Karibu kwenye matangazo ya moja kwa moja kutoka Kibamba! Leo, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, anatupasha ujumbe mzito akiwasha moto wa kisiasa. Je, Lissu ana nini cha kusema kuhusu hali ya siasa nchini, masuala ya haki za binadamu, na mustakabali wa Tanzania? Usikose kufuatilia hotuba yake kali na uchambuzi wa kina wa masuala mbalimbali yanayowagusa wananchi.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
7 окт 2024