Huyu kijanaa ameniliza maskin kweli tuombee family zetu maisha maref na mungu atuepushie na matatzo kukosa muelekeo wa maisha wanao umia ni watoto wetu na wadogo zetu wasio jiweza kujitegemea😢😢😢 hongera bwela kwa movie yenye kuvutia na kutupa fikra tofauti z kimaisha 🎉🎉🎉