Kwakuwa Mpinga Kristo atakuja na agenda yake ya Serikali Moja ya Dunia, Dini Moja na Mikataba feki ya Amani, basi lazima leo aanze kuziangusha serikali za wananchi zilizopo madarakani, kwa kuwagombanisha watu na serikali zao, kuzipooza Dini zilizopo na Kuvuruga Amani ya nchi na dunia. Basi iweni Hodari katika BWANA na katika uweza wa Nguvu zake, kwa maana kushindana kwetu sio juu ya damu na nyama, bali ni vita vya kiroho, tukipigana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho (Waefeso 6:10-18)
8 окт 2024