OHHHHHH! sikia sasa mtungaji wa muimbo,KALALA MBWEMBWE. WA IMBAJI: KABABA NKOMBA GABY; MOLAY :MOBALI: OH VIZURI SANA safari sound MILELE:HIHI NJO MUZIKI WA KWETU SNS TENA LAKUSEMA TULIA CHEZA:
Eddie big up for his post once again, Inanikumbusha enzi hizo wakti ushindani wa kimuziki ulikuwa chachu ya maendeleao ya kimziki, Kabeya Badu, Chibanda Sony, Kalala Mbwembwe kwenye vocal, gita la Maestro Ndala Kasheba - it was superb!
eddie unao "ziada" IOSS mtunzi wake ni Marehem Kabeya Badu, "umekwama" Marquiz, "mwaka wa watoto" IOSS masantula, na mwimbo mmoja wa Msondo nimesahau jina ila moja ya lyrics zake ni "yoyote usemayo, wao wanacheka nakukuona bure tena hayawani, hata lenye maana watadharau na kupuuza"