Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Msukuma akichangia maoni yake kwenye taarifa ya kamati kuhusu ripoti za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali, bungeni jijini Dodoma, Novemba 2, 2022
Msukuma sisi watanzania ndugu zako kaka zako TUNAKUPENDA kwa sababu ubunge unautendea haki sio kama wabunge wengine wanakaa bungeni bila kututetea lolote hii sio dili unafaa KTK nafasi hiyo mimi natoka KAGERA Muleba usiogope na usirudi nyuma unapokua unatenda haki ya kututetea Asante sana Mungu akubariki
Kwa Tanzania tulipofika tunaka kiongozi kama magufuli. Magufuli alikuwa haangalia mtu. Usoni. Uwe kiongozi wa kigogo alikuwa anasumbuliwa. Tumechoka na wizi serikari
Msukuma baba mwaka 2025 njo ugombee pangani Mana atuna mbunge wa kuisemea pangani tuna mbunge kapata bahat akapewa nafasi awe wazili wa maji lkini pangani bado tunashida ya mji
Achieni madaraka amuwezi kuongoza nchi ao wanaokura hela za watanzania wametokana na sera zenu ccm na wabunge hamna haki ya kukemea ubadhilifu huu ikiwa wengi wenu mko bungeni Kwa wizi wa kura me binafsi naona munajikosha tu wote ni wezi mumetengeneza mifumo ya wizi wenyewe,na wanaoiba hela za watanzania ndo wale wale mnawatumiaga kuiba kura .ndani ya ccm akuna msafi wote hati zenu ni chafu mno.