Тёмный

MZEE SAID AKIRI KUMKUBALI AZIZ KI ACHEZE TIMU YETU YA TAIFA TU| MANARA CHANZO CHA CHAMA KWENDA YANGA 

Finest Online
Подписаться 72 тыс.
Просмотров 85 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

10 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 293   
@westonyjob1747
@westonyjob1747 Месяц назад
Leo nimekuwa wa kwanza liga like kwa mzee said
@neemadaniel6233
@neemadaniel6233 Месяц назад
Mzee side we love you so much Young African fans
@salimkadenge3231
@salimkadenge3231 Месяц назад
Mzee Said saa hii amekuwa brand
@neemadaniel6233
@neemadaniel6233 Месяц назад
Yeah it's true
@eliudmasha9530
@eliudmasha9530 Месяц назад
Changamba awe anaweka namba y mzee said tuwe tuna m support anafurahisha sana
@neemadaniel6233
@neemadaniel6233 Месяц назад
@@eliudmasha9530 haswaa
@trice_yanga
@trice_yanga Месяц назад
@eliudmasha9530 shida watu wanamsumbua
@kapondadr5840
@kapondadr5840 Месяц назад
Mzee saidi ni mmoja tu mtandaoni 🔥🔥🤣🤣
@jambia4515
@jambia4515 Месяц назад
Mzee Said unanifurahisa sana unanifanya nicheke
@B.M-ix4rz
@B.M-ix4rz Месяц назад
❤❤❤❤❤you mzee said kwa kweli unanisogezea siku kwa furaha
@musahairikha8135
@musahairikha8135 Месяц назад
From congo nakupata father said like your interview
@OctavianJohn-og7wg
@OctavianJohn-og7wg Месяц назад
Mzee said mwenyezi mungu akuweke unanifuraisha sana
@ChenchiKing
@ChenchiKing Месяц назад
Yan Mzee Said Tu Ni M’moja Tu Kwa Bongo Nzima❤🎉
@FosterBwalya-rh9lh
@FosterBwalya-rh9lh Месяц назад
Mzee said mungu akubaliki kila siku unazidi kuleta furaha ndan ya bongo
@mesuitozil1527
@mesuitozil1527 Месяц назад
Wawe wanamlipa asipoteze nguvu bure
@daudikisoma2284
@daudikisoma2284 Месяц назад
Mzee Saidi bhana,hauna mtoto wa kike nije kuoa mana natamani uwe ata mkwe wangu Kwa kwel unanipa raha sana
@salumuomari
@salumuomari Месяц назад
Mimi nainjoy Sana kwa mzee said nafurah Sana daah mungu akuweke Sana mzee
@MwanahamisiMchombo
@MwanahamisiMchombo Месяц назад
Mzee Saidi ni mmoja tu🎉🎉🎉🎉
@Shadia544
@Shadia544 Месяц назад
Jamaniii jamaniii jamaniii haya nilikuwa namsubili mzee saidi jamaniii chagamba na mzee saidi chagamba anainjoi sanaaaaaa 😂😂😂😂
@SadatiRajabu
@SadatiRajabu Месяц назад
Umeonaeeee hatari sana, nilikuwa namsubilia
@Shadia544
@Shadia544 Месяц назад
@@SadatiRajabu miee mzee saidi tuu 🤣🤣🤣🤣
@faustalutambi8101
@faustalutambi8101 Месяц назад
Kabisa
@vangraphixvan8320
@vangraphixvan8320 Месяц назад
​@@Shadia544shadya
@kampista11
@kampista11 Месяц назад
Mzee saidi, arajiga, mobeto na azizi ki nacheka sana. Watu wanashaanga nacheka nini kumbe huyu mzee. Mzee Mungu akuneemeshee barka.
@user-li6zg6tg7o
@user-li6zg6tg7o Месяц назад
Mzee said nataman nikuone mzee wangu siku moja pia nakuombea Kwa mungu uishii maisha marefu saana na enjoy saan kumwona huyu mzee wangu big up changamba😂
@abdulrazaqkatoma5648
@abdulrazaqkatoma5648 Месяц назад
Huyu Mzee yupo vizuri sana kwenye interview 😊
@DicksonNasibu-tv7vr
@DicksonNasibu-tv7vr Месяц назад
Coacher wenu amerudi Rwanda mzee saidi
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc Месяц назад
Kocha gani jamani
@user-zx1vk9pr1w
@user-zx1vk9pr1w Месяц назад
Hahaahahah ! Mzee side azizi yupooooo 🤣🤣 ! Jin lakooo 😂
@DavidSwila
@DavidSwila Месяц назад
Pole mzee said maumivu bado yapo palepale
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc Месяц назад
Sijui itakuwaje😂
@user-mq4rg9lu4h
@user-mq4rg9lu4h Месяц назад
Kila nikimwangalia Mzee saidi Yani nafuly kweri Mzee mungu akupe maisha malefu
@mwajumampokileomckapela7541
@mwajumampokileomckapela7541 Месяц назад
Mzee said tunampenda 😊😊😊😊😊
@user-qu1ut5ri2z
@user-qu1ut5ri2z Месяц назад
Mungu akulinde mzee wetu
@bonifacekankoma9663
@bonifacekankoma9663 Месяц назад
Chagamba hongera sana kwa kutuletea mzee Saidi . Kwa mzee saidi nacheka kwa vituo😂😂😂🤣🤣
@erickmalipesa1018
@erickmalipesa1018 Месяц назад
Nakupenda sana Mzee wangu Mzee said hakika tuna furahi sana baba hongera Kwa kipaji hicho. By Erick malipesa kutoka ilemba sumbawanga.
@phineusfredrick4921
@phineusfredrick4921 Месяц назад
mzee saidi inakusemesha kweli kwel,👏👏👏👏
@AdmiringBackgammon-lp5kd
@AdmiringBackgammon-lp5kd Месяц назад
siipendi simba mimi nampenda mzee saidiiiiiiiii❤❤❤❤
@Wami-Sababisho
@Wami-Sababisho Месяц назад
Mzee Saidy 😂😂😂😂,Mobeto 😂😂😂. Safi sana nikisikiliza interview za huyu mzee siku inaenda vizuri kabisa 😂😂😂.
@issaabdi9129
@issaabdi9129 Месяц назад
Mzee saidi kweli inshaaala tutakupelekea Azizi key. Juwe yanga taifa kubwa wamemtumia bebeto kumzugua Azizi key kuongeza Mkataba.
@MohammedIsmail-fw9vn
@MohammedIsmail-fw9vn Месяц назад
Mzee said ndio anatendea haki bundle langu
@mwanaidimtengo8151
@mwanaidimtengo8151 Месяц назад
Jaman Nampenda sana Mzee Saidi,Anafurahisha sana,Chagamba tunaomba utuleteee kila siku,hachoshi kumsikiliza
@user-vi7ly9zh1q
@user-vi7ly9zh1q Месяц назад
Kutoka Oman 🇴🇲 nakukubali sana mnyamwezi mwenzangu mzee said 😂😂😂
@nancynana2818
@nancynana2818 Месяц назад
Mzee said tengeneza lipa namba watu wawe wanakurushia hela ya maji
@eliudmasha9530
@eliudmasha9530 Месяц назад
Mzee said 😂😂 🔥🔥 changamba uwe unaweka namba ya mzee said awe anapata hela ya chai aise anatupa raha sana Yanga fans
@MoriceBahati
@MoriceBahati Месяц назад
Mzee said ❤❤❤❤❤❤❤ wewe ni noma bwana
@Graciousmom679
@Graciousmom679 Месяц назад
😂😂😂😂nmecheka Sanaa ila Mzee said
@abdallayunnus3475
@abdallayunnus3475 Месяц назад
Nkubali mzee said na gamba
@waitvaletparkingtab
@waitvaletparkingtab Месяц назад
Havi mzee said naweza kukuona wapi live? Mana uko vzr Kwa kiengereza
@mamuumamuu7743
@mamuumamuu7743 Месяц назад
mzee saidi ❤❤❤juu nakukubali sana
@user-gj1bx9ow3u
@user-gj1bx9ow3u Месяц назад
Mzee said mungu akupe umli miefu unanifulahisha san
@stevenayubu1607
@stevenayubu1607 Месяц назад
Mzee ana hekima sana na anajua ushabiki na wala hana miemko
@MeddyRaymond
@MeddyRaymond Месяц назад
Mzee said what is which 😂😂😂😂😂😂😂😂
@adolfmedard5758
@adolfmedard5758 Месяц назад
Mzee Said nakukubali sana Babu!
@user-ff4zm3hk7b
@user-ff4zm3hk7b Месяц назад
Big up mzeeh said yan mzeeh unajua mpak una furahisha
@Dolea-p4x
@Dolea-p4x Месяц назад
Mzee said unafurahisha sana
@chazlaw6730
@chazlaw6730 Месяц назад
Ila Mzee Side Mwenyezi Mungu akuweke na akupe Afya njema❤❤
@user-vj6py9tq9v
@user-vj6py9tq9v Месяц назад
Daaah natamani nikuone mzee said😂
@salimkadenge3231
@salimkadenge3231 Месяц назад
YANI much love mzee
@RabsonSalmon-ys7bf
@RabsonSalmon-ys7bf Месяц назад
Waoooooooo🎉🎉🎉🎉❤
@phineusfredrick4921
@phineusfredrick4921 Месяц назад
Mzee kingereza chako nimekielewa sana, mie mwenzako nipo, kingereza hakiniusu.
@jeansindayigaya1257
@jeansindayigaya1257 Месяц назад
Mze saidi nakufata nikiwa 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸 100%
@amaniomar1755
@amaniomar1755 Месяц назад
Mzee Saidi hatareeh sana 🎉🎉🎉🎉🎉
@manawamarco6511
@manawamarco6511 Месяц назад
Huyu mzee anafurahisha sana 😂😂
@thomasnachenga795
@thomasnachenga795 Месяц назад
😂😂😂 eti UYUGU UYUGU 😂😂😂
@MichaelMwambango
@MichaelMwambango Месяц назад
Mzee Said 🔥🔥🔥
@privatarimo4811
@privatarimo4811 Месяц назад
Mzee said unajua mpira na wewe ni mkweli well done ✅
@IsraelMtafya-fq2lf
@IsraelMtafya-fq2lf Месяц назад
Sema mzee unajua mpila
@mzuhatngambwa3497
@mzuhatngambwa3497 Месяц назад
Mzee said ni matata sana njoo yanga upate raha
@JaphethChuwa
@JaphethChuwa Месяц назад
😂😂😂😂😂 mzee wetu
@edinamwanasenga1584
@edinamwanasenga1584 Месяц назад
Mzee saidi unanifurahisha sanaa changamba una tupa raha
@BiutiRashidi
@BiutiRashidi Месяц назад
Nampenda sana Mzee said namfuatilia sana
@juma6253
@juma6253 Месяц назад
Ehe twende ukatue vizuri😊😊
@JeniphaRobert
@JeniphaRobert Месяц назад
Ety ukatuue vizuri 😂😂 ugomvi wa alajiga upo palepale chama coming yanga the better what is which mdomo mtaoza mzee saidi nimekutafta toka asubuhi 😂😂
@user-ck5jk9jf9p
@user-ck5jk9jf9p 19 дней назад
Mzee Said We kiboko
@user-od8lh6il8q
@user-od8lh6il8q Месяц назад
Dah huyu mzee
@AlexjohnGowele
@AlexjohnGowele Месяц назад
Ety azizi ki ni shemeji yetu 🙌🙌😂😂😂😂 mzee Saidi. 🤔🤔
@RichardAmos-eo9dh
@RichardAmos-eo9dh Месяц назад
Ila mzee said 🔥🔥🔥🔥🔥
@PacchaYassin
@PacchaYassin Месяц назад
Me you TANZANIA
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA Месяц назад
Mzee said 😂😂😂😂😂 you make us laugh 😂😂😂❤
@fathimadaid3429
@fathimadaid3429 Месяц назад
Hata mie nampenda sana
@fafa_thedon
@fafa_thedon Месяц назад
Mzeeee wetuuuu🎉🎉🎉🎉
@dullywa9973
@dullywa9973 Месяц назад
😂😂😂😂huyu mzee simba inamuumiza sana
@user-er9mk2in1r
@user-er9mk2in1r Месяц назад
Nakukubari mzee saidy😂😂😂
@SelemaniSelemani-bw4ps
@SelemaniSelemani-bw4ps Месяц назад
Mzee anaongea ukweli kabisa sis washabiki yanga na simba timu itakayofanya vibaya sijui kama tutawakubali wachezaj wetu, ila sasa hivi kila mtu anaongea lake,,,!😮
@KISIMBAKUCHA
@KISIMBAKUCHA Месяц назад
Napenda xana mzee saidi
@ibrahimmagesa892
@ibrahimmagesa892 Месяц назад
Aziz ki,Mavunde,Arajiga,Saidoo na mzee Said dam dam 😂
@malietamaliet
@malietamaliet Месяц назад
😂😂😂😂ila Mzee said jamn saido kaenda umerudi Kwa mavunde na mobetto ety mama ndo yanatakiwa ayo kuitangaza tz duuh nimecheka sana jmn ila chama kapendeza na jezi zetu bhn
@petrowililo
@petrowililo Месяц назад
😂😂😂😂
@gideonchipepo8405
@gideonchipepo8405 Месяц назад
Mzee saidi wewe safi sana
@mahirnassor3118
@mahirnassor3118 Месяц назад
Mzee Said welcome Yanga 😂😂😂
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Месяц назад
Huyu mzee Bwege kweli yaani K kasaini kisa Mobeto😂
@JumaSango-yo8bj
@JumaSango-yo8bj Месяц назад
Mzee said noma sana leo umeniuwa mbavu zangu😂😂😂
@user-kd9tc4tl5f
@user-kd9tc4tl5f Месяц назад
Mzee said usiumie bhana
@edwardpaulo3351
@edwardpaulo3351 Месяц назад
Yani mimi najikutaga nacheka sana nikianza kumsikiliza mzee said😂😂😂😂
@andreamlela1383
@andreamlela1383 Месяц назад
Karakashanee maana yake ni kurupushani ya kugombania kitu. Nabahatisha Mzee side.
@MagrethKyaruzi
@MagrethKyaruzi Месяц назад
Mzee Said leo mnyoge mnoooo😂😂
@PaulTango-he8qo
@PaulTango-he8qo Месяц назад
Oa njooni uku mzee saidi anaongea
@GeradinaJohn-xh8pw
@GeradinaJohn-xh8pw Месяц назад
😂😂😂😂🙌🙌
@moshielfesty7992
@moshielfesty7992 Месяц назад
Mzee Saidi 🎉🎉🎉🎉
@kitulageorge5123
@kitulageorge5123 Месяц назад
Mzee Saidi 😂😂 naona umeshawahi kuwa mchekeshaji sasa maana watu tunacheka tu huku
@user-nt4ov8uv4n
@user-nt4ov8uv4n Месяц назад
Mzee Saidi mwambie Chagamba Aache kuwahoji maguluguja!
@trice_yanga
@trice_yanga Месяц назад
chagamba fanya kitu ongea hata na alikamwe Mzee said akutane na Aziz ki
@mdashirumbaraka8529
@mdashirumbaraka8529 Месяц назад
😅😅😅😅😅Safi sana mzee unachangamsha game
@user-er1dk6zj6u
@user-er1dk6zj6u Месяц назад
Mzee said noma
@paulwalker4383
@paulwalker4383 Месяц назад
Mzee saidi Hadi laha 😂😂😂
@DOLLARKID-pb8gs
@DOLLARKID-pb8gs Месяц назад
Mzee said😂😂😂 once you see him it's too late❤
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 Месяц назад
Ndo namkaaa nakutana na mzee wetu side boy😅😅😅nacheka tu.
@ChenyBae
@ChenyBae Месяц назад
Chagamba Naomba namba ya mzee said nimtumie chochote ananfurahisha sana
@jonasmalima9143
@jonasmalima9143 Месяц назад
Mzee said bwana
@user-ug1nv3xl4d
@user-ug1nv3xl4d Месяц назад
😂 nilikua nasubiri uy mzee kwa hamu baada ya kubaki kwa ki Stefani
@idrisahamimuhasani5717
@idrisahamimuhasani5717 Месяц назад
Chagamba mm ulikuwa ulisha niudh umetuchereweshea sana Mzee wetu
@patrickmukundichalamila3038
@patrickmukundichalamila3038 Месяц назад
Afu ndo mara waaa mzee Said anajua na English 😂 aise watafaidi wengi wallah 😂😂
@vedastusmlavumba1158
@vedastusmlavumba1158 Месяц назад
Fokosssss mana yake mini?
@JosephineItambu
@JosephineItambu Месяц назад
@@vedastusmlavumba1158Maana yake ni "toka"
@Maryc2G
@Maryc2G Месяц назад
Mzee saidi unajua mpira, nafurahia kukusikiliza pamoja na kuwa mimi sio simba. Unaongea ukweli
@FredyPeter-rq8hj
@FredyPeter-rq8hj Месяц назад
Safisana Mzee said nilikua nawaza mb zangu zinakata bila kusikia manenoyako matam😂😂😂😂❤
@josephlorri431
@josephlorri431 Месяц назад
Bado wiki 3 tuwakanyage makolo, safari hii kolo atachapwa 10, hakuna huruma
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Месяц назад
MTANIIIII HIYO SIKU UTAJIULIZA MWENYEWE WAPO WAPI CHAMA NA AZIZI KI KWA KIBANO WATAKACHOPEWA 😂😂😂😂😂 CHEZEA VIJANA WEWE
Далее