Hongerani sana kwa Elimu hi ni movie nzuri wenye mafunzo. Wanawake wenzangu tujirekebishe usione mwanaume anakupenda kuna siku atachoka. Hongera sana baba othmani na mama Asma💗💗❤❤💕💕💕👍
Masha Allah kwakweli ndio Kwanza niwaone Leo kwenye movie ILa hongereni Sana mpo vizuri Sana na mumeonesha ustadi wa Hali yajuu katika hii filam, Allah awazidishie Zaid ya hapo mlipo na mfike mnapotarajia. From: DOHA QATAR.
Assalam alaykum muvi ninZur Sana funzo Kwa dada zetu juwa kwamba ukiwachwa taeaka Tatu hauruhuaiwi kulegelewa lamda uwolewe namume mwengine akuwache ndio mtalaka wako wa Kwanza aweze kukuwoa tena napiya vilevile ukimdai mume taeaka bila sababu zamsingi hutoipata hata harufu ya Pepo Najuwa tuko kwenye mafunzo Niwape hungera watengenezaji wahii muvi
Mashaallah...... Yn hukikosa Kujifunza kupitia hii ww c mwanafunzi😍😍😍😍😍😍piga keleleee kwa baba asu ake Weeeuweeeeeeeeeeeee😘😘😘😘😘mama asma umependeza acikwambie mtu💝💝💝
Huyu jamaa anajua sana... Ila movie zake ndio ghali sana kuziona. I really appriciate his films. Mpoyoka mi naomba tumia pia media katika kazi hii...maana ulimwengu tulio nao umebaki mitandaoni
Ushauri mzuri sana ila media wanabana sana, watu walio pewa dhamana ya kukagua movie mpaka uwahonge ndio wqnapitisha. Nimeoeleka media zote ujinga ni uleleule ndiomana tumekimbilia tukiwa na imani tukipata wafuasi wengi mambo yata kaa sawa cha muhimu ni sapot kutoka kwenu