Тёмный

MZEE MWENDA: ANAYESEMA CHAMA KAZEEKA ANA KANSA YA UBONGO/ MO DEWJI ANATUONAJE SISI? 

TimesFMTZ
Подписаться 540 тыс.
Просмотров 46 тыс.
50% 1

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Развлечения

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 99   
@mwamvuarashid290
@mwamvuarashid290 3 месяца назад
Huyu teacher mwenda huwa namwelewa sana Simba mnafeli wapi watu Kama Hawa walitakiwa ktk kamati ili kuwashauri
@Eliacharless-f3z
@Eliacharless-f3z 3 месяца назад
❤nimekuelewA mzee mwenda
@avitusmichael5
@avitusmichael5 3 месяца назад
Mzee mwenda unaujua mpira vizuri
@hafidhkikocho9161
@hafidhkikocho9161 3 месяца назад
mzee baba nimekuelewa sana
@DicksonWilliam-h9x
@DicksonWilliam-h9x 3 месяца назад
Dah mzee wang nakuelewa
@imanishabani37
@imanishabani37 2 месяца назад
Mzee mwenda Nomaaa sanaaa
@Sukuma_Tv
@Sukuma_Tv 3 месяца назад
Mzee Mwenda unaongea ukweli mtupu mzee wangu
@EnockKombolela
@EnockKombolela 3 месяца назад
Mzee mwenda nakuelewaga Sana Mzee wangu hongera
@MotibaMashana-hv3tf
@MotibaMashana-hv3tf 3 месяца назад
kk mwenda nisameeeee naumia mm natamani kujitoa roho hv chama wapi ubovu wake katusaidia mangapi au siasa ya mpira wetu
@nurdinngalo-hj1ow
@nurdinngalo-hj1ow 3 месяца назад
Kaongea point sana simba wana tajiri ila tajiri wao ni janja janja
@edinamwanasenga1584
@edinamwanasenga1584 2 месяца назад
Mwenda yupo nvizur sanaa wampe usemaji simba❤❤❤❤
@imanishabani37
@imanishabani37 2 месяца назад
Kocha Mwenda Kiukweli Wewe unaongea vzr sanaa kwenye masuala ya mpira kuna watu wanakubeza lakin huo ni ukweli
@MotibaMashana-hv3tf
@MotibaMashana-hv3tf 3 месяца назад
upo vzr mwenda
@charlesmkisi8052
@charlesmkisi8052 3 месяца назад
Mzeee mwenda 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
@ELIMRINGITILLYA
@ELIMRINGITILLYA 3 месяца назад
Mwenda uko vizuri sio kama hao mshabiki wengine matako wa Simba wasio na akili Chama kaisadia Simba robo fainali klabu bingwa mara zote.
@MussaHajikimwaga
@MussaHajikimwaga 3 месяца назад
we msenge acha kututukana sawa mpuuzi tatizo la mwenda ni mtu flan anayejiona ni Bora kuliko wengine kwanza siyo mchambuzi naona amekuwa maarufu Kwa kuitwa kwenye hizo midia bas anaongea vitu hata havieleweki
@yummaskitchen6167
@yummaskitchen6167 3 месяца назад
Mwenda unaongea fact Sana
@HenryMnungu-kj2hr
@HenryMnungu-kj2hr 2 месяца назад
Huyu mwenda kumbe ni mwendawazimu Kwa kirefu... Mara zote alikuwa akimponda chama.... Leo amekua mzuri...
@deven.oauditx7547
@deven.oauditx7547 2 месяца назад
Jamaa ana hasira sana huyu! Anaweza kumtafuna mtu akijichanganya.
@elgringo8592
@elgringo8592 3 месяца назад
Kweli mzee mwenda ukoo wa fisi ule😅😅
@AbisinaRashidi-c8d
@AbisinaRashidi-c8d 3 месяца назад
Kweli wew mzee choko kweli hata wew ulisema chama mzee kwani chama sio mzee ana miaka 26 au miaka selasini na mbili chama mzee Tena chiba
@obedyjohn5350
@obedyjohn5350 3 месяца назад
Mzee baba wew unajua uongo dhambi
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 2 месяца назад
Njaa mbaya Sana... Unaweza kumpika supu mwanao wa kumzaa
@briantafari9224
@briantafari9224 2 месяца назад
Mzee Mwenda wapashe...
@DidasiJuma
@DidasiJuma 3 месяца назад
Huyu mzee Mwenda ni hazina ya Taifa, nchi yetu imejawa na waongowaongo wengi,ila mzee kanyooka
@AmaniMwankili
@AmaniMwankili 2 месяца назад
Nakuelewa kamanda mwenda
@proisolution7166
@proisolution7166 2 месяца назад
wewe hawa jamaa OKWI aliposajili YANGA,walisema ana ukimwi ndiyo maana alikuwa hataki kwenda Ulaya na hii taarifa mimi aliongea kocha wao mwenye mdomo tulikuwa ofosi ya friends of simba ,so simba mapoyoyo tu halafu wana chuki na umbea.
@NouhuKhamis
@NouhuKhamis 3 месяца назад
Wewe mwenda mnafiki Sana ulimkataa Chama lkn leo umebadilika kumbe wewe uongo kweli
@nicodemusmemba1402
@nicodemusmemba1402 3 месяца назад
Tz,80% wanasema Uongo
@emmanuelthomas1078
@emmanuelthomas1078 3 месяца назад
😂Yaani pale anapotamka "Kajanja Kajanja" badala ya Kanjanja Kanjanja'mi ndo Huwa enjoy sana😂😂😂
@AllySalum-j9y
@AllySalum-j9y 3 месяца назад
Weeeeengiii makorooo wanaumiaaa rohonii iraaaa wanajikazaaa chamaaa yureeee kwaa wenyee akiriii yaaa sokaaa 😅😅😅😅
@NondoRamadhani
@NondoRamadhani 3 месяца назад
Mwenda nakukubali xana kea kuongea ukweli na kulichambua soka
@godsonrwegasira4414
@godsonrwegasira4414 2 месяца назад
Eti ni kajanja kajanja hakajawahi futurisha😂😂
@FredricktheonestShayo
@FredricktheonestShayo 2 месяца назад
Unahishi kwa maneno tu ukimaliza ongea sema unatoa sh ngapi usaidie usajili maneno haya acaunt we mzee vp hatutaki32 plas
@ngoshangosha-l1w
@ngoshangosha-l1w 3 месяца назад
huyu jamaaa mwenye madevu mnafiki Sana alishawahi kusema chama mungu wake ni mfupi Leo hii anaongea pumba
@MotibaMashana-hv3tf
@MotibaMashana-hv3tf 3 месяца назад
kwnn hushauri hayo mabwege kocha
@hafidhkikocho9161
@hafidhkikocho9161 3 месяца назад
mzee unaujua mpira
@LucianaJoachim
@LucianaJoachim 3 месяца назад
Huu ni mpira sasa mlitaka MO afanyeje wakati chama anahogwa na injinia ili afanyevibaya ktk timu kwani mo alokuwapo, mambo hayo anayajua try ageni na mangungu, wakati wakina firi na baleke wanambiwa kuwachwa mo alikuwepo,? Leo hao wabovu wanarudi ktk timu zingine kwa mlango wa nyuma leo tunawaona kwani mo kafanya yeye?, walaumu miroho ya pesa wapewa madaraka
@NsubiRaphael
@NsubiRaphael 2 месяца назад
Mwenda chama hana ufalme wowote no power
@KhalfanSeleman
@KhalfanSeleman 3 месяца назад
Tatizo huyu nae mnafki alikua anamsema vibaya chama kwamba chengayake moja sasaleo kageuka nenda na midevu yako muongo mkubwa
@MashakaAthumaniAthumanimashaka
@MashakaAthumaniAthumanimashaka 2 месяца назад
Unamwelewa Ww Huyu Alikuakiongozi Simba Alishindwa Mwanamichezo Nasimba Ililiwatimua Ndomaana Munagub Kambali N Ww Kulamilalamika Uwezo Wakuwashauri Unao Ww Namchome Wanabif Nanatajiri Asogezwe Karib Taftapesa Achannampira Maana Unahasira Simba Wala Siyako
@simbamaduhu1600
@simbamaduhu1600 2 месяца назад
Nyie ndo mna kansa ya ubongo
@MotibaMashana-hv3tf
@MotibaMashana-hv3tf 3 месяца назад
sole kochi mwenda nisamee
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 3 месяца назад
Unakuwa kama kila kitu unalalamika eleza vitu vizuri
@HalimaIssa-pu4yt
@HalimaIssa-pu4yt 2 месяца назад
Hakika maneno kuntu
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 3 месяца назад
Huyu jamaa kuna vitu anaongea sawa ila huwezi kila wakati unaponda tu kila kitu
@leusissa3855
@leusissa3855 2 месяца назад
Mwenda acha kuishi kwa kukariri klabu haiwezi kuishi kwa kumtegemea mchezaji mmoja na hasa km ni kirusi. Simba ipo miaka 88 iliyopita chama hakuwepo. Katulie acha viongozi wafanye kazi yao. Simba imepoteza ubingwa misimu mitatu mfululizo kwani chama alikuwa anacheza timu gan km co simba? Ww ni chawa tu hujui mpira unahitaji nn zaidi ya mizengwe MWENDA
@VailethBeautus
@VailethBeautus 3 месяца назад
HUYU NI MSENGE YYE NDIO ALIKUWA WA KWANZA KUSEMA CHAMA AMESHA ZEEKA ADOKE LEO ANASEMA VINGINE ZEE HOVYOO
@prosperidinya5864
@prosperidinya5864 3 месяца назад
Watu vigeugeu sana.
@MusaDadi-pd3jd
@MusaDadi-pd3jd 3 месяца назад
Ww mzee itakuwa unavinasaba vya kiutopolo. ww ndo ulikuwa unalala sana kuwa chama ni mzee aondoke sasa ameondoka unalala tena na kumuita alikuwa mfalme wa simba
@MussaHajikimwaga
@MussaHajikimwaga 3 месяца назад
we utopolo usituchanganye toka huko wewe siku zote unaizungumzia simba kwa hasi unatumia nguvu zako bure we mzee choko sana sijui unataka madaraka au ulinyimwa hizo siasa mpira pesa wewe unanini
@AmaniMwankili
@AmaniMwankili 2 месяца назад
Maku sana wewe😂
@isayaluvanda8470
@isayaluvanda8470 2 месяца назад
Nyie mnao msifia mwenda mbona hamjamliza kuwa wakati yupo simba alikuwa anamkata chama kuwa nimzee Reo yupo utoporo unamuona kama haja zeeka mtuana miaka 35 unasema sio mzee kumbe Wewe nimamuluki nichawa
@H3s4d
@H3s4d 2 месяца назад
Wewe ni Simba. Au ni Nani?mwache aseme ukitaka mtu afanye. Vizuri usimsifie
@BeniYaredy
@BeniYaredy 3 месяца назад
Levo posho alikuwa hapat subilia utampenda
@ibrahimjames1464
@ibrahimjames1464 3 месяца назад
Mwenda huyu huyu kwa masikio yangu nilimsikia akidai simba wachezaji wote wafukuzwe wamechoka akiwemo na Chama. Leo amegeuka tena. Acheni timu itengenezwe. Kuondoka kwa mchezaji mmona haina maana timu imeharibika. Unachanganya wasioelewa mambo wewe mzee
@sangaelly8548
@sangaelly8548 3 месяца назад
Mzee Mwenda sisi sio wapumbavu mpumbavu mwenyewe
@allyrashid9191
@allyrashid9191 3 месяца назад
We chizi sana
@YusufuMwamlengaMwamlenga
@YusufuMwamlengaMwamlenga 3 месяца назад
Kwahiyo yeye mwenda alitaka chama afie simba😢😢,au azekee simba😢😢 ,aache ujuaji sana
@MalikiKavindi
@MalikiKavindi 3 месяца назад
Acha uchizi we mzee unachangia nn kwenye simba? Hata jezi huvai,kaa kimya
@hajiseleman-un8so
@hajiseleman-un8so 2 месяца назад
Sasa ww broo unaisaidia nini simba kama ww unauchungu kwanini usigombee uongozi alafu ufanye hayo unayo ya sema yani hawa hawana ponti
@ambitiousholyspirit395
@ambitiousholyspirit395 3 месяца назад
Tumepigwa sana yanga wataleta kombe.
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 2 месяца назад
sauti za mamlaka izo..😊
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 3 месяца назад
Mashabi bora mnaongea😂
@allyrashid9191
@allyrashid9191 3 месяца назад
Huyu bwanake azizi kii kumbe mimba hiyo inakusumbua
@onesmothimos2635
@onesmothimos2635 3 месяца назад
Tatizo lako chuk yako na viongozi wa Simba ume ifanya iwe season mbona wenzio sasa ivi Wana maelewano acha shiriki bhana
@sangaelly8548
@sangaelly8548 3 месяца назад
Wewe umefanyia nini simbaaaaa?
@revocatusmalimi4525
@revocatusmalimi4525 3 месяца назад
Ufalume wake ulikwisha kiyambo ndiyo maanaisimu mtatu hajasaidia timu.Kwanza wewe hujui mpira au hufatilii uwezo wake unakurupuka tu
@MotibaMashana-hv3tf
@MotibaMashana-hv3tf 3 месяца назад
mwenda ww zuzu mlikuwa mnaixhi na mgonjwa kwa taaluma yako ndo maana huna timu juzi tu ulituaminisha ujinga wako chama hawezienda yanga leo unajichoma dole gumba km juha kweli sisi mbumbu
@reinfridlipili5666
@reinfridlipili5666 3 месяца назад
Huwezi kumuelewa kama ulianza kupenda TIMU baadaye MPIRA kama wewe! Jifunzeni kukubali ukweli sio kupiga kelele tu wakati timu inazidi kupotea baadaye muanze kulalamika mkishika nafasi ya 5.
@avitusmichael5
@avitusmichael5 3 месяца назад
We mbwa tulia huna akili, mwache mwenda anajitambua
@ZaituniNyenzi
@ZaituniNyenzi 3 месяца назад
Sure​@@reinfridlipili5666
@ZaituniNyenzi
@ZaituniNyenzi 3 месяца назад
​@avh😮itusmichael5 Hakika
@vaxminja9053
@vaxminja9053 3 месяца назад
Mwende hajawahi kusema kwamba Chama hataenda Yanga.
@waziribori2280
@waziribori2280 3 месяца назад
Hili halijielewi ni njaa na wivi ajiulize SIMBA YA NGAPI RANK YA AFRIKA?
@musamagulu2023
@musamagulu2023 3 месяца назад
Matako kweli wewe. Hivi wydad ni ya ngapi Africa? Je imefanya vizuri?
@DaudLucas-qj3mp
@DaudLucas-qj3mp 2 месяца назад
Hata wewe unasema chama Kwa sasa nibola tunakuona hauna hakili.
@ibrahimjames1464
@ibrahimjames1464 3 месяца назад
Mwenda naye ni wale wale. Alikuwa anapiga kelele simba imejaza wazee leo tena kabadilika. Kwani yeye ni coach wa timu gani hapa Tanzania? Hata huko champions league sidhani kama ana timu. Acheni simba itengenezwe upya. Manachanganya watu tu hapa. Siasa tu huna lolote!
@LeonidasStephano
@LeonidasStephano 3 месяца назад
Hana hoja huyu atuache kidogo
@sevelintino6181
@sevelintino6181 3 месяца назад
Weee s ulisema chama kazeeka acha hizo mzee
@audaxkasindo9016
@audaxkasindo9016 3 месяца назад
Mwenda ubongo wako aupo sawa unakumbuka wewe ulisha sema chama kazeeka kama umelipwa kuchafua Simba
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp 3 месяца назад
We mzee huna akili waache viongozi wa boleshe kikosi kama unataka nawewe nenda kujiunge na hao utopolo
@HABIBHASSAN-wf5mr
@HABIBHASSAN-wf5mr 3 месяца назад
LAU SIMBA MUNGEJUA MO ANAVYOKERWA NA HIZO KERERE ZENU KWA MZEE MANGUNGU NA TRY AGAIN MUNGENYAMAZA..HAO WAZEE MANGUNGU NA TRY AGAIN MO KAWAWEKA YEYE...ALAFU ETI MANGUNGU KAGOMA KUJIUDHULU KAKWAMBIA NANI ? UJUE HUYO MZEE MANGUNGU NA TRY AGAIN NA MO LAO MOJA.. SIMBA AMNA JICHO LA TATU ?
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 3 месяца назад
Ukiangalia usajili wetu simba wanasajili wachezaji ambao Hata timu zao ni ndogo tu
@abubakarbajun3503
@abubakarbajun3503 3 месяца назад
Kama weweninmshabiki wa chama neeeeenda kahamie utopolo mzee unagojaa nini
@allyrashid9191
@allyrashid9191 3 месяца назад
Chizi
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 2 месяца назад
🚮🚮🚮.. Mashabiki maandazi
@januarysungura8119
@januarysungura8119 3 месяца назад
Ronaldo aliondoka madrid akiwa anahitajika , mayele ameondoka yanga akiwa anahitajika, acha tuandae timu yetu bwege wewe ,si ungekuwa hata na timu hata ya daraja dogo tu wewe ,kila wakati hukubaliani na moo wakati wachezaji walikuwa hawajitumi akiwemo chama leo anamuacha unashangaa au unataka turudi nyuma .kaa pembeni muache moo afanye kazi wewe mwanakaizaya mpumbavu ni wewe
@yassinchuwa8824
@yassinchuwa8824 3 месяца назад
Mbumbumbu
@LeonidasStephano
@LeonidasStephano 3 месяца назад
Chukua hii jiulize wachezaji wote duniani wakiona umri umekata huwa wanatafuta timu ndogo kwenda kupumzika Simba ni kubwa sana acha akapumzike huko,
@BeniYaredy
@BeniYaredy 3 месяца назад
Haji nyie wajinga hampendi kuambiwa ukwel
@nurdiniabdillahi3558
@nurdiniabdillahi3558 3 месяца назад
Wewe na kansa ya hakili
@LucyMdoe
@LucyMdoe 2 месяца назад
Kaka mwenda mtu na nusu
@ThomasNyambibo
@ThomasNyambibo 3 месяца назад
Mwenda nakumbuka ulishawai kusema chama ameisha afukuzwe simba leo unalalamika
@Ommyblacktz13
@Ommyblacktz13 3 месяца назад
Mchaga huyu hajui boli kabisa
@januarysungura8119
@januarysungura8119 3 месяца назад
Hili jinga kweli kwaiyo misimu hii wewe umetoa nini?
@avitusmichael5
@avitusmichael5 3 месяца назад
We kauze nyuma mpira huujui
@drankskhally7019
@drankskhally7019 2 месяца назад
Huna lolote ww
@Ommyblacktz13
@Ommyblacktz13 3 месяца назад
Mchaga huyu hajui boli kabisa
Далее
Women’s Celebrations + Men’s 😮‍💨
00:20
Просмотров 1,3 млн
USIYOYAJUA KUHUSU KARIAKOO || KARIAKOO HISTORY!!
33:03
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BABA YANGU KIPOFU Full episode /45/ #love
20:10
Просмотров 148 тыс.
Папа уходит
0:13
Просмотров 1 млн
Котики и расческа
0:19
Просмотров 2,6 млн
Тест на Торможение
0:58
Просмотров 3,5 млн