MashaAllah, Mungu akubariki na akuzidishie kheri na baraka nyingi sana kwa kuwaweka sawa hao wakristo. Watu wengi hawamjui Mungu wala hawamjui Yesu, nahii ni sababu ya shida nyingi zilizopo siku hizi. Jazaka Allahu Kheir
MashAllah MashAllah Alhamdullillah Alhamdullillah tabarakAllah Shekhe Ramadhani KWELI una Fanya Kazi mzuri Sana Alhamdullillah Alhamdullillah inshallah inshallah na WENGI wata ingia kwenye UISLAMU Kwa mkononi Kwako Inshallah Inshallah tunamuombea Kila la Kheyr Duniani na Aqeera Inshallah in
Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatu Ust. Napenda Sana unavyo Fanya DAAWA. It's the best style and way to deliver the massage. Kwa Maoni yangu hivi ndivyo Bora kuliko Muhadhara za kujibizana. Hivi inaleta Heshima na Ustaarabu. Barakallahu feekum
Mbona Mcongo kadonye ana kataa kusema ni Mkristo,!? Kadonye, HAKUNA Neno 'Ukristo' katika Biblia MZIMA! Kwa hivyo, 'Ukristo' sio DINI wala Dhehebu! Ukristo ni CULT Ya Wazungu, ilio anzisha kule England 🏴, in 1611AD! Kwa hivyo, kama una ngojea 'uokozi' wa 'Jayzee', basi uta ngojea mpaka ukauke!
Total confusion I see every day with our Christian brothers and sisters. Lack of knowledge. They just say what they hear from their pastors. Alhamdullilah that I am a Muslim. Even my 10 year old has memorised the entire Koran which is 604 pages.
Kwani Wakristo waki imba nyimbo, huwa wana fanya nini? Biblia ina sema wakati unam ABUDU Mungu, lazima um SUJOODIYE Munge. Na ukim OMBA, basi un ennua MIKONO kwa kum omba! SASA, wakati wanapo IMBA, huwa wana fanya nini, kwa sababu, ku IMBA SIO ku ABUDU wala SIO kum OMBA Mungu? Kwani MUNGU ni President ambaye ana SHANGILIWA na WIMBO? Mbona Wakristo hawa tumiyi BONGO?