Wazee wetu wa Imani mnafanya vyema Sana kusema ukweli wa imani ulivyo.Usanii mwingi Sana mpaka kwenye makanisa ya kipentekoste umeingia. Najivunia kuona baba zetu Mnatuelekeza Roho alivyo.Barikiwe Mzee wetu
Asante sema tu kuna wachungaji wanao zofisha karama zawatu ila mungu awaangalie watu kama hao wasiohubiri dhambi wao ni mafanikio tu, Asante mtumishi mungu akubariki pia uzidi ktka ukweli maana makanisa ya meingiriwa
Amina dady Magembe nakuelewaga sana kwa mahubiri yako Mungu akubariki uzidi kutusafisha moyo na ubongo kiukweli Kansan kuna watu tunasumbua sana jaman tutumike kikamilifu, maana kila mmoja atalipwa kwa kutumika kwake
Baba, Mimi ni mukongomani, ninajiuliza kama kuna watumishi wengine ambao wanajazwa na Roho kama uyu baba. Baba, ninaomba namba Yako, utakapo kufa, niwe nimekuona tu. Kuongea nawe kabla ungali mzima baba yangu.
@@reverentnkyami582 soma biblia ujue nani anatakiwa ale madhabahuni. Tamaa ya fedha mmeiweka mbele sana kama kila mtenda kazi anakodolea sadaka alipwe. Sadaka zenyewe hazitolewi kama biblia inavyoagiza watu wanamwibia Mungu zaka na sadaka ni buku.
Shida sana sana kwa church musicians sijui ili suala litakuaje siku zijazo, maana unakuta mpigaji akiinuliwa kidog anaanza kujifanya kuwa yupo bize kumbe anataka aanze kuaprecietiwa na kanisa kwa kulipwa allowance daa
@John faraja Hivi kanisa lina mapato kiasi gani hadi kila mtenda kazi alipwe kanisani ikiwa tu zaka haitolewi kikamilifu? Waumini sadaka zao shilingi 1000 kila mtu anazitolea macho kama si kuleta machafuko tu makanisani? Unapoimba kanisani hauimbii kanisa bali unamwimbia Mungu so kama unataka ulipwe mwambie unayemwimbia akulipe.
@John faraja oooh saw maana ya wokovu ninaweza sema NI MTU ambaye Mungu kamuondoa dhambin na amefanywa upya Tena lakin hapo maan yangu NI kwamba kanisan wapo waliookoka na wapo wanaosali so asilimia kubwa ya wanaosali tu bila kumjua vizur wanaemtumikia ndo wanataka walipwe pesa wakati neno linasema nimewapa bure toeni bure 🙏🙏🙏
@@imelidastevesteve5127 wavivu wa kufanyakazi ndiyo hutaka kulipwa makanisani. Kuimba siyo kazi ni huduma ya kila mtu someni zaburi. Shetani alikuwa mwimbaji naye alitimuliwa kwa majivuno kama ya waimbaji wa sasa. Bila shaka hata Shetani alifikiri bila yeye kuimba mbinguni pangekosa waimbaji. Hadi leo mbinguni Mungu bado anasifiwa kwa nyimbo licha ya Lucifer kutupwa kuzimu.
@@fredrickmuia8855 Hahaaaa! Kwamaana hiyo wakifanya kinyume wasisemwe kisa ni watumishi?.Mtu yeyote ni mtumishi wa Mungu kwa eneo lake,hata wewe ni mtumishi.Usitishwe na title za mwalimu,Askofu,Nabii,mchungaji nk.
Jitahif kuwa na utulivu wakati wa mahubiri ni kweli unasema ukweli lakini sikuelew unaongea bila kicho na hekima mbele za MUNGU shida yako ndo hio tu tulia mzee unalukaluka nini kanisan
Mtumishi mbona unawabebesha watu mizigo ambayo wewe huibebi. Kwani wewe hulipwi ? Kama kutAka malipo kwa kazi halali ya madhabahu ni kuwa msukule vipi wewe ni nani🤷♂️
I believe we should serve God without ask8ng for any pay , but that doesn't mean that people also should not be supported by the church if they are in need. If we go back to the book of acts the believers helped each other . So if a church is able to help the people helping around in church with payment that would be godliness. Aren't we told if someone is in need and you are capable to help do not send them away w8thout the help.
Mind you that, helping people in need is another issue and serving GOD is also another issue,if people are in need then they shouldn't render service for them to be helped but when it comes to serve GOD,we are supposed to serve GOD willingly and that is wether in need or not in need... which is BIBLICAL.... so try to understand the context of the preacher please!
Kwa upande wa kunena kwa Lugha mpya uwe makini sana la sivyo utazimisha Roho mtakatifu ndani ya watu wakidhani kua sio Lugha sahihi.Biblia inasema Lugha za wanadamu na malaika.Wewe unajuaje kama sio roho hata kama ananena neno moja?inawezekana akawa bado mchanga ktk hayo .Labda kama unasema hazai matunda yapasayo toba.Kunena kwa Lugha hakufundishwi ktk vyuo vyovyote bali Roho anavyomjalia mhitaji ndivyo anavyonena.Ujazo hauna kanuni ,wewe unavyojazwa na kunena kwa Lugha huku unatembea madhabahuni usifikiri wote wanapaswa kuwa hivyo.Wengine wananena kwa machozi na kutetemeka,wengine hata kusimama hawawezi maana nusu wanakua duniani nusu nyingine wanakua mbinguni wakiongea na Mungu.Hivyo pastor nenda taratibu ktk hilo ,,,asante tunakupenda
@@sharonyasin7521 ndiyo ,hakuna ariyepinga,ila lugha hizo kuna za wanadamu na malayika(1 wakorinto 13;1).Za wanadamu ni kama zile walizoongea wanafunzi wa Yesu siku ya pentekoste na sisi hivyo hivyo wapo.Za malayika nazo zipo ila kwenye bible hazikutolewa mfano ila zimetajwa ktk wkrnto hapo juu.Mimi nisipokubariana na askofu ni hapa ,yeye anapinga mnenaji kutamka neno moja tu na kunena ukiwa unatoa machozi.Ndo hapo nikamuuliza je hilo neno au herufi moja anajua maana yake?au machozi hayo anafikiri ni sawa na ya kawaida?Sisi tuliompokea Yesu tangu miaka ya 1980_____tumeyashuhudia haya na kumshangaa Roho mt anavyojaza watu.Achana na siku hizi watu wote wawe wale tunaowaita manabii wa uongo wawe walio sahihi utakuta wanatamka lugha moja mfano koroboshakara au yakata,au ribosi ribosi au yamama au karabashakara,.Jaribu kufuatilia wahubiri wa kimataifa kwenye youtb utaniambia lkn sisi enzi hizo tulikuwa zaidi ya mia tano Roho akishuka tulikuwa kila mmoja ananena tofauti na mwenzie !sijui Roho mt siku hizi kaishiwa nazo? au! Ya sku hiz bwana! Mungu atusaidie tu,asante na ubrkiw nimekupnd
Mpaka anaongea hivyo, usifikiri yeye ni mchanga kulisema, usifikiri ni mjinga au mbumbumbu, ukweli ni kwamba usanii umekuwa mwingi mno siku hizi mpaka imekuwa kero na hii imetokea hasa baada ya kanisa kupoa kiroho, kitu kilichopelekea ule uhalisia wa bubujiko halisi la MUNGU ROHO MTAKATIFU kupotea,na hatimaye usanii mwingi kuingia na hali ya kujitutumua kuingia na hivyo bas usifikiri yeye anaongea asichokijua.....na ufahamu pia MUNGU ROHO MTAKATIFU sio mbumbumbu,anaposhuka huwa anajua ashukeje kwa mtu, kuanzia kwa aliyeko madhabahuni mpaka kwa aliyepo huko nyuma, maana kwa mfano wakati wa kuombea watu itamlazimu mhubiri kuwekea mikono (pale inapobidi), wakati mwingine itambidi azunguke huku na kule ili kuombea watu au vinginevyo kulingana na kazi anayoipata kwa wakati huo,sasa ikifika hapo hilo ni suala jingine na ukumbuke mpaka mtumishi yeyote wa kweli wa MUNGU mpaka anasimama madhabahuni tayari anakuwa ameshahudumiwa na BWANA kibinafsi kabla hajahudumia aliopewa kuwahudumia.., hivyo jitahidi kufikiria kwa mapana hata unapotoa hoja yako ndugu....