Тёмный

MVUTANO MKALI BUNGENI: DKT. TULIA vs DKT MWIGULU, MUSUKUMA ASULUHISHA 

Подписаться
Просмотров 405 тыс.
% 1 724

MVUTANO MKALI BUNGENI: DKT. TULIA vs DKT MWIGULU, MUSUKUMA ASULUHISHA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: wasafitv || wasafifm
TWITTER: wasafitv || wasafifm/
FACEBOOK: wasafitv/
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

11 ноя 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 821   
@shilatusabuni89
@shilatusabuni89 Год назад
Asante mheshimiwa spika. Taifa hili tunahitaji watu wakweli ili tufike. Dr. Tulia Mungu akutunze mama yangu😍...Msukuma tunakupa PhD nyingine tena😍
@thomastarimo
@thomastarimo Год назад
Mweshimiwa sipika sisi tunakushukuru kwa pointi
@thomastarimo
@thomastarimo Год назад
Wewe acha ujinga unatoa ela hizo ela ni zako wewe ela ni zetu za walipa kodi
@nurunewz103
@nurunewz103 Год назад
Mh. Tulia wewe ni mlezi na mwenye haki moyoni mwako.
@chuchumeta8374
@chuchumeta8374 Год назад
Tulia unafanya watu wajivunie watoto wa kike
@emmanuelgeorge3262
@emmanuelgeorge3262 Год назад
Dr.Tulia Akson ..big up,so smart
@mosesmwita7906
@mosesmwita7906 Год назад
Tulia sio kwa kumnyuka hivyo mwiguru😂😂atakuwa akikuona anatamani kulia😂😂
@naturelle1097
@naturelle1097 Год назад
Acha alie
@pidiusdominic3673
@pidiusdominic3673 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@allykamanga4366
@allykamanga4366 Год назад
Lazma aanze kumuogopa, maana siku zile alihojiwa hadi tukapata ile trab na trant...leo tena kajaa kwenye 18 tena
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Год назад
🤣🤣🤣🤣
@thomasmagoti9040
@thomasmagoti9040 Год назад
@@allykamanga4366 haahaha
@plujorilugano9489
@plujorilugano9489 Год назад
Hongera sana Mh. Spika kwa kutokukubali uongo wa baadhi ya mawaziri kama walivyozoea business as.....
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 Год назад
Bila kua muongo nchi hii utateseka sana hongera Sana spika
@drKanti865
@drKanti865 Год назад
I see the bright future for this woman...May God bless her
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Год назад
Big up sana Dr.Tulia Akson, speaker wa bunge la Tanzania. Tungepata pia na wabunge hata 7 wa upinzani ambao ni machachari hakika tungefika mbali sana.
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 Год назад
Upinzani ndo nini we nae! Mlishajiaminisha mtu kua mpinzani ndo anakua mkweli? Humo ndani huwaoni wabunge walio machachali kutetea wananchi? We unawaza upinzani tu, mpinzani ni mTanzania na hao CCM ni waTanzania
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Год назад
@@georgemassebu2083usifikili kuwa kila mtu anayesema wawepo na wapinzani ukahisi na yeye ni mpinzani. Inabidi uangalie mbali ni kwanini huyu mtu kasema hivyo. Ipo siku utakubaliana nami.
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 Год назад
Muda wote waliokuwemo mlifika wapi au unaleta ushabiki wa kitoto tu hapa
@wechemakambo2182
@wechemakambo2182 Год назад
Ile kulewa mpaka kuvunjika miguu?
@ibutilehyila9146
@ibutilehyila9146 Год назад
Unaona ee!!! big up sana asee!!!!
@jumaseseme1654
@jumaseseme1654 Год назад
dada tulia mungu akulinde nakupenda tu
@ibutilehyila9146
@ibutilehyila9146 Год назад
Hii ndio raha ya kuwa na Spika Daktari wa Sheria, Big up sana Mama Speaker, Uishi miaka mingi bungeni mama👏👏👏🙌🙌🙌🤝🤝🤝🙏🙏🙏
@auntdorah9141
@auntdorah9141 Год назад
Raha ya kuwa na kiongozi mwanamke( mama🥰) anayejua uchungu wa kubeba ndoo Nakupenda mpk naumwa🥰🥰
@godwinshoo5032
@godwinshoo5032 Год назад
Hongera sana Mheshimiwa spika kwa elimu unayotowa mara kwa mara kwa mawaziri na wabunge wanaojifanya wajuaji!
@henrychaula1174
@henrychaula1174 Год назад
Sijajua Mwigulu anashindwa wapi kumwelewa Spika
@banzimtizii5020
@banzimtizii5020 Год назад
Mwigulu kaelewa ila hana jibu la uhakika
@edigarfurumericus3745
@edigarfurumericus3745 Год назад
Huyu jamaa mchumi lakin 🫥 kabisa
@nelsonludovick3360
@nelsonludovick3360 Год назад
Huyo jamaa hakuna kitu kabisa
@williamsenkoro2210
@williamsenkoro2210 Год назад
Alafu anajifanya mbishi anajua kila kitu ..
@personpeter2221
@personpeter2221 Год назад
Mwakaaa huu ni wake
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Год назад
Huyu hadi ndanj kwa mkewe ni boya mpumbavu huyu
@EmmanuelLupoja
@EmmanuelLupoja Месяц назад
Tumtumbue et
@RafikimediaTZ
@RafikimediaTZ Год назад
Ubarikiwe sana Mhe.Spika Tulia Akson. Ninaiman na wewe kwa haki unayointenda katika nafasi yako.
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 Год назад
KUNAKITU NINAKIONA HAPA KIZURI SANA NAOMBA ENDELEA HIVYO HIVYO ILI UJE KUWA HAFITHI NZURI KATIKA TAIFA Ila utakuwa MWANAMKE wa 1 MZALENDO mpaka Sasa unakaribia Ila MUNGU akujalie kwa Imani yako mama angu hongera Ila ww NI MZALENDO unakaribia MUNGU akujalie usije ukawa upande wa hao majambazi hongera sana
@muharamiesther5908
@muharamiesther5908 Год назад
TRAB NA TRAT😎🎼🎶🎵🎧
@godwinananias5358
@godwinananias5358 Год назад
Akuna kitu hapo hyooo msanii tyu
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Год назад
🤣🤣
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Год назад
Nakumbuka Magufuli aliwahi kumpiga gwala toka siku ile ndio nikatambua kabisaa ya kwamba Magufuli anaona mbali sana 🤣🤣
@sebastianzongoro8915
@sebastianzongoro8915 Год назад
Hapo ndiyo unafahamu kwamba spika ni msomi anasimamia haki hatetei ujinga
@annastellalugayana8454
@annastellalugayana8454 Год назад
Asante madam Kama Jimbo letu la kibamba ni asilimia moja tu ya watu wanaopata maji asilimia 99 hatujui maji ya bomba tunatumia maji chumvi je uko vijijini si ndio kabisa
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION Год назад
Mwigulu bwana!!! Hoja IPO wazi,,,,,msukuma anaweza kuwa mbunge no 1 kwa hoja ambazo Ni real
@besttrendingcovers1838
@besttrendingcovers1838 Год назад
dr Tulia your the best and you deserve to be in that position
@amiria.mustafa9859
@amiria.mustafa9859 Год назад
Yan mwaka huu, kiukwery aisee dah😥😥😥yan hata kwenye maj bado watu wanajing'ata ng'ata eeh mungu weeeeh😥😥😥
@mbwanamtessa8607
@mbwanamtessa8607 Год назад
Tena mbunge na waziri mwenye dhamana kubwa.
@josephdidas325
@josephdidas325 Год назад
Yaan huyu jamaa huwa simuelewi Haki ya Mungu asee huyu jamaaa liwekwe jiwe na yeye bora nichague jiwe kuliko huyu jamaa asee
@catherinemzurikwao3265
@catherinemzurikwao3265 Год назад
Hata mimi sijawahi kumwelewa. Ni kilaza kufa mtu 😃😃😃😃
@joelmwanza6009
@joelmwanza6009 Год назад
Unajua Haya majibu ya serikali lzm ya we yanajitosheleza. Naona Kama Waziri hayuko happy sana kubanwa hivyo.
@jacobmsigwa383
@jacobmsigwa383 Год назад
Mzee wa TRAT na TRAB anazingua
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 Год назад
Shauri yake kubanwa. Ndiyo maana kuwa waziri wa michongo. Mwigulu ni tunda bovu.
@taichi5370
@taichi5370 Год назад
This Lady is future Head of State!!
@auntdorah9141
@auntdorah9141 Год назад
Kweli ...hili ni jembe
@celinamutta5058
@celinamutta5058 Год назад
Asante spika Tulia. Nimekukubali kwa kusimamia hoja. Keep it up💪💪👍
@ajuayelubano9595
@ajuayelubano9595 Год назад
tuwe tu wastaarabu jamani kwa suala la waziri wa fedha tumepigwa, naomba kuwasilisha.
@abdulabdy6822
@abdulabdy6822 Год назад
You are so smart madam Speaker..all the best
@kazembe987
@kazembe987 Год назад
Punguzeni Saisa nchi mnaitia hasara kubwa
@chrithicksambo2287
@chrithicksambo2287 Год назад
huyu mwanamke saiz kabadilika aiseee 🤣🤣🤣 ahsant sana 🙏
@amoji126
@amoji126 Год назад
🤣🤣🤣
@goodwellmutambo7607
@goodwellmutambo7607 Год назад
Huyu mama kiboko
@edwardnatharyblessed7067
@edwardnatharyblessed7067 Год назад
Mama yetu Dr. Tulia you have wisdom God bless you mum🇹🇿
@amsiabbas3809
@amsiabbas3809 Год назад
😂😂😂 Siku akiwa kwenye kiti Docter Tulia Nafurahi sana kulitazama Bunge Maana sio Spika Wamchongo hata kidogo
@williamchongeraj
@williamchongeraj Год назад
Huyu Mwigulu atupishe kazi imemshinda
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
Nashangaa Raisi sijui kwa nini anambeba mtu hawezi kabisa
@poolkingservices6928
@poolkingservices6928 Год назад
Huu siyo u daktar wa darasani. Tuna madoctors wengii Tanzania. Huo ni udoctor wa damu. Anajua kutetea haki na ukweli bila kigugumizi. Hongera sana dada Yetu na Spika wa Bunge la 🇹🇿 Nimeupenda msimamo na hoja zake.🙏
@pitysimon9731
@pitysimon9731 Год назад
....Trab na trat 😂😂😂😂
@ladislauslyagula4096
@ladislauslyagula4096 Год назад
Hongera sana mh tulia mana umetusaidia nasisi wananchi kujua/ kupata ufafanuzi zaidi ubalikiwe sana.
@johnjumalesso8153
@johnjumalesso8153 Год назад
Uyo waziri hafai kabisa
@subirajohn8298
@subirajohn8298 Год назад
Mzimu wa magufuli umemuingia Tulia Acson . Big up mama
@lusticendokole9385
@lusticendokole9385 Год назад
Mwigulu has attended the class in a Parliament Meeting Hall. Congratulations Dr. Tulia Ackson
@samwelimasoya5612
@samwelimasoya5612 Год назад
Huna uwezo kuwa sipka huna huruma
@edwardnatharyblessed7067
@edwardnatharyblessed7067 Год назад
Congratulations sana mama yetu Dkt.Tulia, waziri ameshindwa kuelewa swali kabisa kabisa
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Год назад
Mzee wa trab na trat big up Dr Tulia unatufurahisha
@deusdeditswebe8930
@deusdeditswebe8930 Год назад
TRAB na TRAT...🙄
@emmanuelsilasi6395
@emmanuelsilasi6395 3 месяца назад
Trab na trat imejaa longolongo😂😂😂
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
Mheshimiwa Raisi mtoe huyu Waziri wa Fedha hafai hata kidogo kwa nini unamngangania nini?anakutia aibu tu kwani msomi ni yeye tu
@maryshirima1234
@maryshirima1234 Год назад
Kwa kweli mwenyewe nimekuelewa spika toka mwanzo maana haihitaji kwenda shule kuelewa concept hizo mbili ziko sahihi kulingana na kila mmoja anapovutia sema waziri wa fedha kwa hapo kazingua.
@bulugusoteli
@bulugusoteli Год назад
Wazir wa fedha ni ziro hakuna kitu
@nelsabugo3613
@nelsabugo3613 Год назад
Spika Mungu akulinde
@lordsmenas3267
@lordsmenas3267 Год назад
Du! Nimeamin kweli tulia ni zaidi ya NDUGAI
@clevisaboytz544
@clevisaboytz544 Год назад
Dr Tulia 🔥
@obeidmpombwe9951
@obeidmpombwe9951 Год назад
Mwigulu ni tatizo sijuwi sijawahi kumwelewa kabisa
@amanichuwa6687
@amanichuwa6687 Год назад
Mama amtoe huyu mtu watu wanamshambulia sana uwezo wake wa kutatua mambo ni mdogo
@isaya43.12
@isaya43.12 Год назад
Shkamoo mh spika nakuombea sana wasije wakakuuwa
@victorkalolo9517
@victorkalolo9517 Год назад
Yan Katka viongoz huyu mweshimiwa sjawaig kukuelewa.🙇🙇🙇🙇
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 Год назад
Huyu mwingulu nasemaga kila siku hakunaga kitu kwenye kichwa chake nakama anajua achokifanya Basi huyu ni mwanasiasa
@mbakijonas6792
@mbakijonas6792 Год назад
Tulia huyu mhuuuuuh 😁😁😁😁😁😁😁😁atawanyoosha afu inaonekana anamalengo mapana kuliko hako kausipika
@ramazonejohnson2831
@ramazonejohnson2831 Год назад
KWELI TUNAPIGWA AISE😭😭😭😭😭😭😭😭
@meddydoubledi1675
@meddydoubledi1675 Год назад
Huyu dada tulia anajua xana pia ni anajielewa sana
@mikemollel8396
@mikemollel8396 Год назад
dah tunapigwa sana waziri hajui kit
@muharamiesther5908
@muharamiesther5908 Год назад
Msukuma😂😂😂😍
@amsiabbas3809
@amsiabbas3809 Год назад
Mwigulu awe waziri wa Nchi za mchongo tu kwanza Jeuri sana huyo na kauli zake zakejili kwa raia
@ludoviclymo2044
@ludoviclymo2044 Год назад
Hatuna waziri wafedha tanzania
@iddykivu1336
@iddykivu1336 Год назад
Huyu mwizi huyu Yani Nchi Inaviongozi wa hovyo sana
@juliusjoseph4889
@juliusjoseph4889 Год назад
mwigulu amezoea kutudanganya😂😂😂😂😂😂😂leo kapatikana,i appreciate you tulia ackson
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 Год назад
Mwigulu na Makamba hawaaminiwi na wananchi wengi
@joeaub2185
@joeaub2185 Год назад
weka na nape hao watu ni wa mchongo...
@seifsaidseifsaid1210
@seifsaidseifsaid1210 Год назад
Huyu waziri ni zero!
@abdullherry3072
@abdullherry3072 Год назад
Tulia anaupiga mwingi kuliko mama yenu
@amour5535
@amour5535 Год назад
Huyu akigombea urais nampigia kura
@gametongwe3539
@gametongwe3539 Год назад
SURE 💯
@yusuphchankwa4759
@yusuphchankwa4759 Год назад
Hivi Mama kuweka tahila kama huyu kwenye wizara kubwa kama hii ya fedha aliona nini hivi Kwa hali kama hii tutatoboa kweli?
@waltertesha3312
@waltertesha3312 Год назад
Upinzani ulikua unachangamsha bunge bwana🤣🤣🤣🤣 hili bunge limepoa sana
@joshuamassawe2474
@joshuamassawe2474 Год назад
I like her. Give this woman the presidency.
@kwisa4899
@kwisa4899 Год назад
Nafasi yake ni kubwa zaidi ya hiyo ya urais
@mohamedpius4895
@mohamedpius4895 Год назад
Hongera spika uongo hauna nafasi
@aloycesilwela3485
@aloycesilwela3485 Год назад
We we we usithubutu kabisa
@makoye8388
@makoye8388 Год назад
Mheshimiwa Tulia Mungu wa mbinguni akutunze🙏
@emmanuelkisusu2465
@emmanuelkisusu2465 Год назад
Waziri bwana😂😂 mama Tulia Ackson ni 🔥🔥🎻🎷🎷🎷🎸
@amiria.mustafa9859
@amiria.mustafa9859 Год назад
Sema waziri, mmh, hv unashindwa kumuelewesha spika wako, hiv asa unatusikilizaje wananch wako, 😥
@moshiomarymnyeda8907
@moshiomarymnyeda8907 Год назад
Tulia ajengewe Mnara pale Nyerere square pembeni 😊😊😊😊💥💥💥
@noberthmsuyah884
@noberthmsuyah884 Год назад
Ndio kabisa tulia spk upo sahihi wabunge wanatakiwa waelezee mpk mwananch wa huku kijijini nielewe
@daudichirstopher6173
@daudichirstopher6173 Год назад
ivi uyu tulia ame olewa jaman
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 Год назад
Tulia ndio kiongozi tunaowataka sio zungu mpigaji tu na hana faida yeyote bungeni afukuzwe
@clintonarnold6291
@clintonarnold6291 Год назад
Anaubabe wa kjnga kwanza zungu
@amisimudigo3726
@amisimudigo3726 Год назад
huyu waziri wa fedha hakuna anachokijua zaidi ya wizi tu sijui huyu mama kamtoa wapi
@manasentazi5692
@manasentazi5692 Год назад
Mwigulu mpaka umueleze vzr madame spika uwazir uliupataje pataje😎😎😂😂😂
@prophetlinustesha6333
@prophetlinustesha6333 Год назад
😂
@gametongwe3539
@gametongwe3539 Год назад
MAMA YENU HUYO KAMUWEKA KIJANA WAKE
@issaissaswaleh5547
@issaissaswaleh5547 Год назад
Amesoma kweli huyo Mzee, au dhambi za watanzania inamsokota.
@amoskatela1282
@amoskatela1282 Год назад
Spika endelea na mkazo wa namna hiyo ili wawe wanajibu hoja walengwa
@misanjolivigha2396
@misanjolivigha2396 Год назад
MWIGULU UNACHEMKA, WAKATI WENZAKO WANAWATETEA WANANCHI WEWE UNATETEA MASLAHI YAKO BINAFSI UTAFIKIRI KIJIJINI KWENU HAWANA SHIDA KABISA....Yaani kila kitu kwako ni "TRAB & TRAT" tu.
@annakisiga889
@annakisiga889 Год назад
mwiguru hakuna kitu hapo tumepigwa ndio maana jpm alimtumbua akabaki na ubunge tu yaan hapo hakuna kitu kabisa
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 Год назад
Hawa ndio mawazir ambao JPM alikuwa hawataki
@babujinga5819
@babujinga5819 Год назад
Waziri kachemka huyo ndio waziri huyo..... Mhuu kazi kweli kweli
@SimonNyasa-dc2mn
@SimonNyasa-dc2mn Месяц назад
Dr tulia we ni fire sana
@AmiriJuma-pp2xf
@AmiriJuma-pp2xf Год назад
Hawa mawazili mnawatowa wapi akachunge mbuzi singia hakuna wazili hapo
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Год назад
Hatari Sana hwa Mawaziri
@hhurbert
@hhurbert Год назад
Dr Tulia anaupiga mwingi sana
@silaskojwando2450
@silaskojwando2450 Год назад
sawa sana spika,mwigulu anakawaida ya kujibu kipuuzi
@cosmaslunyembeleka251
@cosmaslunyembeleka251 Год назад
Hapa ndipo SHULE inapofanya kazi kwa Dk Tulia
@fazeelshomary2704
@fazeelshomary2704 Год назад
Mzee wa Trab na Trap kabananishwa tena😆😆😆
@didasrugimbana6260
@didasrugimbana6260 Год назад
Huyu Mr Trab na Trat miyeyusho sana kwakwel
@zaikiumba7861
@zaikiumba7861 Год назад
Hakika ww Ni mpenda haki
@nurunewz103
@nurunewz103 Год назад
Waziri wa fedha gani anaeshindwa na hesabu ndogo.
@balozimedia4891
@balozimedia4891 Год назад
Kaka Mbunge mbona mbishi sana jamani? 😃
@dismassmariki6985
@dismassmariki6985 Год назад
Madame speaker your doing an amazing job na hongera sana kwa kweli.
@kishakisha730
@kishakisha730 Год назад
Safi Sanaa Do Rulia umemwuliza swali gumu kwa mwugulu. Ana Cha kujibu.
@simoncharles683
@simoncharles683 Год назад
Yan Dr tulia anaakili Sana Mungu akubariki Sana ! Huyo mwingine anajiita dokta wa hesabu ona sasa udaktar wake sasa zero plus
@eliwandoakituku3713
@eliwandoakituku3713 Год назад
Mbegu yamagufur
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Год назад
Yaani enzi za JPM angekuwa ameshapigwa chini huyu Waziri wa Fedha.
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 Год назад
Hapo Sawa kila Mhimili ufanye kazi yake...Taarifa kama haipo Sawa kutoka Serikalini lazima isimwe haipo Sawa na hiyo ndo kazi ya Bunge na haki isipopatikana Mahakama Lazima isimamie haki ipatikane🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@happymarchiusnjungani1138
@happymarchiusnjungani1138 Год назад
Mh .Spika barikiwa Sana hawa mawazir hawatatufikisha
@barakaelkaaya40
@barakaelkaaya40 Год назад
waziri wa fedha anapaniki, wa nishati naye hivyo hivyo ndo awamu ya 5 hawakuwepo.hawa wapigaji ndo maana wanapaniki
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb Год назад
Kwa hiyo Mwigulu kama takwimu za kitaifa ni 74 percnt then kila kijiji ni asilimia hiyo hiyo.... ??? Ni kwamba kuna vijijini vitakuwa havina maji na kuna ambayo vitakuwa na asilimia zaidi ya 90.....
@michaelmachango3730
@michaelmachango3730 Год назад
Huyu ni mbishi tu! Uhalisia wa takwimu za maji kitaifa sio sahihi!
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Год назад
Wababaishaji watanyoooka tu hivi u Dr mwigulu aliupataje??maana anaonekana zero brain
@jomba6514
@jomba6514 Год назад
Mh mw fanya utafiti upendwi kuliko unavyo fikilia tokea nizaliwe wewe ni 1 kwa kiwango icho
@immapeter640
@immapeter640 Год назад
Mh spika🔥🔥
@lazarombuze9776
@lazarombuze9776 Год назад
YAANI HUYU WAZIRI HAFAI HATA KUWA MWENYEKITI WA MTAA
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 Год назад
Kwani lazima kuwa na wabunge wasielewa jamani , Dr tulia leo umenikosha na msukuma
@asajilepiusmahenge5729
@asajilepiusmahenge5729 Год назад
Hapo Dr Tulia umeonesha wewe ni bora kuliko huyu waziri
@anosiata8242
@anosiata8242 Год назад
Waziri kama huyo Alitakiwa aachia ngazi.. ni mzingo . Harafu anajifanya eti amesoma uchumi. Hovyo..
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Год назад
Hivi huyu mvaa tai ya bendera ya Taifa kasona kweli mjinga huyu
@alexkamba5264
@alexkamba5264 Год назад
Ukweli Spika uko vzr xana big up
Далее