Тёмный

Mwarabu anjirire ngerie kwaria nyone hingurite room ngakora itanda ta 50 

Muhia Wa Maingi Media
Подписаться 133 тыс.
Просмотров 9 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 31   
@NellyKarugu
@NellyKarugu 5 месяцев назад
Mercy from my hometown gatundu south
@IliM-hf5ku
@IliM-hf5ku 5 месяцев назад
Watching from saudia aribia.niko.saudia.miaka.10.but.God.is.good
@mercynims3020
@mercynims3020 5 месяцев назад
Watu hupitia aki.na name Mungu anakupenda
@eunicemwangi6259
@eunicemwangi6259 5 месяцев назад
Mercy,is,my work mate,in Qatar
@rebeccawangui8808
@rebeccawangui8808 5 месяцев назад
Kupeana simu ni redflag kwa mwarabu
@LINETYKATHOMI
@LINETYKATHOMI 5 месяцев назад
Hio ni uongo ,acha kuchoma tuko huku miaka 6 saaii akuna kitu kama hio uku
@michaelmwangi3221
@michaelmwangi3221 5 месяцев назад
Wengine tuko hapa zaidi ya miaka kumi
@JaneWanjiku-wi5ho
@JaneWanjiku-wi5ho 5 месяцев назад
Woiyee madam nimesikia story Yako , pole mm nko Abha nko poa sana
@Beliers
@Beliers 4 месяца назад
Abha wapi mm niko Abha
@JaneWanjiku-wi5ho
@JaneWanjiku-wi5ho 4 месяца назад
@@Beliers Sasa sijui visuli sijakaa sana nko n 4 bt sio town n kijijin
@WANJIKUMACHARIA-z6l
@WANJIKUMACHARIA-z6l 5 месяцев назад
Hio niuogo mtupu mm nimekaa huko miaka tano
@lucylight9341
@lucylight9341 5 месяцев назад
Kwani uko kwa nyumba yenye anaongelelea ....I believe anything said Abt Saudi coz its possible.... Saudi stories make me think it's the hell itself🏃🏻‍♀️
@shelmithwilliams8747
@shelmithwilliams8747 5 месяцев назад
Kwani umezunguka nyumba zote za waarabu Wacha muchene
@eunicemwangi6259
@eunicemwangi6259 5 месяцев назад
Mercy,is,my,Walkmans,inqater
@rebeccawangui8808
@rebeccawangui8808 5 месяцев назад
Na vile ukilala na kijana ya mwarabu unauwawo
@rebeccawangui8808
@rebeccawangui8808 5 месяцев назад
Hapo kwa umaraya umendanganya mwarabu haezi fanya iyo kazi juu anajua shaghala akimreport atapigwa fine😂😂😂 clout chase
@davidweyime748
@davidweyime748 5 месяцев назад
Not unless unajua hao waarabu wote kwa hio nchi..
@Mieye788
@Mieye788 5 месяцев назад
Haja clout chase is true labda wewe sio kemboi ndio useme hivo. Mimi Niko na namba za waarabu wawili mmoja black ako huku Riyadh mwingine ni white ako majma. They do that work huwa wanauza mashagala. Kwa waarabu and ilihappen kwangu personally huko majma desert but Mimi nilitoroka ma dog ndio ziliniokoa I will never forget
@Mieye788
@Mieye788 5 месяцев назад
Na juu ni mapolisi. Huwa wanatumia hiyo opportunity juu wanajua huna igama wee ni kemboi I have even audios for evidence juu after nilifaulu kutoroka walinitafuta wakiniambia watanilipa. Niwapee wasichana watanilipa Kwa kila msichana 1000riyals
@Mieye788
@Mieye788 5 месяцев назад
Na pia. Nimewahi pata msichana ameuwawa huku Tu Riyadh place inaitwa nathim Niko na mpaka location na namba ya msichana WA huyo mama juu nilitoroka usiku juu niliambia dalala akaniambia hawezi nisaidia juu anajua hiyo familia ni mbaya huyo dalala nasemanga siku nitaenda Kenya lazima nitamtafuta juu alikuwa anajua na akanipea hio kazi na saa hio anajua hayuko Saudi Kenya
@AliceWangui-jo5vm
@AliceWangui-jo5vm 5 месяцев назад
Acha kiherehere Hawa wanatufungia macho na kutuomba ni ww😢
@michaelmwangi3221
@michaelmwangi3221 5 месяцев назад
Ladies should be banned completely from entering Saudi... cjawai ona mwanaume narrating anything negative about Saudi kwani ni nyinyi tu huteswa
@lucylight9341
@lucylight9341 5 месяцев назад
Maiko wazee huingishwa nyumba ya wazee tupu huko na yenye hufanywa kwa mwanaume akitoka hapo hakuna kuongea coz haezi ongea haezi tembea haezi sikia na haezi pumua .Soo girls are ble to run away but a man woiiii ....Siri ni nzito .
@doreenshii563
@doreenshii563 5 месяцев назад
Itanda 50 ciumite kū na andū aya mendete gükoma thì takì😮😮😮#my opinion
@Shirushiks-qc1kd
@Shirushiks-qc1kd 5 месяцев назад
😂😂😂
@doreenshii563
@doreenshii563 5 месяцев назад
@@Shirushiks-qc1kd imgn ni ukweli makomaga thì ta thuya 🤣🤣🤣🤣kama uko gulf najua unaelewa
@Shirushiks-qc1kd
@Shirushiks-qc1kd 5 месяцев назад
Kabisa nakuelewa mama awa watu awapedi bed
@lucylight9341
@lucylight9341 5 месяцев назад
Mimi niko kwa king na vitanda naona huku ni smart ata sijai ona kama hizi ....but this lady is telling of vitanda ambazo zilikuwa za biashara furani . anything in Saudi ni possible 😂
@LucianaKamau
@LucianaKamau 5 месяцев назад
Clout chase
@eunicemwangi6259
@eunicemwangi6259 5 месяцев назад
Mercy,is,my,Walkmans,inqater
Далее
Itĩna rĩa ũtongoria rĩongererwo? #Kĩmũrĩ PART 3
15:30