Yaah aweza kubadilishwa kihuvyo pongezi sana tena sana kwa hili funzo mwanaume habadilishwi kwa magovi kupigana Bali sokolojia yatosha we unadhani huyo jamaa nikipi kimeingia kwa moyo wake ❣️❣️❣️❣️❣️❣️
Nshukuru mwenyezi mungu, kwa upendo Aliyetujali hakika maisha ya ndoa kuna milima na mabonde.kenye Nwasi kama uko kwa ndoa tuvumile na kusameana nkupendana tusiji tukatenda dhambi.tusilipize kisasi kuna Mwenye Ata lipiza kisasi ndiyo mungu pekee yake.ukitaka ndoa yako isimame piga magoti chini na uombe mwenyezi mungu Atajibu sala zetu Amina 🙏🙏
Aisee nimekubali sana leo..! Inapendeza kama mkianza movie Single kali kama hii ..! Aisee mtafika mbali sana maana dunia itawajua na kuwatambua ni nini MUNGU kawapa ninyi wasanii kioo cha jamii kwa ajili ya kuwafundisha watu....
😢😢😢 nimeipenda message ya huu mai ambae amemtupia huyo binti mtana na mumbea kam nini ishalla Mungu ndie jibu ,kisasi ha kijengi bali kinabomoa na kureta bifu isio iisha🙏🙏
Mnaigiza tu dy maan unachek kumfumania mmeo yakikukuta kiuharisia hutatoa jino lako lakicheko ata moja umfume alaf usem nakupenda kun wanaum wengn hat umwambie nakupenda kweny maish yak hawez kulizik namwanamk mmj kbsaa yaan kam mim nitakufa nawivuu tu jamn moyo wang moyo wang mimi jamn nitakufa nawivuuu