Тёмный
No video :(

MTANZANIA ALIYETEKWA NA WANAJESHI NCHINI ZAMBIA AHADITHIA:NI BALAAA/CHUPUCHUPU/NYERERE MSAADA.. 

Dar24 Media
Подписаться 728 тыс.
Просмотров 57 тыс.
50% 1

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#safari#mbanga #simulizi

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 124   
@pastorcarolicarlostokunmbo826
Mimi ni shuka Lagos MM airport Nigeria nikaonyesha passport nikawekwa pembeni nikatengwa nikapita bila kukaguliwa free kulikuwa na wasouth na wanigeria wenzao walipekuliwa ila nilipita sikukaguliwa wakaniruhusu niende pasport yetu inajulikana kwa kuwa na wafu wastaarabu haki najivunia utanzania.bado niko ughaibuni najivuna sana kuwa mtz wazee tudumishe undugu
@RamadhanMakoka-vp9cl
@RamadhanMakoka-vp9cl Год назад
Kaunda Alipo wekwa ndani Nyelele Alikwenda Kumtembea Gelezani alipofika Kule Gelezani Akaamua Kukaanae mle Gelezani Akakataa kutoka Akasema Tufungeni Wote Mimi Sitoki Humu Ndani Mpaka Tutoke Wote Huyo Ndie Mwalim
@suntzu8959
@suntzu8959 Год назад
Ni kweli KK alipowekwa ndani nyerere alimtembelea gerezani mjini Kabwe, Lakini kwamba alikataa kutoka bila KK ni uongo. Aliongea naye, baadaye akaenda kuongea na Rais Chiluba na akarudi Dar. Baada ya siku kadhaa KK alitolewa gerezani na akawekwa kizuizini nyumbani kwake.
@TamuzaKale
@TamuzaKale Год назад
@@suntzu8959 Utawaweza Wabongo kwa chumvi! he he he he
@berthatz
@berthatz 11 месяцев назад
Wewe nawe siyo Nyelele ni Nyerere
@davidanselmo4041
@davidanselmo4041 6 месяцев назад
​@@TamuzaKale Watanzania ni Watu wa pekee Africa hakuna kama Mtanzania
@subirajohn728
@subirajohn728 Год назад
Mwalimu Nyerere kweli ni VISA❤️❤️❤️❤️
@Chemba67
@Chemba67 Год назад
Huyu Kijana ni Mzalendo sana anajigamba na anatamba kifua mbele kua Mtanzania na anaelezea uzuri wa kua Mtanzania. Ni ukweli usiofichika kua watanzania ni wa pekee.....
@juvenaryburchard719
@juvenaryburchard719 Год назад
Kweri Mwl alifanya kazi kubwa ya kutuunganisha na alitujengea heshima
@rshidmwasa8493
@rshidmwasa8493 10 месяцев назад
Mbona makabila yalishaunganishwa na machifu wetu kipindi cha kupigana na ukoloni? Huyo Nyerere mwenyewe aliunganishwa na haohao wabongo. Asisifiwe sana kwa kazi ambayo hakuifanya yeye.
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 8 месяцев назад
Nyerere Mungu alimsaidia hivi vitu huwa vinadumu ikiwa waliobaki wanatunza haki
@paschalliving657
@paschalliving657 10 месяцев назад
Am proud to be tanzanian
@Solace577
@Solace577 Год назад
Watu wanabeza lkn ukiwa Mtanzania nje unaheshimika, Siku moja nimefka Sweden nilipofika tu Allanda airport nikishangaa walipona passport yangu askari wakaniambia are Tanzanian? Lovely people, lovely country hee kidogo machozi ya furaha yanidondoke walivonithamin na nchi yangu
@subirajohn728
@subirajohn728 Год назад
Sana yaani!
@ahmadbadawi9664
@ahmadbadawi9664 Год назад
Aman ya nchi inachangia pia
@ahmadbadawi9664
@ahmadbadawi9664 Год назад
Aman ya nchi inachangia pia
@yesutuatosha1460
@yesutuatosha1460 Год назад
Wachache utawasikia wanasema ukweli wa namna hii very impressive. Lovely country ❤️
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 Год назад
Nilikuwa jidda airport tuko kwenye foleni ikaonekana kijana mmoja msomali Kama tumemvuruga tukaludi nyuma kumpisha,Alishanga na kuuliza are you Tanzanian,nilifarijika Sana maana alijua busara zetu
@mashakampembela2552
@mashakampembela2552 Год назад
I'm proud to be Tanzanian
@ucjvvjcjjvih9934
@ucjvvjcjjvih9934 Год назад
kweli bro ❤unaongea point 💯salut kwake hata siku zote huwa nafikiria was tu kwetu hamna kama 🇹🇿 ingawa wanatoboa boda mmoja moja siku izi wanatuletea uhalif ni wageni hao ila si uganda si kenya si ruwanga angola wala zibwabwe nitazikwa tz sihami❤❤😂😂😂😂Kwetu
@JohnMalambo-hk5hk
@JohnMalambo-hk5hk Год назад
hiyo sio rais
@JohnMalambo-hk5hk
@JohnMalambo-hk5hk Год назад
Unazungumzia Zambia sioni we bado Sana nenda sudani au Somalia Zambia tunavyumba Lusaka tunaishi. nakila inchi inachangamoto zake. hata tz yapo marangapi wageni wanakamatwa nawakiwa passport. Ila inakutosha changamoto Ila hiyo nikawaida tu
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Год назад
​@@JohnMalambo-hk5hk Sio mtanzania wewe ndio nyie tunakuwekeeni alama ya kuuliza ambayo ni hii ? Pumbaaavuuuu wee 😂😂😂
@dainangei6608
@dainangei6608 Год назад
​@@shinipapaya846 😂😂😂😂 kwakweli
@JohnMalambo-hk5hk
@JohnMalambo-hk5hk Год назад
Papay mwanaume wanamke sijuwi unalewa hicho Kiswahili
@dullodullodullo686
@dullodullodullo686 Год назад
Apo kweli kwenye ukabila udini nyerere kafanya kitu muhimu
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Год назад
Bro nimekuelewa vzr ❤
@lwitikomwasumbi1284
@lwitikomwasumbi1284 8 дней назад
Mimi pia imenikuta zambia kwa jina la nyerere
@henrysizya239
@henrysizya239 Год назад
Jamaa katema madini kweli kweli!
@thomasgogomoka6404
@thomasgogomoka6404 6 месяцев назад
Ukabila tumeuishinda Ila udini bado upo Tanzania, ubaguzi wa kidini upo
@solutionprovider7155
@solutionprovider7155 Год назад
Hilo la iT umeongea kweli serikali inakosa mapato bila kujua kisa Sheria nyingi
@aishaz1
@aishaz1 11 месяцев назад
Bro story kali san umetisha bigp sn ❤❤❤ 254
@user-ch3ku3yx2z
@user-ch3ku3yx2z 5 месяцев назад
Nabii akubariki kwao
@berthatz
@berthatz 11 месяцев назад
Halafu majirani hao wanalalamika kutwa wakiingja TZ na wakikujua wewe Mkenya tu utakoma😂😂Kumbe tabia inawaponza.😂
@abbacushabba4110
@abbacushabba4110 Год назад
Ndio, hapo hitapugua magendo na rusha.
@selemanshaban7496
@selemanshaban7496 6 месяцев назад
MWANDISHI YUKO VZR SANA ANAJUA KAZI YAKE
@user-jf7vx9nb9m
@user-jf7vx9nb9m 4 месяца назад
Itakua nyerere kawakomesha ndo maana wanaogopa
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 6 месяцев назад
Yeah!Mwl.JKNyerere ndiye aliyeendesha harakati za ukombozi wa bara la Afrika.makao makuu ilikuwa jiji la Dar es salaam.Hata putin anamjuwa Nyerere ni nani .Nina bahati kiumbe kuzaliwa Tanzania, nchi ya Nyerere.
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 Год назад
Mimi natamani Sana siku moja kuishi Lusaka zambia na kufanya kazi uko Zambia napapenda Sana wazambia wako na roho nzuri Sana tofauti na watanzania
@ezekielkandonga9238
@ezekielkandonga9238 Год назад
Kuna Vitu bado hauvielewi
@JohnMalambo-hk5hk
@JohnMalambo-hk5hk Год назад
Zambia pazuri Tu Ila ukiwa mwaume mwanamke ndio hayo ukiguswa Tu kelele
@gabrielsiame5725
@gabrielsiame5725 Год назад
Karibu sana Lusaka
@RamadhanMakoka-vp9cl
@RamadhanMakoka-vp9cl 6 месяцев назад
Alicho fanya Mwalimu Ni Rais was Kwanza wa ZAMBIA aliweka ndani na mrisi wake Mwalimu Akapata taarifa Akaenda ZAMBI MPAKA Mahabusu Aliowekwa Akaomba Kuingia ndani Aonane nae Muda Ukaisha Akaambiwa Atoke Akasema Mimi Sitoki Mimi nipo na Rafiki YANGU Mimi Sitoki MPAKA Nitoke nae Twende Kwake Wasaidizi wake Wakawaka Ikabidi Wawatoe Wote
@JamilSalanga-bv9of
@JamilSalanga-bv9of Год назад
Nafurah kukuona pacha wangu
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Год назад
Tembea nje ya Tanzania kuna ukabila na udini unaulizwa wewe ni dini gani ukimwambia anakuwa karibu na wewe kama utakuwa itikadi moja tofauti ni kubwa mnoo
@user-xy4wc9gs7y
@user-xy4wc9gs7y 6 месяцев назад
Mwalimu alikuwa kipao mbele kuwasaidia wa Zambia kupata Uhuru, pili Kyoto wankaunda alimuowa mtoto wa nyerere
@talibfoum8643
@talibfoum8643 Год назад
Nyerere wazanzibari hatumuelewi kabisa kwa mbegu alizozipanda kwetu
@theleo3899
@theleo3899 Год назад
Utamwelewa tu
@dainangei6608
@dainangei6608 Год назад
Meza viwembe kumi tu ndo utajua kama unamuelewa au vip 😂😂😂
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 6 месяцев назад
Wewe unaubaguzi huwezi kumwelewa mwalimu alivyowapa fursa watanzania wa visiwani .Nenda pemba ya Msumbiji kote kuna watanzania wa visiwani wanatajilika huko kwa misingi ya Nyerere wewe una baki tu kuutukuza ubaguzi wa kijinga.wenzio wa visiwani wapo songea Dar Arusha Dodoma wanamiliki ardhi na majumba ya kifahali wewe umekalia maubaguzi ya kijinga .Nenda somalia nenda nchi za kiarabu watu wa aina moja dini moja rangi moja wanauana kila kukicha harafu wewe unamdharau baba wa taifa !pumbavu zako.
@fahmyzicoify
@fahmyzicoify Год назад
Zambia tatizo. Kuna jamaa amesaidia kijana mdogo mgonjwa na familia yake lifti hivyo hivyo. Kijana akafia garini. Walimuambia ameshiriki katika kumuua. $$maelfu kuchomoka kwenye cell na case
@tunudimandogreek9683
@tunudimandogreek9683 Год назад
Usemavyo ni kweri kabisa mi yamenikuta Greece nilisaidiwa njiani kwa jina la Nyerere,na nilikuwa nime kata boda la Uturuki kingia Greece.
@CONSTANTINEBUKOMBE-ii7zh
@CONSTANTINEBUKOMBE-ii7zh 10 месяцев назад
Yani huyu msimulizi anafanana sana na niyonzima
@solomonnanguni2688
@solomonnanguni2688 Год назад
Kijana eleza maswahibu yako yaliyokupata huko, acha kuupinga mwingi. Unapoteza muda wetu na airtime zetu.
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 Год назад
Main story nzuri lakini anaikata sana kuomgea vipambo vingine!
@rosemarymwakitwange6257
@rosemarymwakitwange6257 Год назад
Ushauri wa kujipendekeza
@pericykiko6198
@pericykiko6198 Год назад
Kaongea kwa faida yao wahusika wa hio kazi kujipendekeza hio vipi
@TamuzaKale
@TamuzaKale Год назад
Umri wake unamruhusu!
@khamisidowany6262
@khamisidowany6262 6 месяцев назад
Thamin vya kwenu
@suleimansadalla5606
@suleimansadalla5606 10 месяцев назад
Kijana muelewa sana
@khamisidowany6262
@khamisidowany6262 6 месяцев назад
Nying mnabisha wkt jamaa anaongea ukwl msafir nje mkaone
@OMANOman-qc1lm
@OMANOman-qc1lm Год назад
anazungumza sana toa point nini fasta sio maneno mengi
@omarimkettoomari576
@omarimkettoomari576 Год назад
Kingine ambacho alikua alikuiwbie apush histori book ya rais kaunda ataikita wasifu.wa myerere
@joanesasalavaleriano9980
@joanesasalavaleriano9980 Год назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Год назад
Nani kakudanganya anapumzika kwa Amani? Kule kuna Nyundo
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Год назад
@Mansoor Mwarabu koko ww ndio nyie mnawekewa alama ya kuuliza ambayo ni hii? 😂😂😂😂😂
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 Год назад
Nyerere was a great man for sure
@saidimafu9524
@saidimafu9524 Год назад
Zambia sio nchi yakuishi
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 Год назад
Watz niwengisana wanaishi kule nabiashara wanaendesha bila plesha yoyote,lakini wazambia hawawezi kuishi tz
@saidimafu9524
@saidimafu9524 Год назад
@@josephmakutano7067 ofcouse lakini wanasheria zakuumiza wananchi sana
@gabrielsiame5725
@gabrielsiame5725 Год назад
Zambia Tunaishi Zambia hatunanga matatizo namtu
@hafidhali3020
@hafidhali3020 10 месяцев назад
Ati kiongozi wa dunia,Nyerere ni Kiongozi wa shetani
@davidanselmo4041
@davidanselmo4041 6 месяцев назад
Ukimchukia NYERERE wewe ni tahanani😅
@alexikagoma5135
@alexikagoma5135 Год назад
Acha wazambia wanampa nafasi kila mtu bwana kitu kingine usijidanganye sana eti mwalimu nyerere katembeye nchi zawatu Pila kibali ukataje nyerere tuone kama watakuacha
@dainangei6608
@dainangei6608 Год назад
We sio mtanzania Baki kwenu😅
@alexikagoma5135
@alexikagoma5135 Год назад
@@dainangei6608 mimi sina haja na Tanzania hakuna kitu inaweza kunisaidia sasa nanyinyi baki kwenu tz mbona mnazulura katika nchi zawatu mnatafuta nini
@davidanselmo4041
@davidanselmo4041 6 месяцев назад
​@@alexikagoma5135Kwanza wewe unatokea nchi gani 😅 kongo au Burundi au Rwanda 😅
@emanwelywambura2614
@emanwelywambura2614 7 месяцев назад
Muongo dogo tena sana
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Год назад
Watu wake wasukuma
@JohnMalambo-hk5hk
@JohnMalambo-hk5hk Год назад
uza sm yako huna wazo,
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Год назад
@@JohnMalambo-hk5hk Sindano imekuingia, vumilia.
@JohnMalambo-hk5hk
@JohnMalambo-hk5hk Год назад
@@mansooralaisri5200 hoja yamsingi sijaiona ukabila tz tangu lini mnaiga fikira
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Год назад
@@JohnMalambo-hk5hk iko hoja mifereji ya msingi iko kwako
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 Год назад
Unafukiri utapata kazi selikalini kaeni kwenye nchi yenu ya manyanyaso nchi ya unanijua mimi ninani
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Год назад
ZAMBIA NI NZURI KWA VILE HAWATUUI ILA HAWAPENDI KUONA TUNAFANIKIWA , KUNA JAMAA ALINYANG'ANYWA WATOTO NA MALI NA KUFUKUZWA KABISA. NA CHECK POINT ZIKO NYINGI TOFAUTI NA TZ , NA UKAGUZI MWINGI ILA HAWATUUI.
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 Год назад
Nyee vijana nawaonea. Huruma kwanini munafanya porojo zabure kabisa ,au nyee watoto wamaccm,mzambia hawezi kuishi tz kugumu,acha unafiki nyerere aliharibu mfumo wautawala
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Год назад
Sio mtanzania wewe jinga wewe @Joseph fanya uludi kwenu tu 😂😂😂
@dainangei6608
@dainangei6608 Год назад
Kwani umemuelewa anachozungumzia wewe? Kwan kakwambia wazambia wanaweza kuishi tz 😂 muone kwanza Baki hukohuko Zambia usije huku
@JohnMalambo-hk5hk
@JohnMalambo-hk5hk Год назад
@@shinipapaya846 mshamba wamazingira
@pastoraile7195
@pastoraile7195 Год назад
Acha story hizoooo zambia no zingy people
@charlescharles8531
@charlescharles8531 Год назад
Kwer kabisa Zambia ni peace sana .bola angesema ata Zimbabwe Ndo waduanz
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Год назад
Ukabila alileta Magufuli kujaza watu serikalini.
@lenniefei6710
@lenniefei6710 Год назад
Shukuruni sana WaBongo, njooni Kenya mujue maana na athari za Ukabila !
@mathewtwimanye92
@mathewtwimanye92 Год назад
Mansoor pole hujui ukisemacho
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Год назад
@@mathewtwimanye92 Tanganyika inapata Uhuru mimi nipo mtu mzima nina akili zangu. Usiojuwa kitu wewe. Madhambi ya kila Rais ninayajuwa kuanzia Nyerere.
@wilfredaxwesso7394
@wilfredaxwesso7394 Год назад
Et unajua madhambi ya kila raisi ,je nani anayajua yakoooo? .Kafiri mkubwa wewe
@wilfredaxwesso7394
@wilfredaxwesso7394 Год назад
Kama Tanganyika inapata uhuru una akili zako kweli ulikuwa mtu mzima ila maoni ya kitoto
@josephgomalo41
@josephgomalo41 6 месяцев назад
Wazambia walishakuwa huru acheni uongo! Zambia ilkuwa ni miongoni mwa mataifa yaliyokuwa mstari wa mbele katika kulikomboa eneo la SADC!
@eddynaeem6708
@eddynaeem6708 2 месяца назад
Mimi nyerere simkubali kwa sababu kaisaliti nchini yangu kwa na alikuwa ikituchukia pamoja na taifa letu kalitia umasikini kwa ubinasfi wake
Далее
ЛОВИМ НОВЫХ МОНСТРОВ В LETHAL COMPANY
2:42:22
ЛОВИМ НОВЫХ МОНСТРОВ В LETHAL COMPANY
2:42:22