nakuelewa sana ila msaidieni ata ally mlagila mbuge wa kyela Yani atetei ata wilaya yake mungu akubaliki
@davidchungu6598
@davidchungu6598 Год назад
KWA SERIKALI HII YA AWAMU YA 6 NA KWA LICHAMA HILI LA CCM MAJIZI MATUPU MSITUPIGIE MAKELELE HAPO
@AbrahamSekuza
@AbrahamSekuza Год назад
Msukuma angalia sana CCM itakukolimba angalia sana wenye nchi yao toka awamu ya kwanza wanakuona
@fellisianholle9431
@fellisianholle9431 Год назад
Uko sawa sana mbuge msukuma kwa kulishauli bunge
@adam-saffi211
@adam-saffi211 Год назад
Musukuma hajui kitu, talk talk talk hajui hata katiba ya nchi!
@allymukhsin2962
@allymukhsin2962 6 месяцев назад
Bro kama haujui siasa nyamaza
@DaudiMwanyombole-tm6hm
@DaudiMwanyombole-tm6hm Год назад
Musukuma unayo yaongea nikweli kabisa wasomi wanatuangusha sana ukiangalia kazi zingine unakuta yamefanyika madudu tupu
@benjaminbatano698
@benjaminbatano698 Год назад
Mama yupo China anatafuta pesa hakuna shida ataziba mapengo ya pesa zilizoibiwa na mafisadi.
@majurandaro1408
@majurandaro1408 Год назад
wabunge wote wangekuwa kama msukuma bunge lingewa safi nawananchi wasinge kuwa na shida
@barnaba3037
@barnaba3037 Год назад
Dah kwahiyo watu wa cag wanawazunguka wabunge na wabunge wanawazunguka dah Mungu tuokoe
@kenosman4780
@kenosman4780 Год назад
Hongera sn bro we n Kat ya wazalendo wa Nchi hii.
@VumiliaMwakamisa
@VumiliaMwakamisa 10 месяцев назад
Huyu anaeitwa hasunga yupo bungeni kweli? Inamaana huku ,kwenyejimbo lake hakuna matatizo🙆???¿ Hiiiiii jaman
@heronimomsefya3190
@heronimomsefya3190 16 дней назад
Hahahaha huyu jamaa kunambi nakumbuka hata chuo LLB 2011 darasani alikua hivo 😢😢
@judithgeorge1756
@judithgeorge1756 Год назад
Tunakupenda msukuma MUNGU azidi kukutunza
@RehemaNchimbi-ji9jq
@RehemaNchimbi-ji9jq 2 месяца назад
Namkubali sana msukuma👍👍👍
@mdemualphonce1559
@mdemualphonce1559 Год назад
Tunaeishi mbagala msukuma umetukosea chaurembo mbunge huyo msukuma analala na ng'ombe mbona Yuko bungeni?
@stevumgaya6543
@stevumgaya6543 Год назад
Tanzania tunajuwa kusema lakini hatuchukui hatua
@user-ge6fi8dk2g
@user-ge6fi8dk2g Год назад
Upo vizuri sana Msukuma
@anosiata8242
@anosiata8242 Год назад
Kwa Tanzania tulipofika tunaka kiongozi kama magufuli. Magufuli alikuwa haangalia mtu. Usoni. Uwe kiongozi wa kigogo alikuwa anasumbuliwa. Tumechoka na wizi serikari
@user-fx3sk9kh1s
@user-fx3sk9kh1s 5 месяцев назад
Mama mpe uwaziri wa nishati mh msukuma
@deusmtewele1599
@deusmtewele1599 Год назад
Msukuma CAG aanzie ukaguzi bungeni humo ataona jinsi Covid 19 wanavyo kula hela zetu bila chama na nyinyi mmefumba macho
@mikesalii8568
@mikesalii8568 Месяц назад
Katiba mpya ndiyo itungwe
@paulmhelwa8403
@paulmhelwa8403 Год назад
Uko sasa mbele ya mawaziri
@naomijoram4622
@naomijoram4622 Год назад
Safi sana Boniphase kapongezwa harafu akapewa yake mazingira machafu hahahaha wewe kama Mheshimiwa onyesha mfano usafi Boniphase
@petermboje5839
@petermboje5839 Год назад
Ewe msukuma nakuamini hata msomi hawezi kukupinga uko sawa
@josephsengule3039
@josephsengule3039 Год назад
Uko vizuri
@salehehussein5560
@salehehussein5560 Год назад
Msukuma baba mwaka 2025 njo ugombee pangani Mana atuna mbunge wa kuisemea pangani tuna mbunge kapata bahat akapewa nafasi awe wazili wa maji lkini pangani bado tunashida ya mji
@fabianshibai3623
@fabianshibai3623 Год назад
Good akiri kubwa
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Год назад
msukuma kwa nn usiwe rais tu aaah
@jasonkalekezi1191
@jasonkalekezi1191 Год назад
Achieni madaraka amuwezi kuongoza nchi ao wanaokura hela za watanzania wametokana na sera zenu ccm na wabunge hamna haki ya kukemea ubadhilifu huu ikiwa wengi wenu mko bungeni Kwa wizi wa kura me binafsi naona munajikosha tu wote ni wezi mumetengeneza mifumo ya wizi wenyewe,na wanaoiba hela za watanzania ndo wale wale mnawatumiaga kuiba kura .ndani ya ccm akuna msafi wote hati zenu ni chafu mno.
@IpyanaMwangonda
@IpyanaMwangonda 2 месяца назад
🎉🎉❤❤
@mdachiog5211
@mdachiog5211 Год назад
Msukuma kichwa kweli hoteli ile inahitai eneo
@mussasadick770
@mussasadick770 Год назад
Kila mfanyakazi kwenye anakiwa kuwajibika Ili kutimiza malengo ya serikali
@akidahamad142
@akidahamad142 Год назад
Sasa munaelekea kwenye sera za chadema mutajenga nchi kila mtu ana cheyo et aah achen ujinga magavana ndyo kila kitu
@BarakaNestol-qw4bn
@BarakaNestol-qw4bn Год назад
Kazi endlee
@severinaseverinanyoni707
@severinaseverinanyoni707 Год назад
😂😂😂😂😂msukuma nakupenda
@KuruthumMichael-gh1vv
@KuruthumMichael-gh1vv Год назад
Kenya
@tekelosangala2278
@tekelosangala2278 Год назад
Sema bwana nimekuelewa
@mabugamussa2860
@mabugamussa2860 Год назад
Katiba mpya muhimu
@rajabumalupu4184
@rajabumalupu4184 Год назад
Safi king
@chrislwali5660
@chrislwali5660 Год назад
Yani hii Tz cjui kwa nn nimekuja huku Bola ningebk hukohko
@mnolamanyendi4956
@mnolamanyendi4956 Год назад
Ccm mnatakiwa muwe pembeni mmeshinda kutuongoza
@andrew29468
@andrew29468 Год назад
Msukuma una hoja nimependa,ile hotel ilijengwa bila akili nyingi hata eneo la parking lilipatikana bdae,ni kutokufikiria
@JumaMnana-bf6bf
@JumaMnana-bf6bf 10 месяцев назад
No
@NaaminiNgwatu
@NaaminiNgwatu Год назад
Unaongea ukweli baba lakini haupat sapot
@hamismabula9934
@hamismabula9934 Год назад
Tunaupiga mwingi jamani, sifa kila cku zinamiminwa! Mie nadhan tusilaumu! Tuendeleeni tu kusifia!
@jumanassoro1552
@jumanassoro1552 Год назад
Musukuma unaupiga mwingi
@SiwemaSelemani-iq9oh
@SiwemaSelemani-iq9oh Год назад
Mung akulide
@joachimgolola1086
@joachimgolola1086 Год назад
SEMA msukima
@shabirumsagati9369
@shabirumsagati9369 Год назад
Msukuma cyo tu mbunge ni mbunge pekee!!
@SaidSiria
@SaidSiria 4 месяца назад
😂😂😂😂
@adam-saffi211
@adam-saffi211 Год назад
Wote wezi nyie acheni kutudanganya nyinyi wajinga!
@deusmtewele1599
@deusmtewele1599 Год назад
Msukuma wasukume wajinga hao
@kongatulia6231
@kongatulia6231 Год назад
Wapinzani walikuwa wanasaidia ila sasa mmm
@janenzilano632
@janenzilano632 Год назад
Juuu
@richardnganya2311
@richardnganya2311 Год назад
sasa wote wa mama mmoja hakuna kudhuriana ! Hakuna jipya hapo !!
@mayaally2512
@mayaally2512 Год назад
Kwan wakiwepo wapinzani wanaongeza nn sasa ?
@jacksonsawe2301
@jacksonsawe2301 Год назад
Ukweli kuvunja Paradaiz Cinema Jengo alama ya mji mkongwe wenzetumajengo yanakuwa kumbukumbu sisi tunabomoa
@IpyanaMwangonda
@IpyanaMwangonda 2 месяца назад
🎉🎉❤❤
@IpyanaMwangonda
@IpyanaMwangonda 2 месяца назад
🎉🎉❤❤
Далее
Ouch.. 🤕
00:30
Просмотров 10 млн
Как пронести Конфеты В ТЮРЬМУ
19:16
Ouch.. 🤕
00:30
Просмотров 10 млн