Maombi Haya ni Matokeo ya Kongamano la Wanawake Waombaji lililofanyika arusha tar 3 Mei 2022. • Mwl Christopher Mwakas... Ninachotamani ni kuona Mungu anakufungua wewe Pamoja na Uzao Wako.
Hii siku nilibarikiwa sana na kufunguliwa sintaa niisahau. Mungu awabariki wote waliokaa na kuandaa hii semina ya wanawake. Pia Mungu asimpungukie mtumishi wa Mungu pamoja na Familia yake. Mama na Mwalimu Mungu awabariki, Asanteni kwa SoMo nzuri. Hakika mlitupeleka hatua kumi mbele. Awape kibali Cha kuandaa semna nyingine. Mungu ayabariki matumbo ya wanawake. 🙏
Eeemwenyezi mungu bariki tumbo lake la uzazi kipenzi changu Ireen chuba mponye mpunguzie adhabu na maumivu yanayo mkabili muda uhu mponye bwana yesu kristo aliye hai mponye mungu wangu
Mimi pia nimefunguliwa . Tunamshukuru MUNGU Kwa uaminifu wake kwetu na Kwa watumishi wake hawa ( Baba na Mama Mwakasege ) na mana ministry Kwa ujumla . MUNGU awabariki sana 🙌 🙌 🙌
Mungu akubariki nilikua na vita kusikiliza maombi haya ila Mungu akiruhusu shetani anaaibika maan. Kila nikitaka kusikiliza!! yanatokea mapingamizi hata na kuandika sms hii nayo ni hivyo hivyo nataka ulimwengu ujue kazi ya Mungu aina mpinzani ni hivi Mungu amenifungua tumbo kupitia maombi haya ya tumbo la uzazi Leo nimefika kwenye hatma yangu Asante Yesu
Mungu awabariki watumishi wa Mungu kwa huduma ya tarehe 03/05/2022. Ilikuwa ya baraka kwa wengi. Ninawaomba mtuwekee somo lote RU-vid/Telegram. Wengi walifunguliwa na ninaamini wanaoendelea kusikiliza watafunguliwa. It is powerful.
Asante yesu kwa zawadi ya mwalim huyu amekuwa baraka kwetu,ila nna swali ambolo huwa najiuli na majibu cjawah pata,swali n hv,kitovu cha mtoto kinatakiwa kutupwa wapi kwa mujubu wa. bibili?,nitashukru kama nitapata jibu asante
Kitovu cha mtoto kinaweza tupwa sehemu yoyote kama ila usisahau mtoto anapozaliwa ni lazima aombewe na kukata mawasiliano yote ya kipepo ya ukoo wa baba wa mtoto au Mama kwa damu ya Yesu
Good morning! Through this prayer got my delivarance, and I can testify the goodness of God in my life through myself and my only son I have, merciful Lord halleluyah!
Selina Samba @usiache kufuta kila taarifa uliyopewa damu ya YESU inene mema juu yako,yuko MUNGU awezae kutenda usikate tamaa kila saa ita damu ya YESU,na kumbukumbu zote zitafutika kwa nguvu za MUNGU usikubali kushindwa
Watu nawaambia hakuna mkamilifu, lakini nawaomba kina dada kina kaka, acheni kujiongezea urembo katika miili yenu. ASIJE MTU AKAKATALIWA KATIKA LANGO LA MBINGUNI SABABU YA HAYO.
Baba yangu ulie mbinguni usinipite nami na maombii haya nikumbuke .yamkini sistahili kwa makosa yangu .Nakuombaaa kupitia maombii ya mtumishii wako nikumbuke na kunirehe.ktk ya uovuu kumbukaa reehema nitakase tumbo langu la uzazi